Sengerema FM

Recent posts

3 June 2025, 3:26 pm

Mtoto wa mwaka mmoja afa maji wilayani Sengerema

Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha kwa baadhi ya maeneo nchini Tanzania, mashimo na madimbwi yamejaa maji jambo linaloweza kusababisha maafa kama watoto watacheza kwenye maeneo hayo,na katika wilaya ya Sengerema mtoto mmoja amefariki baada ya kuzama kwenye dimbwi lililokuwa na maji.…

21 May 2025, 7:10 pm

“Kuelekea uchanguzi mkuu tuwe makini na taarifa za mitandaoni”

Mei 20 2025 nchini Tanzania ilienea taarifa ya udukuzi kwenye mitandao ya kijamii ya baadhi ya tasisi za kiserikali na za watu binafsi,jambo lililowaimbua wataalamu wa mitandao nchini kuitaka jamii ya watanzania kuwa makini na mitandao hasa kipindi hiki cha…

19 May 2025, 8:40 pm

PM Majaliwa: Walioiba vifaa tiba wachukuliwe hatua kali

Waziri mkuu akizungumza na wananchi mjini Sengerema wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani hapo.Picha na Elisha Magege Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa wa Mwanza uhakikishe unakamilisha uchunguzi wa watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Sengerema wanaodaiwa kuhusika na…

12 May 2025, 7:57 pm

Heche asisitiza No reform No elections akiwa Sengerema

Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema kinaendelea na oparesheni yake ya No reform No eleections,ambapo tayari imeshaanza kanda ya victoria yenye mikoa ya Kagera,Geita na Mwanza. Na Emmanuel Twimanye Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) bara John…

10 May 2025, 6:42 pm

Watakiwa kwenda chuo kusoma udereva na usalama barabarani

Kufuatia kukithiri kwa ajali za barabarani nchini Chuo cha udereva cha Nyota Kilichopo jijini mwanza kimeanzisha darasa la udereva linalotembea, ambapo kimekita kambi wilaya ya Sengerema kufundisha udereva na sheria za usalama barabarani. Na.Elisha Magege Vijana wanao endesha vyombo vya…

30 April 2025, 6:49 pm

Wananchi watakiwa kujitokeza kuboresha taarifa zao daftari la mpiga kura

Tume huru ya taifa ya uchaguzi (INEC) imetangaza siku saba za wananchi kuboresha taarifa za mpiga kura katika jimbo la Sengerema, mkoani Mwanza. Na,Elisha Magege Afsa mwandikishaji jimbo la Sengerema Binuru Mussa Shekidele amewataka maafsa uandikishaji wanaotarajia kwenda kuanza kuboresha…

8 April 2025, 8:54 pm

Avuna samaki wa vizimba vya Rais Samia Buchosa

Katika kuhakiki mazingira ya uvuvi ndani ya Ziwa Victoria yanazidi kuimarika serikali ilitoa mkopo kupitia Bank ya Kilimo kwa wavuvi kuanzisha vikundi vya ufugaji wa Samaki, ambapo tayari vikundi kutoka Halmashauari ya Buchosa mkoani Mwanza vimeanza kuvuna samaki hao. Na;Elisha…

25 March 2025, 8:58 pm

Msonde athibitisha daraja la JPM kuanza kazi April 2025

Kwa sasa sehemu ya barabara ya ushoroba wa ziwa Victoria kutoka Sirari mpani mwa Tanzania na Kenya na Mtukula mpakani mwa Tanzania na Uganda imepita eneo la Kigongo Busisi ambapo imeunganishwa kwa kutumia vivuko vikubwa vitatu vya MV Mwanza, MV…

21 March 2025, 7:31 pm

RUWASA watoa msaada kwa wafungwa magereza ya Kasungamile

Kila mwaka Machi 22 huwa ni Siku ya Maji ambayo huadhimishwa kimataifa kutokana na  na Azimio Na. 47/193 la Umoja wa Mataifa (UN), ambapo Wakala wa Maji Vijijini RUWASA wialayani Sengerema umetoa msaada kwa wafungwa na kupanda miti kwenye vyanzo…

Mission and Vision

Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema

Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa