Boma Hai FM
Boma Hai FM
24 December 2023, 7:04 pm
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa nishati Dkt Dotto Biteko amesisistiza ushiriki wa matukio ya kijamii ikiwemo shughuli za kijamii,michezo na matamasha mbali mbali ikiwa ni njia moja wapo ya kuwakutanisha wananchi na taasisi lakini pia kuwajengea mahusiano mazuri baina…
22 December 2023, 2:20 pm
Vifaa tiba pamoja na gari vilivyokabidhiwa katika hospitali ya wilaya ya Siha (picha na Elizabeth Mafie) Hospitali ya wilaya ya Siha imekabidhiwa vifaa tiba pamoja na magari vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mia tisa. Na Elizabeth Mafie Ambulance…
21 December 2023, 9:52 pm
Chama cha ushirika wa akiba na mikopo Hai Rural Teachers SACCOS (HRT) wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kimetoa msaada wa sare za shule kwa wanafunzi wenye uhitaji kutoka shule 16 za wilaya ya Siha. Na Elizabeth Mafie Chama cha Ushirika wa …
20 December 2023, 10:03 pm
Kwa upande wake kaimu wa idara ya mifugo,kilimo na uvuvi ndugu Fraiten Mtika amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia suluhu Hassan kwa kuwaletea pikipiki hizo mpya ambazo ni vitendea kazi muhimu kwaajili ya kuwafikia wananchi na…
19 December 2023, 7:42 pm
Taasisi ya moyo Jakaya Kikwete ( JKCI ) yaanza kutoa huduma za matibabu ya kibingwa katika mkoa wa Kilimanjaro. Na Elizabeth Mafie Wananchi mkoa wa Kilimanjaro na mikoa jirani wameanza kupatiwa huduma na matibabu ya kibingwa ya ugonjwa wa moyo…
16 December 2023, 9:36 pm
Katika kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka, KCMC imefanya hafla kwa ajili ya kusherehekea na watoto wenye changamoto ya saratani pamoja na wazazi wao. Na Elizabeth Mafie Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) iliyopo Moshi mkoani Kilimanjaro kupitia…
15 December 2023, 9:45 pm
Wananchi wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro wahimizwa kujitokeza kwa wingi kupata huduma za kibingwa na matibabu ya ugonjwa wa moyo . Na Elizabeth Mafie Mganga mfawidhi wa hospitali ya wilaya ya Siha Dkt Nsubili Mwakapeje amewataka wananchi na wakaazi wa wilaya…
14 December 2023, 1:24 pm
Mkuu wa wilaya ya Hai Amir Mkalipa amewataka vijana katika vijiji vya kata ya Machame Magharibi kuacha unywaji wa pombe uliopitiliza kwani vijana ni nguvu kazi ya Taifa. Na Elizabeth Mafie. Serikali Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro imewataka vijana kuacha tabia…
13 December 2023, 10:30 pm
Diwani awaandalia tafrija fupi watoto wenye uhitaji. Na Latifa Boto Diwani wa kata ya Masama Magharibi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro Mashoya Natai ameitaka jamii kuwasaidia watoto wenye mahitaji mbalimbali hususani katika msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka ili…
12 December 2023, 9:12 pm
Wananchi Hai wametakiwa kuwajibika kuzuia ukatili wa kijinsia katika jamii. Na Anasta Urio Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuandaa mazingira ya kudhibiti vitendo vya ukatili katika jamii bila kujali siasa, dini pamoja na ukabila ili kuhakikisha kila mtu anawajibika …
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha