Sengerema FM
Sengerema FM
28 February 2025, 11:07 am
Hakimu Kisoka ametoa hukumu kwa mshitakiwa kutumikia kifungo cha miaka 30 jela ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hiyo. Na,Emmanuel Twimanye Mahakama ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukuma Slyvester Elias (29) Mkazi wa Kijiji cha Nyehunge,…
27 February 2025, 11:28 am
Tangu kuripotowa kwa homa ya marburg wilayani Biharamulo mkoani Kagera kumekuwepo na tabia za baadhi ya familia kukimbilia kwa waganga wa tiba za asili, jambo ambalo linatajwa kuwa ni hatari zaidi na linaweza pelekea kuenea zaidi kwa ugonjwa huo. Na,Elisha…
20 February 2025, 4:59 pm
Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Sengerema (SEUWASA) Imekuwa ikijiendesha kwa hasara kwa muda mrefu jambo lililoibua maswali mengi kwa baadhi ya wananchi mjini hapo, ambapo tayali mamalaka imeanza kuchukua hatua kwa kufuatilia miundo mbinu yake. Na,Emmanuel…
19 February 2025, 1:04 pm
Halmashauri ya Sengerema inapatikana katika mkoa wa Mwanza ambapo ni lango kuu la watu kutoka mikoa ya kagera, kigoma, Geita na nchi jilani kuingia katika jiji la Mwanza,hivyo inatajwa kuwa sehemu iliyo kwenye hatari kubwa ya kukumbwa na ugonjwa marburg.…
18 February 2025, 5:47 pm
Matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi wilayani Sengerema yanazidi kushika kasi, ambapo mtu mmoja amehukumiwa miaka 3 kwa kosa la kujeruhi watu wa wili na meno. Na;Emmanuel Twimanye Mahakama ya Wilaya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu kwenda jela miaka mitatu Mkazi…
4 February 2025, 7:08 pm
Kuelekea maadhimisho ya miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) viongozi wa chama hicho maeneo mbalimbali nchini wamefanya matukio tofautitofauti ikiwemo kukagua miradi ya maendeleo na matendo ya hisani kama vile kuchangia damu na kufanya usafi mahospitalini. Na; Jovna George…
4 February 2025, 12:33 pm
Ujenzi wa chuo kikuu cha Ardhi Kampasi ya Mwanza unatarajia kuanza kutekelezwa kuanzia February 17 mwaka huu katika kijiji cha Karumo wilayani Sengerema,Ukigharimu kiasi cha Tsh. Bil.16.3. Na;Elisha Magege Wananchi wilayani Sengerema mkoani Mwanza wametakiwa kutoa ushirikiano kwa mkandarasi wa…
22 January 2025, 7:06 pm
Mradi wa USAID Kizazi Hodari Wilaya ya Sengerema ulianza mwezi Oktoba 2023, lengo la mradi huo ni kuboresha huduma za afya, ustawi, ulinzi na usalama kwa watoto walio katika mazingira hatarishi kata ya Igulumuki mradi huo umeweza kutoa huduma kwa…
19 January 2025, 2:30 pm
Halmashauri ya Sengerema kwa bajeti ya Mwaka 2023/24 iliweza kufanya vizuri na kuvuka lengo kwa Asilimia 115 na bajeti ya sasa ya 2024/25 mpaka kufikia january hii imefikia asilimia 55,pia imepitisha mpango wa bajeti wa 2025/26. Na;Elisha Magege Halmashauri ya…
15 January 2025, 4:34 pm
Sengerema ni miongoni mwa Halmashauri zilizonufaika na mradi wa ujenzi minara ya mawasiliano 758 nchini, ambapo minara miwili imekamilika na kuanza kutoa huduma kwa wananchi Sengerema. Na;Elisha Magege Jamii imetakiwa kutunza na kuilinda miundombinu ya mawasiliano inayoendelea kujengwa ili kuimalisha…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa