Sengerema FM
Sengerema FM
4 February 2025, 7:08 pm
Kuelekea maadhimisho ya miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) viongozi wa chama hicho maeneo mbalimbali nchini wamefanya matukio tofautitofauti ikiwemo kukagua miradi ya maendeleo na matendo ya hisani kama vile kuchangia damu na kufanya usafi mahospitalini. Na; Jovna George…
4 February 2025, 12:33 pm
Ujenzi wa chuo kikuu cha Ardhi Kampasi ya Mwanza unatarajia kuanza kutekelezwa kuanzia February 17 mwaka huu katika kijiji cha Karumo wilayani Sengerema,Ukigharimu kiasi cha Tsh. Bil.16.3. Na;Elisha Magege Wananchi wilayani Sengerema mkoani Mwanza wametakiwa kutoa ushirikiano kwa mkandarasi wa…
22 January 2025, 7:06 pm
Mradi wa USAID Kizazi Hodari Wilaya ya Sengerema ulianza mwezi Oktoba 2023, lengo la mradi huo ni kuboresha huduma za afya, ustawi, ulinzi na usalama kwa watoto walio katika mazingira hatarishi kata ya Igulumuki mradi huo umeweza kutoa huduma kwa…
19 January 2025, 2:30 pm
Halmashauri ya Sengerema kwa bajeti ya Mwaka 2023/24 iliweza kufanya vizuri na kuvuka lengo kwa Asilimia 115 na bajeti ya sasa ya 2024/25 mpaka kufikia january hii imefikia asilimia 55,pia imepitisha mpango wa bajeti wa 2025/26. Na;Elisha Magege Halmashauri ya…
15 January 2025, 4:34 pm
Sengerema ni miongoni mwa Halmashauri zilizonufaika na mradi wa ujenzi minara ya mawasiliano 758 nchini, ambapo minara miwili imekamilika na kuanza kutoa huduma kwa wananchi Sengerema. Na;Elisha Magege Jamii imetakiwa kutunza na kuilinda miundombinu ya mawasiliano inayoendelea kujengwa ili kuimalisha…
12 January 2025, 2:12 pm
Kupitia uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika nchini November 24 mwaka jana 2024 viongozi waliochaguliwa kwa nafasi zao, leo wamepewa mafunzo ya namna ya kuweza kuongoza vijiji na mitaa bila kuingiliia maslahi ya watendaji wa vijiji na kata. Na;Elisha Magege…
26 December 2024, 10:52 am
Wakirsto ulimwenguni kote husherekea sikukuu ya kuzaliwa bwana yesu Kristo kila mwaka tar 25,ambapo pia hufanya matendo mbalimbali ya hisani kwa jamii. Na,Elisha Magege Prof.Edwinus Chrisantus Lyaya amekabidhi kitoweo cha Ng’ombe kwa wafungwa katika Gereza la Magu ili washerekee sikukuu…
24 December 2024, 9:50 pm
Katika kuelekea sikukuu za mwisho wa Mwaka watu mbalimbali hujitolea misaada kwa wahitaji kama sehemu ya ibaada na kumbukumbu kwa jamii inayo wazunguka. Na;Elisha Magege Jamii imetakiwa kujitoa na kusaidia wenye uhitaji wakiwemo wagonjwa, wafungwa na wenye mahitaji maalumu hasa…
19 December 2024, 4:35 pm
Mradi wa uchimbaji mkubwa wa dhahabu uliopo Nyanzaga-Sengerema unatarajiwa kuanza kazi za awali za ujenzi wa mgodi ifikapo Januari, 2025. Na;Elisha Magege Wananchi wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali zinazokuja kutokana na mgodi wa Sotta Mining Ltd unaotarajia…
9 December 2024, 8:19 pm
Maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara kiwilaya Sengerema yamefanyika shule ya Msingi Lumeya katika halmashauri ya Buchosa ambapo miti 2000 imepandwa kama kumbukumbu ya maadhimisho hayo mwaka huu. Na;Emmanuel Twimanye Wakala wa Huduma za Mistu Tanzania (TFS)…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa