Sengerema FM

Karibu kusikiliza kipindi maalumu na TCRA kanda ya ziwa

5 August 2025, 12:00 pm

Picha ni Belenadetha Mathayo Afsa kutoka TCRA kanda ya Ziwa. Picha na Peter Marlesa

Mamlaka ya mawasiliano Nchini Tanzania (TCRA) Kanda ya ziwa imewataka watanzania kuwa makini na taarifa za kimtandao hasa taarifa za uongo.

Na.Peter Marlesa

Ungana na Peter Marlesa akiwa na  Belenadetha Mathayo Afsa kutoka TCRA kanda ya Ziwa, akifafanua kwa Watanzania wakazi wa kanda ya Ziwa kuhusu kampeni ya (FUTA,DELITI KABISA) kwenyekipindi maalumu

Picha ni Belenadetha Mathayo Afsa kutoka TCRA kanda ya Ziwa. Picha na Peter Marlesa