Recent posts
21 April 2021, 10:29 am
DED Mwingine kupisha uchunguzi huko Buhigwe,Kigoma.
Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, Anosta Nyamoga kupisha uchunguzi. Taarifa iliyotolewa leo Jumatano Aprili 21, 2021 na kitengo cha mawasiliano serikalini imeeleza kuwa Ummy amechukua hatua hiyo baada…
20 April 2021, 4:06 pm
Mbunge Tabasamu azungumuzia kutumbuliwa DED Sengerema
Taarifa iliyotolewa leo Aprili 20, 2021, Waziri Ummy Mwalimu amemusimamisha kazi Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya ya Sengerema, Magesa Boniphace kupisha uchunguzi baada ya kupokea malalamiko na tuhuma za ubadhirifu wa fedha za miradi ya maendeleo katika halmashauri hiyo kutoka…
17 April 2021, 3:43 pm
Mwadui FC yatamba kuvuruga mipango ya mabingwa wa ligi kuu Vpl Simba sc.
Kocha wa Mwadui Fc Salhina Mjengwa amesema amejipanga vilivyo kuikabilia klabu ya Simba sc kutoka jijini Dar es salaam katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara utakao chezwa siku ya jumapili ya tar18/04 mwaka huu katika uwanja wa Ccm kambarage…
15 April 2021, 6:51 pm
Zaidi ya million 50 zatolewa kwenye vikundi vya wakinamama Sengerema.
Jumla ya milioni hamsini na saba57,200,000/= zimetolewa kwa vikundi 40 vya wanawake wajasiliamali wilayani sengerema mkoani. Akizungumza na Redio Sengerema Mratibu wa mfuko wa wanawake Wilaya Bi.Noela Yamo amevitaja vikundi vilivyopewa mkopo ni pamoja na imani lelemama kutoka butonga,wanaufunuo kutoka…
15 April 2021, 9:32 am
Bank ya CRDB Sengerema yatoa mifuko 100 ya saruji kujenga shule ya sekondari.
Mkuu wa wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza Dr.Emmanuel Kipole amepokea mifuko mia moja ya saruji kutoka Bank ya Crdb kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya ya wasichana wilayani hapo. Akizungumza baada ya kukabidhi saruji hiyo Manager biarashara wa Crdb…
8 April 2021, 3:28 pm
Serikali yaagiza kufukiwa kwa mashimo yanayotokana na uchimbaji madini
Serikali imesema mashimo makubwa yote yaliyotokana na uchimbaji wa madini katika Mikoa ya Mara, Geita na Shinyanga yanapaswa kufukiwa ili kurejeshwa katika hali yake ya awali. Hayo yamebainishwa na leo bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa…
8 April 2021, 2:00 pm
Zaidi ya bil.15 zatumika nje ya bajeti,CAG azianika tasisi zilizofanya hivyo.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ameisoma ripoti yake ya mwaka wa fedha 2020/21 mbele ya waandishi wa habari leo Aprili 8, 2021 jijini Dodoma na kubainisha baadhi ya taasisi zikiwemo wizara zilizofanya manunuzi nje…
8 April 2021, 12:50 pm
Ripoti ya CAG yatua bungeni Ndugai kuzikabidhi kamati za hesabu za serikali.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema ataikabidhi ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa kamati mbili za Bunge. Amezitaja kamati hizo kuwa ni Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Kamati ya Hesabu…
8 April 2021, 12:38 pm
Rushwa ya ngono yamtia hatiani mkufunzi Chuo cha kilimo Bukoba.
Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kagera John Joseph, amesema wanamshikilia mkufunzi mmoja wa chuo cha Kilimo Maruku, kilichopo katika wilaya ya Bukoba kwa tuhuma za kumuomba rushwa ya ngono mwanachuo mmoja wa kike…
8 April 2021, 12:11 pm
Chakula mashuleni chaongeza ufaulu kwa wanafunzi Buchosa.
Kufuatia muamko wa wazazi kuhamasika kuchangia chakula shuleni hali iliyopelekea kuongezeka kwa ufaulu kwa wananfunzi katika halimashauri Buchosa. Afsa elimu Sekondari wa halimashauri hiyo Mwl. Buruno sangwa amewapongeza wazazi kwa kuhamasika katika utoaji wa chakula jambo lililopelekea kuongezeka kwa ufaulu…