Orkonerei FM
Orkonerei FM
1 October 2025, 6:22 pm
Picha Na Joyce Elias Wazazi wa watoto wanaosoma katika shule ya msingi terrat wilaya ya simanjiro wamehimizwa kushirikiana na uongozi wa shule kuboresha huduma za chakula kwa wanafunzi. Akizungumza Katika kikao cha wazazi na uongozi wa shule hiyo Mwenyekiti wa…
1 October 2025, 4:28 pm
Na Isack Dickson Uchaguzi Mkuu mara zote umekuwa ni moyo wa demokrasia ya Tanzania. Lakini historia imeonyesha kuwa moyo huo mara nyingi unakumbwa na changamoto kubwa—rushwa ya uchaguzi. Inaanzia ndani ya vyama vya siasa, ambako kura za maoni mara nyingi…
1 October 2025, 4:10 pm
Na Dorcas Charles Kila Septemba 28, dunia huadhimisha Siku ya Kichaa cha Mbwa Duniani ili kutoa elimu juu ya madhara ya ugonjwa huu na namna unavyoweza kuzuilika. Afisa Mifugo wa Kata ya Terrat, Petro Mejooli Lukumay, amesema chanjo ya mbwa…
9 September 2025, 3:11 pm
Na Dorcas Charles Simanjiro- Manyara Afisa Uchunguzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Simanjiro Bwana Faustine Mushi ametoa elimu kwa wananchi kuhusu namna vitendo vya rushwa vinavyojitokeza wakati wa uchaguzi na jinsi ya kuripoti pale…
4 September 2025, 6:57 am
Na Mwandishi Wetu Simanjiro, Manyara – Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Ndg. Gracian Makota, ameshiriki kikao cha utafiti wa magonjwa yanayoambukizwa kwa mfumo wa hewa kilichofanyika katika Kata ya Mirerani, wilayani Simanjiro, kikilenga kuelimisha jamii kuhusu namna…
6 August 2025, 11:36 am
Na Isack Dickson Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Simanjiro, Ndugu Amos Shimba, ametangaza rasmi matokeo ya kura za maoni kwa nafasi ya Ubunge Jimbo la Simanjiro kupitia mahojiano maalum na Orkonerei FM Radio. Kwa mujibu wa Katibu…
16 July 2025, 12:07 pm
Shule ya Sekondari Embooreet iliyopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara, inatumia bayogesi inayotokana na kinyesi cha wanafunzi kama chanzo kikuu cha nishati ya kupikia. Teknolojia hiyo, iliyosimikwa na Eclat Foundation kwa kushirikiana na Kamatec ya Arusha, imelenga kupunguza utegemezi wa kuni,…
8 July 2025, 1:02 pm
Picha kwa msaada wa mtandao Na habari Dorcas charles Katika kukabiliana na ongezeko la matukio ya ukatili dhidi ya watoto na wanawake baadhi ya wananchi wameanza kuchukuwa hatua madhubuti kwa kuripoti visa hivyo. Joyce Elias Katika maeneo mengi nchini ukatili…
5 July 2025, 9:14 am
picha kw msaada wa mtandao Tanzania ina sera na sheria mbalimbali zinazopinga ukatili wa kijinsia, ikiwemo Sheria ya Makosa ya Kujamiiana ya mwaka 1998, inayolinda hasa wanawake na watoto dhidi ya vitendo vya ukatili Na pia ipo Sheria ya Kanuni…
5 June 2025, 3:18 pm
Nijuze Radio Show Kipindi hiki cha Nijuze Radio Show kutoka Orkonerei FM kinachunguza kwa undani namna ukosefu wa maji unavyowaathiri wakazi wa Kijiji cha Lorokare, hasa wanawake, katika kushiriki mikutano ya kijamii na kufanya maamuzi muhimu ya maendeleo. Mtangazaji Dorcas…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”