Orkonerei FM

Recent posts

17 May 2025, 12:00 pm

Unawezaje kufanya huduma ya afya ya uzazi kuwa rafiki kwa vijana?

Nijuze Radio Show Katika toleo hili maalum la Nijuze Radio Show, Dorcas Charles na Isack Dickson wanatembelea kata ya Endiamtu, ndani ya Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mirerani Simanjiro mji wa Tanzanite, ndoto, vijana na harakati. Kipindi kinachunguza kwa undani…

17 May 2025, 10:13 am

Mama lishe Arusha wanufaika na majiko ya gesi safi

Mama Lishe na Baba Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha wamemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia majiko ya gesi bure, wakisema yatapunguza madhara ya kiafya na kulinda mazingira. Viongozi wa halmashauri hiyo wamesema hatua hiyo inalenga kuondoa…

15 May 2025, 3:03 pm

Kumbukeni kujiandaa kukabiliana na ukame Terrat Simanjiro

“Huu ndiyo wakati wa kuhakikisha maeneo yetu ya malisho yanalindwa, kuhifadhi mbegu za majani, na kuhakikisha tunafuata utaratibu wa kulisha mifugo ili kipindi cha ukame kisitukute hatuna maandalizi,” Kone Medukenya Na Baraka David Ole Maiaka Jamii ya wafugaji wa kijiji…

12 May 2025, 11:39 am

Matumizi ya dawa kiholela: Ni tiba au sumu?

“Niliamka tu asubuhi nikawa ninajisikia vibaya nikaamua kwenda duka la dawa kununuwa dawa za malaria…kumbe ilikuwa UTI” Bi Fatuma Na Isack Dickson Aliamka asubuhi akiwa na maumivu ya kichwa, Akaenda duka la dawa, akaeleza dalili, na kupewa dawa. Bila vipimo,…

10 April 2025, 10:34 am

Nini Kifanyike Watu Wenye Ulemavu Kuwania Nafasi za Uongozi?

Nijuze Radio Show Katika toleo hili la Nijuze Radio Show, timu ya Orkonerei FM inarushia matangazo moja kwa moja kutoka Kijiji cha Naisinyai, Simanjiro. Dorcas Charles na Isack Dickson wanakutana na wakazi wa eneo hilo, viongozi wa kijamii, watu wenye…

28 March 2025, 12:48 pm

‘Mwambie Nimesafiri’: Wajawazito Terrat wapambana na hali zao

Katika jamii nyingi za Kitanzania, ujauzito ni safari ambayo inapaswa kuwa ya wawili, lakini kwa wanawake wengi wa maeneo ya vijijini kama Terrat, safari hiyo inageuka kuwa ya upweke, huzuni na changamoto kubwa. Kupitia simulizi ya sauti yenye mguso wa…

11 February 2025, 2:08 pm

AAI, CACHA, Simanjiro watoa huduma za matibabu Terrat, Komolo

Wadua wa afya African Afya Initiative, CACHA na halmashauri ya wilaya ya Simanjiro kwa pamoja wanashirikiana kutoa huduma za afya kwa magonjwa mbalimbali katika Kata za Terrat na Komolo wilayani Simanjiro. Na Baraka David Ole Maika. Akizungumza na Orkorenei Fm…

4 January 2025, 12:52 pm

Kituo cha afya Mererani chakabiliwa na uhaba wa vifaa tiba, miundombinu

Kituo cha afya Mererani picha na mwandishi wetu Joyce Elius Kituo cha afya  Mererani kilichopo mkoa wa Manyara wilaya Simanyiro bado kinakabiliwa na baadhi ya changamoto ikiwamo vifaa tiba, majengo na miundombinu mingine. Hayo ya mebainishwa na Dkt. Namnyak Jackson…

13 December 2024, 3:18 pm

Ushiriki wa Wananchi Kwenye Mikutano ya Kijamii Kutatua Kero ya Maji

Nijuze Radio Show Kipindi hiki cha Nijuze Radio Show kutoka Orkonerei FM kinachunguza kwa undani namna ukosefu wa maji unavyowaathiri wakazi wa Kijiji cha Lorokare, hasa wanawake, katika kushiriki mikutano ya kijamii na kufanya maamuzi muhimu ya maendeleo. Mtangazaji Dorcas…

12 November 2024, 12:23 pm

Wazazi wahimizwa kuwapeleka watoto wao shule

Wazazi wa Jamii ya Wafugaji wamaasai wametakiwa kutumia mifugo walionao na raslimali zingine kuwapeleka watoto wao Shule bila kuwabagua. Na Baraka David Ole Maika. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Shule ya Mchepuo wa Kiingereza ya Flaherty iliyopo Kijiji cha…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”