Sengerema FM

Recent posts

16 August 2025, 7:54 pm

Wananchi Sengerema wailalamikia SEUWASA kukatika maji mara kwa mara

Licha ya kuwa na mradi mkubwa wa maji wenye thamani zaidi ya Tsh.Bil 22 Wilaya ya Sengerema imekuwa na changamoto ya kukosa maji mara kwa mara hasa kwenye maeneo ya miinuko bila kutolewa ufafanuzi kwa wananchi. Na,Peter Marlesa Wananchi Wilayani…

5 August 2025, 12:18 pm

Wasimamizi wa uchaguzi kata watakiwa kufuata miongozo ya uchaguzi 2025

Ikiwa vyama vya siasa nchini vinaendelea na zoezi la kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwemo Udiwani,Ubunge na Urais Tume ya uchaguzi nayo inaendelea na zoezi la kuratibu wasimamizi wa uchaguzi nganzi za Kata na Jimbo. Na;Emmanuel Twimanye Wasimamizi wa uchaguzi…

5 August 2025, 12:00 pm

Karibu kusikiliza kipindi maalumu na TCRA kanda ya ziwa

Mamlaka ya mawasiliano Nchini Tanzania (TCRA) Kanda ya ziwa imewataka watanzania kuwa makini na taarifa za kimtandao hasa taarifa za uongo. Na.Peter Marlesa Ungana na Peter Marlesa akiwa na  Belenadetha Mathayo Afsa kutoka TCRA kanda ya Ziwa, akifafanua kwa Watanzania…

31 July 2025, 3:34 pm

Atoroka baada ya kumuua mchepuko wa mke wake

Wivu wa mapenzi umemusababishia Bwn. Bagandosa kusakwa na jeshi la polisi baada ya kumuua mwanaume anayedaiwa kuwa mchepuko wa mke wake, na kutokomea kusiko julikana. Na;Emmanuel Twimanye Jeshi la Polisi  Mkoa wa Mwanza, linamsaka Bagandosa Silas Menelo, kwa tuhuma za…

28 July 2025, 5:17 pm

Nukta Afrika yaja na mwarobaini kubaini taarifa za uongo

Kampuni ya Nukta Afrika imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari radio za kijamii juu ya namna ya habari za uongo na upotoshaji zinazotolewa na baadhi ya mitandao ya kijamii, hususa ni kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Na,Michael Mgozi Waandishi…

14 June 2025, 4:22 pm

Akamatwa akiiba koki na mita za maji mjini Sengerema

Wimbi la wizi wa koki na mita za maji mjini Sengerema limezidi kushika kasi ambapo baadhi ya wezi wamekuwa wakidai kuiba na kuuza kama vyuma chakavu. Na Emmanuel Twimanye Mtoto mwenye umri wa miaka 15 katika mtaa wa Busisi Road …

14 June 2025, 10:19 am

Tabasamu akabidhi mil.10 kwa bodaboda Sengerema

Mai 19 waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh.Kassimu Majaliwa alikuwa na ziara wilayani Sengerema ya kukagua miradi na kusikiliza kero za wananchi ambapo bodaboda waliiomba serikali kuwasaidia fedha ili kutimiza malengo yao ya kununua koster kwa ajili…

10 June 2025, 6:14 pm

Baptist Sengerema waliombea taifa kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Kufuatia uwepo wa matukio ya uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu 2025 viongozi na wamini wa kanisa la Baptist Sengerema wameungana na kufanya maombi ya kuliombea taifa ili liendelee kuwa kisiwa cha amani kama inavyotambulika kuwa Tanzania ni kisiwa cha…

Mission and Vision

Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema

Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa