

22 January 2025, 7:06 pm
Mradi wa USAID Kizazi Hodari Wilaya ya Sengerema ulianza mwezi Oktoba 2023, lengo la mradi huo ni kuboresha huduma za afya, ustawi, ulinzi na usalama kwa watoto walio katika mazingira hatarishi kata ya Igulumuki mradi huo umeweza kutoa huduma kwa…
19 January 2025, 2:30 pm
Halmashauri ya Sengerema kwa bajeti ya Mwaka 2023/24 iliweza kufanya vizuri na kuvuka lengo kwa Asilimia 115 na bajeti ya sasa ya 2024/25 mpaka kufikia january hii imefikia asilimia 55,pia imepitisha mpango wa bajeti wa 2025/26. Na;Elisha Magege Halmashauri ya…
15 January 2025, 4:34 pm
Sengerema ni miongoni mwa Halmashauri zilizonufaika na mradi wa ujenzi minara ya mawasiliano 758 nchini, ambapo minara miwili imekamilika na kuanza kutoa huduma kwa wananchi Sengerema. Na;Elisha Magege Jamii imetakiwa kutunza na kuilinda miundombinu ya mawasiliano inayoendelea kujengwa ili kuimalisha…
12 January 2025, 2:12 pm
Kupitia uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika nchini November 24 mwaka jana 2024 viongozi waliochaguliwa kwa nafasi zao, leo wamepewa mafunzo ya namna ya kuweza kuongoza vijiji na mitaa bila kuingiliia maslahi ya watendaji wa vijiji na kata. Na;Elisha Magege…
26 December 2024, 10:52 am
Wakirsto ulimwenguni kote husherekea sikukuu ya kuzaliwa bwana yesu Kristo kila mwaka tar 25,ambapo pia hufanya matendo mbalimbali ya hisani kwa jamii. Na,Elisha Magege Prof.Edwinus Chrisantus Lyaya amekabidhi kitoweo cha Ng’ombe kwa wafungwa katika Gereza la Magu ili washerekee sikukuu…
24 December 2024, 9:50 pm
Katika kuelekea sikukuu za mwisho wa Mwaka watu mbalimbali hujitolea misaada kwa wahitaji kama sehemu ya ibaada na kumbukumbu kwa jamii inayo wazunguka. Na;Elisha Magege Jamii imetakiwa kujitoa na kusaidia wenye uhitaji wakiwemo wagonjwa, wafungwa na wenye mahitaji maalumu hasa…
19 December 2024, 4:35 pm
Mradi wa uchimbaji mkubwa wa dhahabu uliopo Nyanzaga-Sengerema unatarajiwa kuanza kazi za awali za ujenzi wa mgodi ifikapo Januari, 2025. Na;Elisha Magege Wananchi wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali zinazokuja kutokana na mgodi wa Sotta Mining Ltd unaotarajia…
9 December 2024, 8:19 pm
Maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara kiwilaya Sengerema yamefanyika shule ya Msingi Lumeya katika halmashauri ya Buchosa ambapo miti 2000 imepandwa kama kumbukumbu ya maadhimisho hayo mwaka huu. Na;Emmanuel Twimanye Wakala wa Huduma za Mistu Tanzania (TFS)…
9 December 2024, 2:42 pm
Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 kutoka kwa mkoloni mwingereza, ikikabbidhiwa kwa mwl. julius K.Nyerere akiwa kama waziri mkuu wa kwanza mtanganyika na badae rais wa kwanza wa taifa hilo,na leo imetimia miaka 63 tangu kupatikana kwa uhuru huo. Na;;Elisha Magege…
8 December 2024, 10:14 pm
Hivi karibuni waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alielekeza maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania yafanyike Kwa ngazi za Mikoa na Wilaya, kwa kufanya shughuli za kijamii zikiwemo upandaji miti, usafi wa mazingira katika maeneo ya kijamii…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa