Boma Hai FM
Boma Hai FM
15 March 2024, 7:56 pm
13 March 2024, 12:13 pm
Mkataba wa kwanza wa Wazi katika vyama vya ushirika na ulioandikwa kwa lugha ya kiswahili na kingereza umesainiwa leo kati ya chama cha ushirika cha MUROSO SANGI dhidi ya Kampuni ya MACJARO LTD ambapo unatajwa kuwa ni mkataba wenye manufaa…
12 March 2024, 2:06 pm
Kutokana na changamoto za malezi ya watoto zinazowakabili wanawake watumishi katika taasisi mbalimbali, watumishi hao wameomba kujengewa kituo cha kulelea watoto. Na Elizabeth Mafie Wanawake watumishi kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) kupitia shirika…
9 March 2024, 12:04 pm
Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amewataka baadhi ya wanawake wanaokopa mikopo katika taasisi mbalimbali kuacha mara moja kwani mikopo hiyo inaleta athari kwa familia pamoja na jamii. Na Edwin Lamtey Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amewaasa…
8 March 2024, 8:45 am
Katika kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa kila ifikapo Machi 8 kila mwaka NSSF wilaya ya Hai wametoa msaada kwa wenye uhitaji. Na Stanley Christian Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Shirika la Taifa la…
7 March 2024, 5:22 pm
Hai Kuelekea kuashwa kwa mwenge kitaifa mkoani Kilimanjaro tarehe 2 April wafanyabiashara wadogowadogo maarufu machinga wilayan Hai wameaanda maonyesho makubwa ya bidhaa mbalimbali za utamaduni sanaa na utalii Na Janeth Joachim Kuelekea kuashwa kwa mwenge kitaifa mkoani Kilimanjaro tarehe 2…
5 March 2024, 1:33 pm
Wanawake wilayani Hai wametakiwa kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani inayotarajiwa kuadhimishwa Machi 8 mwaka huu. Na Elizabeth Mafie Wanawake wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kujitokeza kushiriki…
23 February 2024, 10:06 am
Vikundi vya vijana ,wanawake na watu wenye ulemavu wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kurejesha mikopo waliyochukua katika halmashauri ya wilaya hiyo kama utaratibu unavyoelekeza. Na Janeth Joachim Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kurejesha fedha za mikopo ya halmashauri zinazotolewa…
22 February 2024, 12:37 pm
Kutokana na jitihada za Mkurugenzi mtendaji pamoja na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya siha za ukosanyaji wa mapato,baraza la madiwani wa halmashauri hiyo latoa pongezi. Na Elizabeth Mafie Baraza la madiwani wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro limempongeza mkurugenzi…
7 February 2024, 5:57 pm
Kutokana na baadhi ya wananchi kutumia vilevi mbalimbali wakati wa kazi imetajwa kuwa sababu ya vitendo vya uhalifu pamoja na ukatili. Na Janeth Joackimu Wananchi wa kijiji cha Nronga Kilichopo kata ya Machame Magharibi wametakiwa kuacha tabia ya unywaji wa…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha