Sengerema FM
Sengerema FM
19 June 2024, 1:34 pm
Suala la 50 kwa 50 limekua chanzo cha migogoro mingi kutokana na baadhi ya wanandoa kuhisi kuwa wanaweza fanya kitu chochote ambacho mwenza wake anafanya. Na:Elisha Magege Jamii imetakiwa kutambua maana ya neno 50 kwa 50 kati ya mwanamke na…
17 June 2024, 7:28 am
Chimbuko la Maadhimisho haya ni Azimio lililopitishwa na uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU) mwaka 1990 kwa lengo la kuwakumbuka watoto wa kitongoji cha Soweto nchini Afrika ya Kusini waliouawa tarehe 16 Juni, 1976 kutokana na ubaguzi wa…
13 June 2024, 2:13 pm
Kambi za matibabu ya madaktari bingwa wa Rais Samia katika hospitali za Halmashauri za wilaya zinasaidia kupunguza rufaa kwa wagonjwa kwenda katika hospitali za kanda na taifa pia kupelekea kupunguza gharama za matibabu kwa wananchi. Na:Elisha Magege Jamii imetakiwa kuchangamkia…
6 June 2024, 8:49 am
Takukuru imezidi kutoa wito kwa wananchi mkoa wa Mwanza kusimamia Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa katika Maeneo yao, Pamoja na kuzuia, kukemea vitendo vya rushwa katika Maeneo ya kupata huduma Na:Emmanuel Twimanye Tasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani …
30 May 2024, 8:30 am
Matukio ya vijana kujihusisha na wizi yamekuwa yakitajwa kushamili hasa kwa maeneo ya vijijini wilayani Sengerema kutokana wananchi wengi kuvuna mazao ambapo chanzo chake kinadaiwa kuwa baadhi ya vijana kujihusisha na michezo ya kamali bila chanzo kingine cha kipato. Na:Emmanuel…
24 May 2024, 8:09 pm
Licha ya jeshi la polisi kuendelea kutoa elimu na kukemea vitendo vya uhalifu nchini baado lindi la biasharra za viungo vya binadamu hasa wenye ulemavu wa Ngozi linaaendelea kutokea hasa kwa mikoa ya kanda ya Ziwa. Na;Emmanuel Twimanye Jeshi la…
24 May 2024, 7:35 pm
Kamati ya Siasa mkoa wa Mwanza Ikiongozwa na mwenyekitiwa Chama cha mapinduzi (CCM) Michael Lushinge (SIMART) imekagua Miradi yenye thamani ya Tsh.Bil.20 ambapo ni pamoja na mradi wa Maji Nyasigu- Lubungo – Ngoma kata ya Igalula, Ujenzi wa daraja la…
21 May 2024, 7:49 pm
Matukio ya moto yameendelea kushika kasi katika Kata ya Tabaruka ambapo kwa siku za hivi karibuni bweni la wanafunzi wa kike shule ya sekondari Tamabu liliteketea kwa moto mara mbili huku chanzo cha tukio hilo kikiwa hakijafahamika mpaka sasa. Na:…
18 May 2024, 7:42 pm
Shule ya Msingi Isole iliyopo kata ya Buyagu Halmashauri ya Sengerema imekuwa ikikabiliwa na changamoto ya uhaba wa vyumba vya madarasa kwa muda mrefu, hali iliyopelekea shirika la CLWF kujitolea kujenga vyumba vinne vya madarasa shuleni hapo. Na;Emmanuel Twimanye Shirika…
24 April 2024, 8:00 pm
Katika Zoezi hili la Kumbukizi ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar jumla ya miche 800 imepandwa katika eneo la Hospitali ya Wilaya ya Sengerema sambamba na kufanya usafi katika Eneo hilo. Na:Kelvin Philipo Wananchi Wilayani Sengerema Mkoani…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa