Sengerema FM

Recent posts

27 September 2024, 6:31 pm

Polisi Sengerema wanolewa uchaguzi serikali za mitaa

Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Sengerema ameendelea kutoa elimu ya uchaguzi wa serkali za mitaa kwa makundi mbalimbali katika jamii,uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Nov 27 mwaka huu nchini Tanzania. Na:Elisha Magege Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Sengerema Haji Juma…

26 September 2024, 8:54 pm

Kipindi maalum kuelekea uchaguzi serikali za mitaa Buchosa

Wananchi Halmashauri ya Buchosa wametakiwa kujitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika November 27 mwaka huu nchini. Hayo yamebainishwa na msimamizi wa uchaguzi halmashauri hiyo Bwn. Benson Mihayo, ambapo amesema kuwa…

26 September 2024, 3:50 pm

Watakiwa kujitokeza kugombea uongozi serikali za mitaa

Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Sengerema amewataka wananchi kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura, kwa ajili ya uchaguzi wa serkali za mitaa mwezi Novemba mwaka huu. Na:Tumain John Wananchi Halmashauri ya Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kujitokeza kuchukua fomu za kugombea…

25 September 2024, 8:26 am

Mtoto wa miaka 6 atelekezwa na baba yake mzazi mjini Sengerema

Kufuatia kuwepo kwa matukio ya mauaji na utekaji wa watoto nchini, baadhi ya wazazi au walezi wamekuwa na tabia ya kutelekeza watoto mtaani nyakati za usiku na baadaye kulalamika kuwa watoto wao wametekwa na wasiojulikana. Na:Emmanuel Twimanye Mtoto anaye kadiliwa…

24 September 2024, 8:33 pm

Diwani apongeza maboresho miundombinu ya elimu Mayuya

Shule ya msingi Mayuya ni miongoni mwa shule zilizokuwa zikifanya vibaya kwenye mitihani yake kutokana na uhaba wa vitendea kazi kwa walimu pamoja na miundombinu iliyokuwepo kuchakaa, jambo lililomlazimu diwani wa kata hiyo kuchukua hatua ya kuanza kuboresha miundombinu ya…

19 September 2024, 1:38 pm

UWT Sengerema wapata mwenyekiti mpya

Jumuiya ya umoja wa wanawake CCM (UWT) Wilaya ya Sengerema imefanya uchaguzi wa kumpata mwenyekiti mpya kufuatia kifo cha aliyekuwa mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Jane Msoga aliyefariki Dunia April 30, 2024 wakati akipatiwa matibabu Hospitali ya Mkoa wa Mwanza, Sekou…

17 September 2024, 7:01 pm

RAS Mwanza akagua miradi itakayopitiwa na Mwenge 2024

Halmashauri ya Sengerema inatarajia kuupokea Mwenge wa Uhuru tar 07/10 ukitokea Halmashauri ya Buchosa na kuukabidhi Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe tarehe  08 Oktoba, 2024. Na;Elisha Magege Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza, Balandya Elikana amekagua jumla ya miradi saba itakayopitiwa…

14 September 2024, 3:27 pm

Wastaafu waaswa kuacha kutumia ‘pensheni’ kwa anasa

Wasitafu wengi nchini wamekua wakijikuta wakiishi maisha magumu licha ya Serkali kuwalipa kiinua mgongo,huku baadhi yao wakitajwa kutumia pensheni zao kwa anasa za Dunia. Na Emmanuel Twimanye. Wazee  wastaafu wilayani  Sengerema  mkoani Mwanza wametakiwa kuacha kutumia pensheni zao kwa  anasa badala…

13 September 2024, 7:07 am

Matukio ya mauaji ni hatari tuliombee Taifa-Sheikh JAH

Kufuatia kuwepo kwa matukio ya utekaji na mauaji ya raia nchini Tanzania viongozi wa Dini wazidi kuhimiza Waatanzania kila mmoja kwa imani yake kuliombea taifa ili Mungu atuepushe na majanga hayo. Na;Emmanuell Twimanye Wananachi  Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuliombea…

12 September 2024, 3:27 pm

Sengerema kuboresha mazingira ya wafugaji 2025

Halmashauri ya Sengerema inakadiliwa kuwa na jumla ya Mifugo 108,758 ambapo mifugo hii huchangia kwenye pato la mtu mmoja mmoja pia kuzalisha maligafi za viwandani na ajira kwa wananchi wilayani hapo. Na;Elisha Magege Halmashauri ya Sengerema imezindua kampeni ya uogeshaji…

Mission and Vision

Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema

Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa