

1 March 2025, 6:44 pm
Wananchi wameonyesha kufurahia baada ya mikopo ya asilimia kumi kurejeshwa huku wakidai wameumizwa sana na kausha damu baada ya serkali kusitisha mikopo hiyo kwa vijana,wanawake na wenye ulemavu. Na,Elisha Magege Halmashauri ya Sengerema imetoa mafunzo ya siku moja ya namna…
1 March 2025, 6:24 pm
Matukio ya watu kubaka na kulawiti yameoonekana kushika kasi wilayani Sengeremma ambapo mtu mmoja amehukumiwa miaka 30 kwa kumbaka mtoto wwa miaka 6 wilayani hapo. Na,Emmanuel Twimanye Mkazi wa Kijiji cha Kijiweni, Wilaya Sengerema, mkoani Mwanza, Masele Maganga (42) amehukumiwa…
28 February 2025, 6:46 pm
Waganga wa kienyeji wamekua na tabia ya kufanya mapenzi na wagonjwa wao jambo ambalo limepingwa na viongozi wa chama wa CHAWATIATA kuwa nii kosa na si maadili ya kazi hiyo. Na,Emmanuel Twimanye Wagaga wa tiba asili Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza …
28 February 2025, 11:07 am
Hakimu Kisoka ametoa hukumu kwa mshitakiwa kutumikia kifungo cha miaka 30 jela ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hiyo. Na,Emmanuel Twimanye Mahakama ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukuma Slyvester Elias (29) Mkazi wa Kijiji cha Nyehunge,…
27 February 2025, 11:28 am
Tangu kuripotowa kwa homa ya marburg wilayani Biharamulo mkoani Kagera kumekuwepo na tabia za baadhi ya familia kukimbilia kwa waganga wa tiba za asili, jambo ambalo linatajwa kuwa ni hatari zaidi na linaweza pelekea kuenea zaidi kwa ugonjwa huo. Na,Elisha…
20 February 2025, 4:59 pm
Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Sengerema (SEUWASA) Imekuwa ikijiendesha kwa hasara kwa muda mrefu jambo lililoibua maswali mengi kwa baadhi ya wananchi mjini hapo, ambapo tayali mamalaka imeanza kuchukua hatua kwa kufuatilia miundo mbinu yake. Na,Emmanuel…
19 February 2025, 1:04 pm
Halmashauri ya Sengerema inapatikana katika mkoa wa Mwanza ambapo ni lango kuu la watu kutoka mikoa ya kagera, kigoma, Geita na nchi jilani kuingia katika jiji la Mwanza,hivyo inatajwa kuwa sehemu iliyo kwenye hatari kubwa ya kukumbwa na ugonjwa marburg.…
18 February 2025, 5:47 pm
Matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi wilayani Sengerema yanazidi kushika kasi, ambapo mtu mmoja amehukumiwa miaka 3 kwa kosa la kujeruhi watu wa wili na meno. Na;Emmanuel Twimanye Mahakama ya Wilaya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu kwenda jela miaka mitatu Mkazi…
4 February 2025, 7:08 pm
Kuelekea maadhimisho ya miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) viongozi wa chama hicho maeneo mbalimbali nchini wamefanya matukio tofautitofauti ikiwemo kukagua miradi ya maendeleo na matendo ya hisani kama vile kuchangia damu na kufanya usafi mahospitalini. Na; Jovna George…
4 February 2025, 12:33 pm
Ujenzi wa chuo kikuu cha Ardhi Kampasi ya Mwanza unatarajia kuanza kutekelezwa kuanzia February 17 mwaka huu katika kijiji cha Karumo wilayani Sengerema,Ukigharimu kiasi cha Tsh. Bil.16.3. Na;Elisha Magege Wananchi wilayani Sengerema mkoani Mwanza wametakiwa kutoa ushirikiano kwa mkandarasi wa…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa