Recent posts
2 December 2025, 3:15 pm
Maambukizi ya VVU yazidi kupungua Sengerema
Utoaji elimu kwa jamii juu ya maambukizi ya VVU na UKIMWI Halmashauri ya Sengerema imesaidia kupunguza kuenea kwa kasi maambukizi mapya VVU. Na;Elisha Magege Maabukizi ya Virusi vya ukimwi katika Halmashauri ya Sengerema Mkoani Mwanza yamepungua kutoka asilimia 2.0 mwaka…
27 November 2025, 3:02 pm
Wasiojulikana waua mmoja kwa kumkata mapanga Sengerema
Matukio ya watu kuuawa kwa kukatwa mapanga wilayani Sengerema yalidhibitiwa kwa muda mrefu, jambo lililowafanya wananchi kushituka baada ya tukio la hivi karibuni kutokea katika kata ya Sima Na,Emmanuel Twimanye Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Kajanja Mtebi (50) mkazi…
22 November 2025, 7:26 pm
Shirika la SMD lagusa maisha ya mtoto mwenye ulemavu
Baadhi ya wazazi na walezi nchini wamekuwa tabia za kutowapeleka shule watoto wenye ulemavu jambo linalokemewa vikali na Serikali pamoja na asasi za kiraia Na;Joyce Rollingstone Wazazi na Walezi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza, wametakiwa kutowaficha watoto wenye ulemavu na badala…
20 November 2025, 11:36 am
Watakiwa kumgeukia Mungu,badala ya kujitoa uhai
Kwa mujibu wa taarifa zilizokusanywa na Radio Sengerema hivi karibuni matukio ya watu kujiua yanaonesha kuongezeko kwa kasi katika wilayani Sengerema. Na.Emmanuel Twimanye Wananchi Wilayani Sengerema mkoani Mwanza, wametakiwa kuwa na hofu ya Mungu na kuacha kuchukua maamuzi ya kujiua…
19 November 2025, 4:50 pm
Mwili wa mwanamme waopolewa Bwawani mjini Sengerema
Matukio ya watu kujiua wilayani Sengerema yanazidi kuripotiwa, huku chanzo kikiwa bado hakijulikani Na.Said Mahera Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa majina ya Deusdetith Babila mkazi wa mtaa wa geita road kata ya nyatukala amekutwa amefariki dunia katika bwawa liliopo mtaa wa…
26 October 2025, 8:42 pm
Wasimamizi vituo vya kupigia kura watakiwa kuzingatia sheria
Zaidi ya wasimamizi wakuu na wasaidizi wa vituo vya kupigia kura 1,950 wanatarajia kwenda kusimamia vituo 650 vya kupigia kura katika jimbo la Sengerema wamekura kiapo cha uadilifu ili kutekeleza jukumu la uchaguzi mkuu jimbo la Sengerema. Na Mwandishi wetu…
22 October 2025, 6:51 pm
SAU Kushughulikia changamoto za afya na barabara Buchosa
Kampeni kuelekea uchaguzi mkuu zinaendelea maeneo mbalimbali ya nchi ambapo wagombea watoa ahadi ili wachaguliwe october 29 2025 Na,Mwandishi wetu Mgombea ubunge jimbo la Buchosa kwa chama cha Sauti ya umma (SAU) Bi.Consolatha Cleophance Mtalyantula ameahidi kutatua changamoto za barabara…
12 October 2025, 5:02 pm
Mgombea CHAUMMA aahidi kuleta maendeleo Buchosa
Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2025 chama cha CHAUMMA kimeendelea na kampeni zake za kusaka kura kwa wananchi, kwa kuelezea sera na irani ya chama hicho. Na,Mwandishi wetu Mgombea ubunge jimbo la Buchosa kupitia chama cha Ukombozi wa umma (CHAUMMA) Ester…
16 August 2025, 7:54 pm
Wananchi Sengerema wailalamikia SEUWASA kukatika maji mara kwa mara
Licha ya kuwa na mradi mkubwa wa maji wenye thamani zaidi ya Tsh.Bil 22 Wilaya ya Sengerema imekuwa na changamoto ya kukosa maji mara kwa mara hasa kwenye maeneo ya miinuko bila kutolewa ufafanuzi kwa wananchi. Na,Peter Marlesa Wananchi Wilayani…
5 August 2025, 12:18 pm
Wasimamizi wa uchaguzi kata watakiwa kufuata miongozo ya uchaguzi 2025
Ikiwa vyama vya siasa nchini vinaendelea na zoezi la kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwemo Udiwani,Ubunge na Urais Tume ya uchaguzi nayo inaendelea na zoezi la kuratibu wasimamizi wa uchaguzi nganzi za Kata na Jimbo. Na;Emmanuel Twimanye Wasimamizi wa uchaguzi…