Sengerema FM
Sengerema FM
12 October 2024, 4:23 pm
Serkali kupitia TAMISEMI imetangaza siku kumi za wananchi kujiandikisha kwenye daftari la makazi kwa ajili ya kushiriki uchaguzi serkali za mitaa mwezi november mwaka huu. Na.Emmanuel Twimanye Wananachi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuendelea kujitokeza kujiandikisha katika Daftari la makazi…
11 October 2024, 3:38 pm
Upatikanaji wa maji safi na salama vijijini unasaidia kuimalisha ukuaji wa jamii kiuchumi kwa kupunguza wananchi kutumia muda mwingi kusaka huduma ya maji lakini pia kuchochea maendeleo kupitia kilimo cha umwagiliaji. Na;Elisha Magege Wananchi kijiji cha Chifunfu wilayani Sengerema Mkoani…
9 October 2024, 1:13 pm
Mwenge wa uhuru mwaka huu katika Halmashauri ya Sengerema umefanikiwa kuifikia miradi sita yenye thamani ya zaidi ya Tsh. Bilioni 4.6 Na: Jovna George Kiongozi wa mbio za mwenge Kitaifa amewataka wananchi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza kushirikiana kwa pamoja kutokomeza…
9 October 2024, 12:55 pm
Shule ya Msingi Matwiga ni miongoni mwa Shule mpya za msingi zilizojengwa katika kata ya Mission halmashauri ya Sengerema Na;Jovna George Diwani wa kata ya misheni Wilayani Sengerema Francis Mbungai amewataka wazazi na walezi kuwalinda watoto waliohitimu Darasa la saba…
6 October 2024, 5:21 pm
Jamii imekua haiwaamini vijana kutokana na kuwa na tamaa ya mali za haraka jambo lililopelekea kuwa wadokozi na wezi wa vitu mbalimbali kwenye maeneo yao. Na;Emmanuel Twimanye Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 17 amekamatwa na Jeshi la Polisi jamii…
6 October 2024, 5:05 pm
Matukio ya moto kuzuka gafla kwenye nyumba za watu wilayani Sengerema imekuwa ikijitokeza mara kwa mara ambapo jeshi la zimamoto na uokoaji limeendelea kutoa tahadhali kwa wananchi wilayani hapo. Na;Emmanuel Twimanye Moto umezuka ghafla na kuteketeza vitu mbambali ikiwemo magunia…
5 October 2024, 7:09 pm
Shule ya Sekondari Katunguru ni miongoni mwa Shule Kongwe zilizopo Wilayani Sengerema na imekuwa ikifanya Vizuri kwenye matokeo ya kidato cha nne na cha pili mitihani ya kitaifa. Na;Joyce Rollingstone Shule ya Sekondari Katunguru wilayani Sengerema mkoani Mwanza ,imejipanga kuweka…
27 September 2024, 6:31 pm
Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Sengerema ameendelea kutoa elimu ya uchaguzi wa serkali za mitaa kwa makundi mbalimbali katika jamii,uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Nov 27 mwaka huu nchini Tanzania. Na:Elisha Magege Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Sengerema Haji Juma…
26 September 2024, 8:54 pm
Wananchi Halmashauri ya Buchosa wametakiwa kujitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika November 27 mwaka huu nchini. Hayo yamebainishwa na msimamizi wa uchaguzi halmashauri hiyo Bwn. Benson Mihayo, ambapo amesema kuwa…
26 September 2024, 3:50 pm
Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Sengerema amewataka wananchi kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura, kwa ajili ya uchaguzi wa serkali za mitaa mwezi Novemba mwaka huu. Na:Tumain John Wananchi Halmashauri ya Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kujitokeza kuchukua fomu za kugombea…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa