Sengerema FM
Sengerema FM
24 September 2024, 8:33 pm
Shule ya msingi Mayuya ni miongoni mwa shule zilizokuwa zikifanya vibaya kwenye mitihani yake kutokana na uhaba wa vitendea kazi kwa walimu pamoja na miundombinu iliyokuwepo kuchakaa, jambo lililomlazimu diwani wa kata hiyo kuchukua hatua ya kuanza kuboresha miundombinu ya…
19 September 2024, 1:38 pm
Jumuiya ya umoja wa wanawake CCM (UWT) Wilaya ya Sengerema imefanya uchaguzi wa kumpata mwenyekiti mpya kufuatia kifo cha aliyekuwa mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Jane Msoga aliyefariki Dunia April 30, 2024 wakati akipatiwa matibabu Hospitali ya Mkoa wa Mwanza, Sekou…
17 September 2024, 7:01 pm
Halmashauri ya Sengerema inatarajia kuupokea Mwenge wa Uhuru tar 07/10 ukitokea Halmashauri ya Buchosa na kuukabidhi Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe tarehe 08 Oktoba, 2024. Na;Elisha Magege Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza, Balandya Elikana amekagua jumla ya miradi saba itakayopitiwa…
14 September 2024, 3:27 pm
Wasitafu wengi nchini wamekua wakijikuta wakiishi maisha magumu licha ya Serkali kuwalipa kiinua mgongo,huku baadhi yao wakitajwa kutumia pensheni zao kwa anasa za Dunia. Na Emmanuel Twimanye. Wazee wastaafu wilayani Sengerema mkoani Mwanza wametakiwa kuacha kutumia pensheni zao kwa anasa badala…
13 September 2024, 7:07 am
Kufuatia kuwepo kwa matukio ya utekaji na mauaji ya raia nchini Tanzania viongozi wa Dini wazidi kuhimiza Waatanzania kila mmoja kwa imani yake kuliombea taifa ili Mungu atuepushe na majanga hayo. Na;Emmanuell Twimanye Wananachi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuliombea…
12 September 2024, 3:27 pm
Halmashauri ya Sengerema inakadiliwa kuwa na jumla ya Mifugo 108,758 ambapo mifugo hii huchangia kwenye pato la mtu mmoja mmoja pia kuzalisha maligafi za viwandani na ajira kwa wananchi wilayani hapo. Na;Elisha Magege Halmashauri ya Sengerema imezindua kampeni ya uogeshaji…
11 September 2024, 8:12 pm
Matukio ya vijana kujinyonga wilayani Sengerema yanazidi kushika kasi huku chanzo kikitajwa kuwa ni wivu wa kimapenzi na ugumu wa maisha. Na;Emmanuel Twimanye Kijana mwenye umri wa miaka 34 aliyefahamika kwa jina la Faustine Malima amefariki Dunia kwa kujinyonga chumbani…
10 September 2024, 5:50 pm
Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Sengerema (FDC) ni miongoni mwa vyuo vikongwe nchini vya maendeleo ya wananchi na kimekuwa kikipokea wanafunzi kutoka maeneo mbalimbali nchini. Na:Emmanuel Twimanye Mwanafunzi wa chuo cha Maendeleo ya Wananachi Sengerema (FDC) kilichopo wilayani Sengerema mkoani…
8 September 2024, 2:34 pm
Katika kuadhimisha kutimiza miaka 105 ya Jeshi la Polisi Tanzania, jeshi hilo limejipanga kutoa elimu na msaada kwa jamii . Na;Elisha Magege Jeshi la polisi wilayani Sengerema limetoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto yatima cha bustani…
6 September 2024, 1:40 pm
Wilaya ya Sengerema ni miongoni mwa wilaya inayozalisha chakula kwa wingi kanda ya ziwa na hujiingizia mapato mengi kupitia sekta hiyo pia imetoa ajira nyingi kwa wakazi wa wilaya hiyo kutokana na kukeza kwenye kilimo cha bustani kwani wilaya hiyo…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa