Sengerema FM
Sengerema FM
24 July 2024, 5:23 pm
Halmashauri ya Sengerema inatarajia kukamilisha ujenzi wa shule 11 mwakani na kuwa na jumla ya shule za Sekondari 46 waipongeza serikali ya awamu ya Sita Na:Elisha Magege Shule 11 mpya za Sekondari zinatarajiwa kukamilika mwezi Agosti mwaka huu na kuanza…
20 July 2024, 6:28 pm
Mbunge wa jimbo la Busanda amekuwa na mwendelezo wa kufanya mikutano ya hadhara kwenye jimbo lake yenye lengo la kusikiliza kero kutoka kwa wananchi. Na;Elisha Magege Mbunge wa Jimbo la Busanda Mhandisi Tumaini Magesa amewaomba wananchi wote wa Jimbo hilo…
18 July 2024, 8:07 pm
Mkoa wa Mwanza inajengwa minara 50 ya mawasiliano na mfuko wa mawasiliano kwa wote UCSAF itayowanufaisha zaidi ya wakazi 885,420 wa vijijini. Na: Elisha Magege Waziri wa Habari Mawasiliano na teknolojia Nape Nauye amewataka wazazi na walezi nchini kuwafundisha vijana…
17 July 2024, 4:12 pm
Zaidi ya Bilioni.929 zimeletwa na Serkali ya awamu ya sita kutekeleza miradi ya maendeleo wilayani Sengerema,ikiwemo miradi ya kukamisha na mipya. Na;Elisha Magege Mkurugenzi mtendaji Halmashauri ya Sengerema mkoani Mwanza Binuru Mussa Shekidele amewataka wananchi kubuni na kuanzisha miradi ya…
16 July 2024, 5:08 pm
Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Dr. Samia Suluhu Hassan imewekeza fedha nyingi kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya vituo vya kutolea huduma za nchini ambapo katika Halmashauri ya Sengerema fedha nyingi zimeletwa kwa ajili ya kununua…
10 July 2024, 3:35 pm
Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Sengerema kimepata pigo jingine la kufiwa na mwenyekiti wa tawi la Majengo Buchosa kwa kujinyonga. Ikumbukwe mnamo mwezi mei aliyekuwa mwenyekiti wa UWT wilaya Ndg.Jeni Msoga alifariki Dunia kwa maradhi ya shinikizo la damu. Na…
10 July 2024, 3:00 pm
Mkoa wa Mwanza umepokea vyandarua Milioni 1.4 kwenda Halmashauri 6 vitagawiwa kwa wananchi bila malipo zikilenga kaya zote ambazo zinakabiliwa na changamoto ya ugonjwa Maralia Na:Elisha Magege Katika jitihada za kupambana na ugonjwa wa maralia nchini Halmashauri ya Sengerema inatarajia…
9 July 2024, 1:29 pm
Serikali kupitia kwa waziri mkuu Kassimu Majaliwa akiwa Bungeni Dodoma hivi karibuni alisema Serkali inaandaa Mpango wa Kuzuia Ukatili dhidi ya Watu wenye Ualbino (NAP) kwa kushirikiana na Chama cha Watu Wenye Ualbino (TAS) na wadau Na:Elisha Magege Jamii imetakiwa…
4 July 2024, 9:00 am
Daraja la JP.Magufului ni daraja refu kuliko madaraja yote Afrika mashariki na limetumia teknolojia ya madaraja marefu (Long Span Bridges), inayoitwa “Extra Dosed Bridge” kukamilika kwake litakuwa kivutio cha utalii Nchini na ukanda wa afrika mashariki kwa ujumla. Na;Elisha Magege…
3 July 2024, 8:12 pm
Waziri Dkt. Ndumbaro pia ametembelea shule ya Sengerema Sekondari ambapo Serkali imepanga kujenga miundombinu mbalimbali ya michezo,kwani Shule hiyo ni miongoni mwa shule 56 za michezo zitakazojengwa nchini. Na;Elisha Magege Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Daniel…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa