Sengerema FM

Recent posts

9 December 2024, 2:42 pm

Sengerema imepanda miti 500 kumbuukumbu ya miaka 63 ya uhuru

Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 kutoka kwa mkoloni mwingereza, ikikabbidhiwa kwa mwl. julius K.Nyerere akiwa kama waziri mkuu wa kwanza mtanganyika na badae rais wa kwanza wa taifa hilo,na leo imetimia miaka 63 tangu kupatikana kwa uhuru huo. Na;;Elisha Magege…

8 December 2024, 10:14 pm

Kuelekea miaka 63 ya uhuru Sengerema yafanya usafi hospitali ya wilaya

Hivi karibuni waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alielekeza maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania yafanyike Kwa ngazi za Mikoa na Wilaya, kwa kufanya shughuli za kijamii zikiwemo upandaji miti, usafi wa mazingira katika maeneo ya kijamii…

26 November 2024, 2:59 pm

Mamlaka ya mji mdogo Sengerema kurejea Chadema wakishinda uenyeviti

Kampeni za uchaguzi Serikali za mitaa Mwaka huu 2024 zimeshuhudiwa kuwa na amani bila vurugu yoyote katika halmashauri ya Sengerema huku vyama vyote vikitangaza neema kwa wananchi endapo vitachaguliwa. Na;Elisha Magege Mgombea uenyekiti kitongoji mjini kati kupitia Chadema Nuru Lutembeja…

13 November 2024, 9:11 pm

Kijana ajikuta mikononi mwa polisi kwa kutaka kuoa kwa njia ya udaganyifu

Kijana mmoja aliye jitosa kutaka kuoa amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kukosa mahali na kutaka kumraghai binti amutoroshe, nje na makubaliano na wazazi wake. Na;Emmanuel Twimanye Kijana anayedaiwa kufanya ulaghai wa kumuoa binti kwa njia ya udaganyifu katika kitongoji cha kizugwangoma …

13 November 2024, 8:17 pm

Upepo wa ajabu wavuma na kuangusha kanisa Sengerema

Katika hali isiyo ya kawaida waumini wa kanisa la TEF kwa Neema lililopo katika kitongoji cha Mkomba kijiji cha Busisi, wamejikuta wakiabudia nje baada ya upepo kuvuma ghafla na kudondosha jengo la kanisa lao usiku. Na;Emmanuel Twimanye Katika hali isiyokuwa…

29 October 2024, 9:08 am

Vyombo vya habari vyatakiwa kufuata sheria kuandaa maudhui ya uchaguzi

Serikali na wadau wameendelea kutoa elimu kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu, huku wananchi wakitakiwa kujitokeza kuchagua viongozi watakao wafaa kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Na;Elisha Magege Vyombo vya Habari nchini vimatakiwa kufuata sheria, kanuni na miongozi…

28 October 2024, 10:48 am

Vijana watakiwa kuchangamkia nafasi za uongozi serikali za mitaa

Vijana wengi nchini wamekuwa na tabia ya kuacha kuomba nafasi za uongozi ngazi za serikali za mitaa jambo linalo tajwa kurudisha nyuma maendeleo ya vijiji na mitaa nchini. Na;Elisha Magege Vijana nchini wametakiwa kuchangamkia fursa za kugombea uongozi uchaguzi serkali…

26 October 2024, 9:00 am

Mke amtelekezea watoto wanne mme wake baada ya kupofuka

Changamoto ya wanawake kuishi na waume zao wanapopata changamoto za kidunia imekuwa ikishamili kwa maeneo mengi nchini, ambapo mala nyingi wamekuwa wakidai hawawezi kamwe kuishi na wanaume wasio na uwezo wa kutafta pesa. Na;Emmanuel Twimanye Mwanamke mmoja  katika  Kijiji cha…

24 October 2024, 3:58 pm

TYC Yaja na program ya kilimo sauti kwa vijana nchini

Shirika la TYC limekuwa likijishughulisha na program mbalimbali za kuwasaidia vijana kuondoka na changamoto ya uhaba wa ajira nchini Tanzania kupitia kilimo. Na;Deborah Maisa Vijana nchini wametakiwa kujikita katika sekta ya kilimo ambayo inachangia kutoa nafasi za ajira kwa kiaasi…

24 October 2024, 3:47 pm

Isangi  filam Tanzania wampongeza DC Sengerema kwa kutambua mchango wao

Isangi films Tanzania kikundi cha vijana wilayani Sengerema kilicho amua kutoa elimu mbalimbali kwa jamii kupitia sanaa ya maigizo, Huku kikijitanabaisha kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii. Na:Joyce Rollingstone Wasanii  wa Isangi  filam Tanzania, Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ,Wametakiwa kuheshimiana pamoja…

Mission and Vision

Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema

Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa