15 March 2025, 1:59 pm

Dawa za kienyeji bila vipimo zatajwa kuwa hatari kwa figo

Kila Alhamis ya pili ya mwezi Machi Dunia huadhimisha Siku ya Figo ikiwa na lengo la kutoa elimu ya namna bora ya kutunza na kuepukana na magonjwa yanayoweza kuleta madhara makubwa kwa figo. Na John Sospiter. Wananchi wilayani Sengerema mkoani…

On air
Play internet radio

Recent posts

25 March 2025, 8:58 pm

Msonde athibitisha daraja la JPM kuanza kazi April 2025

Kwa sasa sehemu ya barabara ya ushoroba wa ziwa Victoria kutoka Sirari mpani mwa Tanzania na Kenya na Mtukula mpakani mwa Tanzania na Uganda imepita eneo la Kigongo Busisi ambapo imeunganishwa kwa kutumia vivuko vikubwa vitatu vya MV Mwanza, MV…

21 March 2025, 7:31 pm

RUWASA watoa msaada kwa wafungwa magereza ya Kasungamile

Kila mwaka Machi 22 huwa ni Siku ya Maji ambayo huadhimishwa kimataifa kutokana na  na Azimio Na. 47/193 la Umoja wa Mataifa (UN), ambapo Wakala wa Maji Vijijini RUWASA wialayani Sengerema umetoa msaada kwa wafungwa na kupanda miti kwenye vyanzo…

21 March 2025, 7:07 am

Mwalimu, mchungaji mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka 10

Matukio ya ubakaji wilayani Sengerema yanazidi kushamiri ambapo taarifa inayozungumzwa ni ya mtoto mwenye umri wa miaka 10 anayedaiwa kubakwa na watu wawili kwa nyakati tofauti. Na,Emmanuel Twimanye Jeshi la Polisi Wilayani Sengerema mkoani Mwanza linawashikilia watu wawili   akiwemo mwalimu…

17 March 2025, 5:22 pm

Watakiwa kumuenzi JPM kwa kuchapa kazi

Tanzania imeazimisha miaka minne tangu rais wa awamu ya Tano Dr. John Pombe Magufuli afariki Dunia,ambapo baadhi ya wananchi na viongozi wamesema wataendelea kumuenzi kiongozi huyo kwa uchapa kazi wake uliokuwa umetukuka kwani alifanikiwa pakubwa kurejesha nidhamu kazini. Na,Emmanuel Twimanye…

15 March 2025, 1:59 pm

Dawa za kienyeji bila vipimo zatajwa kuwa hatari kwa figo

Kila Alhamis ya pili ya mwezi Machi Dunia huadhimisha Siku ya Figo ikiwa na lengo la kutoa elimu ya namna bora ya kutunza na kuepukana na magonjwa yanayoweza kuleta madhara makubwa kwa figo. Na John Sospiter. Wananchi wilayani Sengerema mkoani…

15 March 2025, 1:29 pm

Waipongeza Sengerema FM kwa kutoa elimu ya ugonjwa marburg

Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Afya nchini Mh. Jenista Mhagama imetangaza kufanikiwa kuudhibiti ugonjwa wa marburg, ambao ulitangazwa kuibuka nchini mwezi Januari 2025 katika halmashauri ya wilaya ya Bihalamulo mkoani Kagera. Na,Elisha Magege Kufuatia Serikali ya Jamhuri ya Muungano…

14 March 2025, 8:02 pm

Mzee Lucas ahukumiwa kwa kumbaka mjukuu wake wa miaka 13

Matukio ya ubakaji nchini yanazidi kushika kasi ambapo mzee mmoja mwenye umri wa miaka 56 amehukumiwa miaka 30 kwa kosa la kumbaka mjukuu wake wa miaka 13, baada ya mke wake kusafiri. Na,Emmanuel Twimanye Mahakama ya Wilaya Sengerema Mkoani Mwanza…

14 March 2025, 7:44 pm

SEUWASA yakabidhi pikipiki na kutoa onyo kwa atakae bebea abilia

Ili kuboresha huduma ya upatikanaji wa maji safi mjini Sengerema Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira (SEUWASA) imekabidhi pikipiki 5 kwa watumishi wa idara ya Ufundi na huduma kwa mteja wa mamlaka hiyo. Na,Emmanuel Twimanye Watumishi wa Mamlaka…

4 March 2025, 8:41 pm

Amuunguza maji ya moto kisa kuchelewa kurudi nyumbani

Bibi amfanyia ukatili mjukuu wake kwa kumumwagia chai ya moto sehemu mbalimbali za mwili wake baada ya kuchelewa kurudi nyumbani kutoka sokoni alikokuwa amemuagiza kwenda kuuza sambusa. Na Emmanuel Twimanye Mtoto mwenye umri wa miaka 14 katika Mtaa wa Misheni Wilayani…

Mission and Vision

Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema

Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa