15 March 2025, 1:59 pm

Dawa za kienyeji bila vipimo zatajwa kuwa hatari kwa figo

Kila Alhamis ya pili ya mwezi Machi Dunia huadhimisha Siku ya Figo ikiwa na lengo la kutoa elimu ya namna bora ya kutunza na kuepukana na magonjwa yanayoweza kuleta madhara makubwa kwa figo. Na John Sospiter. Wananchi wilayani Sengerema mkoani…

On air
Play internet radio

Recent posts

29 January 2026, 2:40 pm

Bodaboda Nyangh’wale warudishwa darasani

Kundi la waendesha pikipiki maarufu kama Bodaboda wilaya ya Nyangh’wale wamepewa mafunzo ya usalama barabarani yenye lengo la kuwasaidia kupata lesseni za udereva na kufuata sheria za usalama barabarani. Na,Said Mahera Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale, Grace Kingalame,    amefungua mafunzo…

27 January 2026, 10:57 pm

Sengerema yapanda miti elfu 5 sikukuu ya kuzaliwa Rais Dkt. Samia

Wilaya ya Sengerema imeungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano kusherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kupanda miti zaidi ya elf 5, huku ikiwahimiza wananchi kujenga utamaduni wa kupanda miti. Na;Elisha Magege Katika kuazimisha siku ya kuzaliwa kwa rais wa…

23 January 2026, 7:17 pm

Nyang’hwale wanufaika na mbegu toka COPRA

Wakulima katika wilaya ya Nyang’hwale wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dr. Samia Suluhu Hassani kwa kupata mbengu za Alzeti bure sambamba na Mbolea za rudhuku, zenye lengo la kumuinua mkulima nchini. Na;Said Mahera Mamlaka ya Nafaka na…

20 January 2026, 7:25 pm

Wananchi Geita wafurahia kupata elimu kuhusu hati za kimila

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassani ametoa eneo la hifadhi la ukubwa wa hekali 1200 kwa wananchi wa vijiji vya Ihushi na Bujura miyenze,na kusisitiza kuwa na hati za kimila. Na,Said Mahera Wananchi wa Kijiji…

14 December 2025, 6:28 pm

TADB yawatembelea wafugajiwa samaki ziwa Victoria

Baada ya Serkali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoa fursa kwa wavuvi kuanza ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ndani ya ziwa victoria, baadhi ya wananchi katika Halmashauri ya Buchosa wamefurahishwa, na kuiomba serikali kuwaongezea ujuzi na mitaji…

5 December 2025, 5:21 pm

Madiwani Sengerema watakiwa kutanguliza mbele maslahi ya wananchi

Madiwani Halmashauri ya Sengerema wamekula kiapo cha kuwatukia wananchi wa Halmashauri hiyo baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oct.29 2025 Na,Emmanuel Twimanye Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza wamewatakiwa kwenda kufanya kazi kwa kutanguliza mbele maslahi ya wananchi.…

5 December 2025, 4:51 pm

Madiwani Buchosa waapa kumaliza kero, migogoro kwa wananchi

Madiwani wateule waapisha rasimi kuwatumikia wananchi baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Mwenzi Oktoba 29 2025 katika Halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza. Na,Michael Mgozi Madiwani na Watumishi wa Halmashauri ya Buchosa wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kupunguza migogoro na kero…

2 December 2025, 3:15 pm

Maambukizi ya VVU yazidi kupungua Sengerema

Utoaji elimu kwa jamii juu ya maambukizi ya VVU na UKIMWI Halmashauri ya Sengerema imesaidia kupunguza kuenea kwa kasi maambukizi mapya VVU. Na;Elisha Magege Maabukizi ya Virusi vya ukimwi katika Halmashauri ya Sengerema Mkoani Mwanza yamepungua kutoka asilimia 2.0 mwaka…

27 November 2025, 3:02 pm

Wasiojulikana waua mmoja kwa kumkata mapanga Sengerema

Matukio ya watu kuuawa kwa kukatwa mapanga wilayani Sengerema yalidhibitiwa kwa muda mrefu, jambo lililowafanya wananchi kushituka baada ya tukio la hivi karibuni kutokea katika kata ya Sima Na,Emmanuel Twimanye Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la  Kajanja Mtebi (50) mkazi…

22 November 2025, 7:26 pm

Shirika la SMD lagusa maisha ya mtoto mwenye ulemavu

Baadhi ya wazazi na walezi nchini wamekuwa tabia za kutowapeleka shule watoto wenye ulemavu jambo linalokemewa vikali na Serikali pamoja na asasi za kiraia Na;Joyce Rollingstone Wazazi na Walezi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza, wametakiwa kutowaficha watoto wenye ulemavu na badala…

Mission and Vision

Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema

Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa