Sengerema FM

Recent posts

30 April 2025, 6:49 pm

Wananchi watakiwa kujitokeza kuboresha taarifa zao daftari la mpiga kura

Tume huru ya taifa ya uchaguzi (INEC) imetangaza siku saba za wananchi kuboresha taarifa za mpiga kura katika jimbo la Sengerema, mkoani Mwanza. Na,Elisha Magege Afsa mwandikishaji jimbo la Sengerema Binuru Mussa Shekidele amewataka maafsa uandikishaji wanaotarajia kwenda kuanza kuboresha…

8 April 2025, 8:54 pm

Avuna samaki wa vizimba vya Rais Samia Buchosa

Katika kuhakiki mazingira ya uvuvi ndani ya Ziwa Victoria yanazidi kuimarika serikali ilitoa mkopo kupitia Bank ya Kilimo kwa wavuvi kuanzisha vikundi vya ufugaji wa Samaki, ambapo tayari vikundi kutoka Halmashauari ya Buchosa mkoani Mwanza vimeanza kuvuna samaki hao. Na;Elisha…

25 March 2025, 8:58 pm

Msonde athibitisha daraja la JPM kuanza kazi April 2025

Kwa sasa sehemu ya barabara ya ushoroba wa ziwa Victoria kutoka Sirari mpani mwa Tanzania na Kenya na Mtukula mpakani mwa Tanzania na Uganda imepita eneo la Kigongo Busisi ambapo imeunganishwa kwa kutumia vivuko vikubwa vitatu vya MV Mwanza, MV…

21 March 2025, 7:31 pm

RUWASA watoa msaada kwa wafungwa magereza ya Kasungamile

Kila mwaka Machi 22 huwa ni Siku ya Maji ambayo huadhimishwa kimataifa kutokana na  na Azimio Na. 47/193 la Umoja wa Mataifa (UN), ambapo Wakala wa Maji Vijijini RUWASA wialayani Sengerema umetoa msaada kwa wafungwa na kupanda miti kwenye vyanzo…

21 March 2025, 7:07 am

Mwalimu, mchungaji mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka 10

Matukio ya ubakaji wilayani Sengerema yanazidi kushamiri ambapo taarifa inayozungumzwa ni ya mtoto mwenye umri wa miaka 10 anayedaiwa kubakwa na watu wawili kwa nyakati tofauti. Na,Emmanuel Twimanye Jeshi la Polisi Wilayani Sengerema mkoani Mwanza linawashikilia watu wawili   akiwemo mwalimu…

17 March 2025, 5:22 pm

Watakiwa kumuenzi JPM kwa kuchapa kazi

Tanzania imeazimisha miaka minne tangu rais wa awamu ya Tano Dr. John Pombe Magufuli afariki Dunia,ambapo baadhi ya wananchi na viongozi wamesema wataendelea kumuenzi kiongozi huyo kwa uchapa kazi wake uliokuwa umetukuka kwani alifanikiwa pakubwa kurejesha nidhamu kazini. Na,Emmanuel Twimanye…

15 March 2025, 1:59 pm

Dawa za kienyeji bila vipimo zatajwa kuwa hatari kwa figo

Kila Alhamis ya pili ya mwezi Machi Dunia huadhimisha Siku ya Figo ikiwa na lengo la kutoa elimu ya namna bora ya kutunza na kuepukana na magonjwa yanayoweza kuleta madhara makubwa kwa figo. Na John Sospiter. Wananchi wilayani Sengerema mkoani…

15 March 2025, 1:29 pm

Waipongeza Sengerema FM kwa kutoa elimu ya ugonjwa marburg

Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Afya nchini Mh. Jenista Mhagama imetangaza kufanikiwa kuudhibiti ugonjwa wa marburg, ambao ulitangazwa kuibuka nchini mwezi Januari 2025 katika halmashauri ya wilaya ya Bihalamulo mkoani Kagera. Na,Elisha Magege Kufuatia Serikali ya Jamhuri ya Muungano…

14 March 2025, 8:02 pm

Mzee Lucas ahukumiwa kwa kumbaka mjukuu wake wa miaka 13

Matukio ya ubakaji nchini yanazidi kushika kasi ambapo mzee mmoja mwenye umri wa miaka 56 amehukumiwa miaka 30 kwa kosa la kumbaka mjukuu wake wa miaka 13, baada ya mke wake kusafiri. Na,Emmanuel Twimanye Mahakama ya Wilaya Sengerema Mkoani Mwanza…

Mission and Vision

Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema

Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa