Sengerema FM

Recent posts

21 March 2025, 7:07 am

Mwalimu, mchungaji mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka 10

Matukio ya ubakaji wilayani Sengerema yanazidi kushamiri ambapo taarifa inayozungumzwa ni ya mtoto mwenye umri wa miaka 10 anayedaiwa kubakwa na watu wawili kwa nyakati tofauti. Na,Emmanuel Twimanye Jeshi la Polisi Wilayani Sengerema mkoani Mwanza linawashikilia watu wawili   akiwemo mwalimu…

17 March 2025, 5:22 pm

Watakiwa kumuenzi JPM kwa kuchapa kazi

Tanzania imeazimisha miaka minne tangu rais wa awamu ya Tano Dr. John Pombe Magufuli afariki Dunia,ambapo baadhi ya wananchi na viongozi wamesema wataendelea kumuenzi kiongozi huyo kwa uchapa kazi wake uliokuwa umetukuka kwani alifanikiwa pakubwa kurejesha nidhamu kazini. Na,Emmanuel Twimanye…

15 March 2025, 1:59 pm

Dawa za kienyeji bila vipimo zatajwa kuwa hatari kwa figo

Kila Alhamis ya pili ya mwezi Machi Dunia huadhimisha Siku ya Figo ikiwa na lengo la kutoa elimu ya namna bora ya kutunza na kuepukana na magonjwa yanayoweza kuleta madhara makubwa kwa figo. Na John Sospiter. Wananchi wilayani Sengerema mkoani…

15 March 2025, 1:29 pm

Waipongeza Sengerema FM kwa kutoa elimu ya ugonjwa marburg

Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Afya nchini Mh. Jenista Mhagama imetangaza kufanikiwa kuudhibiti ugonjwa wa marburg, ambao ulitangazwa kuibuka nchini mwezi Januari 2025 katika halmashauri ya wilaya ya Bihalamulo mkoani Kagera. Na,Elisha Magege Kufuatia Serikali ya Jamhuri ya Muungano…

14 March 2025, 8:02 pm

Mzee Lucas ahukumiwa kwa kumbaka mjukuu wake wa miaka 13

Matukio ya ubakaji nchini yanazidi kushika kasi ambapo mzee mmoja mwenye umri wa miaka 56 amehukumiwa miaka 30 kwa kosa la kumbaka mjukuu wake wa miaka 13, baada ya mke wake kusafiri. Na,Emmanuel Twimanye Mahakama ya Wilaya Sengerema Mkoani Mwanza…

14 March 2025, 7:44 pm

SEUWASA yakabidhi pikipiki na kutoa onyo kwa atakae bebea abilia

Ili kuboresha huduma ya upatikanaji wa maji safi mjini Sengerema Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira (SEUWASA) imekabidhi pikipiki 5 kwa watumishi wa idara ya Ufundi na huduma kwa mteja wa mamlaka hiyo. Na,Emmanuel Twimanye Watumishi wa Mamlaka…

4 March 2025, 8:41 pm

Amuunguza maji ya moto kisa kuchelewa kurudi nyumbani

Bibi amfanyia ukatili mjukuu wake kwa kumumwagia chai ya moto sehemu mbalimbali za mwili wake baada ya kuchelewa kurudi nyumbani kutoka sokoni alikokuwa amemuagiza kwenda kuuza sambusa. Na Emmanuel Twimanye Mtoto mwenye umri wa miaka 14 katika Mtaa wa Misheni Wilayani…

1 March 2025, 6:44 pm

Zaidi ya mil.300 kutolewa mikopo ya 10% Sengerema

Wananchi wameonyesha kufurahia baada ya mikopo ya asilimia kumi kurejeshwa huku wakidai wameumizwa sana na kausha damu baada ya serkali kusitisha mikopo hiyo kwa vijana,wanawake na wenye ulemavu. Na,Elisha Magege Halmashauri ya Sengerema imetoa mafunzo ya siku moja ya namna…

1 March 2025, 6:24 pm

Ahukumiwa miaka 30 kwa kubaka mtoto wa miaka 6

Matukio ya watu kubaka na kulawiti yameoonekana kushika kasi wilayani Sengeremma ambapo mtu mmoja amehukumiwa miaka 30 kwa kumbaka mtoto wwa miaka 6 wilayani hapo. Na,Emmanuel Twimanye Mkazi wa Kijiji cha Kijiweni, Wilaya Sengerema, mkoani Mwanza, Masele Maganga (42) amehukumiwa…

28 February 2025, 6:46 pm

Waganga wapigwa marufuku kufanya mapenzi na wagonjwa

Waganga wa kienyeji wamekua na tabia ya kufanya mapenzi na wagonjwa wao jambo ambalo limepingwa na viongozi wa chama wa CHAWATIATA kuwa nii kosa na si maadili ya kazi hiyo. Na,Emmanuel Twimanye Wagaga   wa tiba asili   Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza  …

Mission and Vision

Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema

Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa