Kitulo FM
Kitulo FM
January 25, 2023, 2:16 pm
Katekista wa kanisa la Roman Catholic parokia ya Mlangali wilayani Ludewa mkoani Njombe Simon Njavike (43) amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya hiyo kwa Tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu (17) ambaye jina lake limehifadhiwa. Akisomewa shitaka hilo…
January 25, 2023, 2:13 pm
Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amesema Halmashauri na TARURA inapaswa kuhakikisha wannanchi waa Kigulu wanapata huduma ya Barabara kulingana na kukosa huduma hiyo kwa miaka mingi kwa kuwa hali si nzuri. Mhe. Sweda amesema Mwanamke akipatwa na…
January 25, 2023, 12:36 pm
Serikali imekamilisha ujenzi wa Jengo la dharula katika Hospitali ya Wilaya Makete kwa zaidi ya Milioni 300 ambapo tayari vifaa vinefika kwa ajili ya kuanza kutoa huduma. Kamati ya Siasa Wilaya ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya Clement Ngajilo akiambatana…
January 25, 2023, 12:34 pm
Halmashauri ya Wilaya Makete imeanza Ujenzi wa Jengo (Ghorofa moja) ambalo mpaka kukamilika kwake itagharimu Bilioni 3 ikiwa mpaka sasa kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Serikali imetofedha Bilioni 1 kuanza ujenzi Akieleza kuhusu mradi huo Mtaalamu kutoka Divisheni ya Ujenzi…
January 25, 2023, 12:33 pm
Wananchi wa Kijiji cha Lupalilo kwa kushirikiana na Mwenyekiti wa CCM Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya na Kamati ya Siasa Wilaya wameshiriki zoezi la kufanya usafi na kuandaa mazingira rafiki eneo la Kituo cha Afya Lupalilo kilichopo Kijiji cha…
January 24, 2023, 7:11 am
Kamati ya Siasa Wilaya ya Makete ikiongozwa na Clement Ngajilo imeipongeza Wizara ya Maji ikiongozwa na Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso, Katibu Mkuu Mhandisi Anthon Sanga kwa utekelezaji wa mradi mkubwa wa Maji (Kinyika-Matamba). Mradi huo wenye thamani ya…
January 24, 2023, 7:03 am
Wananchi wa Kijiji cha Ipelele wameiomba Serikali kuwachia suala la mto unaoporosha mawe kwa zaidi ya Miaka 7 sasa kimaajabu. Wakizungumza na Kituo hiki, wananchi wa Kijiji cha Makwaranga kilichopo Kata ya Ipelele Wilayani Makete wamesema mto huo wenye maji…
January 24, 2023, 6:55 am
Kamati ya Siasa Wilaya ya Makete (CCM) imeiagiza Serikali kuhakikisha shule ya Sekondari Makete ibadilishwe jina na kuitwa Makete Boys. Agizo hilo limetolewa na Kamati hiyo tarehe 23 Januari 2023 ikiwa katika ukaguzi wa shule hiyo pamoja na kupongeza Serikali…
January 24, 2023, 6:42 am
Serikali imetoa fedha zaidi ya Milioni 103 kupitia mfuko wa kusaidia Kaya Maskini TASAF kwa ajili ya ujenzi wa bweni la wavulana wanaosoma shule ya Sekondari Usililo iliyopo Kata ya Luwumbu huku fedha inayobaki ikiwa ni nguvu kazi ya Wananchi…
January 24, 2023, 6:37 am
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Makete William Makufwe amesema ujenzi wa Stendi ya Mabasi naa maegesho ya Malori ipo mbioni kuanza kutumika baada ya kukamilika kwa kiasi kikubwa kwa huduma muhimu katika Stendi hiyo iliyopo kijiji cha Kimani Kata…
Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo