Sengerema FM
Sengerema FM
29 October 2024, 9:08 am
Serikali na wadau wameendelea kutoa elimu kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu, huku wananchi wakitakiwa kujitokeza kuchagua viongozi watakao wafaa kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Na;Elisha Magege Vyombo vya Habari nchini vimatakiwa kufuata sheria, kanuni na miongozi…
28 October 2024, 10:48 am
Vijana wengi nchini wamekuwa na tabia ya kuacha kuomba nafasi za uongozi ngazi za serikali za mitaa jambo linalo tajwa kurudisha nyuma maendeleo ya vijiji na mitaa nchini. Na;Elisha Magege Vijana nchini wametakiwa kuchangamkia fursa za kugombea uongozi uchaguzi serkali…
26 October 2024, 9:00 am
Changamoto ya wanawake kuishi na waume zao wanapopata changamoto za kidunia imekuwa ikishamili kwa maeneo mengi nchini, ambapo mala nyingi wamekuwa wakidai hawawezi kamwe kuishi na wanaume wasio na uwezo wa kutafta pesa. Na;Emmanuel Twimanye Mwanamke mmoja katika Kijiji cha…
24 October 2024, 3:58 pm
Shirika la TYC limekuwa likijishughulisha na program mbalimbali za kuwasaidia vijana kuondoka na changamoto ya uhaba wa ajira nchini Tanzania kupitia kilimo. Na;Deborah Maisa Vijana nchini wametakiwa kujikita katika sekta ya kilimo ambayo inachangia kutoa nafasi za ajira kwa kiaasi…
24 October 2024, 3:47 pm
Isangi films Tanzania kikundi cha vijana wilayani Sengerema kilicho amua kutoa elimu mbalimbali kwa jamii kupitia sanaa ya maigizo, Huku kikijitanabaisha kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii. Na:Joyce Rollingstone Wasanii wa Isangi filam Tanzania, Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ,Wametakiwa kuheshimiana pamoja…
15 October 2024, 6:48 pm
Wananchi wa kijiji cha Butonga wilayani Sengerema wafurahia serkali ya awamu ya sita chini ya Dr.Samia kwa kuanza ujenzi wa daraja lililokuwa likisababisha vifo kwao kwa muda mrefu. Na;Emmanuel Twimanye Daraja lililokuwa likihatarisha maisha ya wananchi katika Kijiji cha Butonga…
13 October 2024, 12:01 pm
Mgodi wa dhahabu wa SOTA GOLD Mining uliopo kata ya Igalula wilayani Sengerema mkoani Mwanza unatarajiwa kuanza uzalishaji mwakani 2025, ambapo kwasasa wameaanza madalizi ya ujenzi wa Mgodi huo,ikiwemo kuwahamisha wananchi wenye maeneo yanayo pakana na eneo la mgodi huo.…
12 October 2024, 5:20 pm
Shule ya msingi Tabaruka iliyopo halmashauri ya Sengerema ni miongoni mwa shule zinazofundisha watoto wenye ulemavu Sengerema huku ikikabiliwa na changamoto ya vitendea kazi au vifaa wezeshi kwa watoto hao. Na Joyce Rollingstone Shirika lisilokuwa la kiserikali la Sengerema Mshikamano…
12 October 2024, 4:39 pm
Serkali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewekeza fedha nyingi kujenga vyuo vya ufundi nchini ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa ajira kwa vijana, waweze kujiajiri kupitia ufundi. Na;Deborah Maisa Wahitimu wa chuo cha ufundi Sengerema vtc wametakiwa kusoma…
12 October 2024, 4:23 pm
Serkali kupitia TAMISEMI imetangaza siku kumi za wananchi kujiandikisha kwenye daftari la makazi kwa ajili ya kushiriki uchaguzi serkali za mitaa mwezi november mwaka huu. Na.Emmanuel Twimanye Wananachi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuendelea kujitokeza kujiandikisha katika Daftari la makazi…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa