Sengerema FM
Sengerema FM
29 March 2024, 6:41 pm
Wakristo ulimwenguni kote wanaungana kuadhimisha sikukuu ya Pasaka kama kumbukumbu ya mateso, kufa na kufufuka kwa bwana Yesu kristo. Na;Emmanuel Twimanye Serikali ya mtaa wa Geita Road kata ya Nyatukala wilayani Sengerema mkoani Mwanza imetangaza mapambano makali dhidi ya wahalifu…
25 March 2024, 6:52 pm
Kuvunjwa mikono, kuachwa na makovu mwilini pamoja na vifo ni matukio mbalimbali yaliyotendwa na yanayoendelea kutendwa dhidi ya wanafunzi huku sababu kubwa ikihusisha adhabu ya viboko jambo la kusikitisha zaidi ni kuwa, utolewaji wa adhabu hizo haufuati taratibu, kanuni pamoja…
22 March 2024, 6:38 am
Kata ya Buzilasoga ni miongoni mwa kata 22 za Tanzania bara ambazo tume ya uchaguzi ilitangaza kufanyika uchaguzi mdogo katika kata hizo ambapo mgombea wa chama cha mapinduzi ndiye aliyetangazwa kuibuka mshindi kati ya wagombea wengine nane kutoka vyama tofauti.…
21 March 2024, 5:14 pm
Kutokana na kuongezeka kwa changamoto ya mabadiliko ya tabianchi duniani jamii imezidi kuhimizwa kupanda na kutunza misitu ili kusaidia kupunguza hewa ya ukaa inayotajwa kutesa dunia ya sasa. Na: Elisha Magege Jamii imetakiwa kupanda miti kwenye maeneo ya wazi ili…
14 March 2024, 3:51 pm
Vifo vitokanavyo na uzazi wilayani Sengerema vimekuwa vikitajwa kuongezeka kutokana na mwitikio mdogo wa akinamama wajawazito kuhudhuria kliniki kwa wakati na matumizi ya dawa za kienyeji. Na:Elisha Magege Matumizi ya dawa za kienyeji yatajwa kuwa chanzo cha vifo vya akinamama…
14 March 2024, 3:20 pm
Jeshi la polisi wilayani Sengerema limefika eneo la tukio na kuchukua mwili wa marehemu Yusuph Hodari aliyekutwa amefariki dunia eneo la Mnadani, kisha kuupeleka katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema kwa ajili ya uchunguzi zaidi. Na:Emmanuel Twimanye Mtu mmoja…
13 March 2024, 7:09 pm
Matukio ya watoto kushambuliwa na fisi wilayani Sengerema yamezidi kushamili maeneo mbalimbali ambapo akizungumza katika Baraza la Madiwani hivi karibuni Diwani wa kata ya Chifunfu Robert Madaha alidai kuwa fisi waliopo Sengerema wanamilikiwa na watu kwani wana majina na namba…
11 March 2024, 6:03 pm
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza Uchaguzi Mdogo wa Madiwani Kata 23 Tanzania Bara, ukitarajiwa kufanyika tar 20 Machi 2024 Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Bw. Kailima, R. K jijini Dodoma tar15…
7 March 2024, 10:33 pm
Matukio ya wanadoa kutarakiana wakiwa wanapendana yamekuwa chanzo cha mauaji kwa wanawake kutokana na wanaume kushindwa kuvumilia hali hiyo, ambapo kwa wilaya ya Sengerema zaidi ya matukio matatu yametokea kwa mwaka huu. Na:Emmanuel Twimanye. Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka…
3 March 2024, 7:29 pm
Kila mwaka ifikapo tar 08 Machi dunia huadhimisha siku ya mwanamke duniani ambapo hutanguliwa na matukio mbalimbali ambayo hufanywa na wanawake, Jukwaa la mwanamke Sengerema limeanza na kutoa msaada kwa wanafunzi wanaoishi mazingira hatarishi wilayani hapo. Na;Emmanuel Twimanye Zaidi ya…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa