Orkonerei FM

Recent posts

6 August 2025, 11:36 am

James Ole Millya aongoza kura za maoni Simanjiro

Na Isack Dickson Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Simanjiro, Ndugu Amos Shimba, ametangaza rasmi matokeo ya kura za maoni kwa nafasi ya Ubunge Jimbo la Simanjiro kupitia mahojiano maalum na Orkonerei FM Radio. Kwa mujibu wa Katibu…

16 July 2025, 12:07 pm

Emboreet sekondari yageuza kinyesi kuwa nishati ya kupikia

Shule ya Sekondari Embooreet iliyopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara, inatumia bayogesi inayotokana na kinyesi cha wanafunzi kama chanzo kikuu cha nishati ya kupikia. Teknolojia hiyo, iliyosimikwa na Eclat Foundation kwa kushirikiana na Kamatec ya Arusha, imelenga kupunguza utegemezi wa kuni,…

8 July 2025, 1:02 pm

Ukatili wa kijinsia bado changamoto katika jamii

Picha kwa msaada wa mtandao Na habari Dorcas charles Katika kukabiliana na ongezeko la matukio ya ukatili dhidi ya watoto na wanawake baadhi ya wananchi wameanza kuchukuwa hatua madhubuti kwa kuripoti visa hivyo. Joyce Elias Katika maeneo mengi nchini ukatili…

5 July 2025, 9:14 am

Unafanya nini kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia?

picha kw msaada wa mtandao Tanzania ina sera na sheria mbalimbali zinazopinga ukatili wa kijinsia, ikiwemo Sheria ya Makosa ya Kujamiiana ya mwaka 1998, inayolinda hasa wanawake na watoto dhidi ya vitendo vya ukatili Na pia ipo Sheria ya Kanuni…

1 June 2025, 11:37 am

Polisi Arusha waimarisha ukaguzi wa mabasi kukabiliana na ajali

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limefanya ukaguzi maalumu wa mabasi ya abiria ili kudhibiti ajali kutokana na ongezeko la wasafiri kipindi cha likizo za shule. Madereva wamehimizwa kuzingatia sheria za barabarani huku abiria wakitakiwa kununua tiketi kwenye ofisi rasmi…

30 May 2025, 2:56 pm

Madereva 800 wapatiwa mafunzo maalum msimu wa utalii Arusha

Jeshi la Polisi limeendesha mafunzo kwa madereva 800 wa magari ya utalii Arusha, kuelekea msimu wa utalii ili kuhakikisha sheria za barabarani zinafuatwa na usalama wa watalii unaimarishwa. Na Nyangusi Ole Sang’ida Zaidi ya madereva 800 wa magari ya utalii…

26 May 2025, 6:47 pm

Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wacharuka

“Kilichotokea ni mauaji, inaelezwa kwamba walikuwa baa, baada ya kuwa baa nadhani ugomvi ulitokea, wakapigana. Akachukuliwa akaenda kufia hospitalini. Vijana wengine kutoka kule anakotoka marehemu walikuja kuchoma moto nyumba ya mtuhumiwa na kuharibu migomba iliyokuwa karibu na nyumba hiyo,” amesema…

26 May 2025, 10:19 am

Lowassa: Jamii ya Maa kataa wanaotaka kuwachonganisha na serikali

“Serikali yetu haiwezi kufurahia kuona jamii yetu inahangaika na masuala ya malisho. Nimejiridhisha kwamba maeneo yetu yataendelea kutumika kwa malisho na mafunzo ya kijeshi,” alisema Lowassa. Na Nyangusi Ole Sang’ida Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mhe. Fredrick Lowassa amewataka wananchi…

25 May 2025, 9:50 am

Madereva wa serikali Arusha wanolewa usalama barabarani

Na Nyangusi Ole Sang’ida Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha limetoa mafunzo maalumu kwa madereva wanaoendesha magari ya Serikali mkoani humo, ili kuwajengea uwezo wa matumizi sahihi ya barabara na mifumo mipya ya Jeshi hilo. Akizungumza…

18 May 2025, 2:46 pm

Wadau waunganisha nguvu kulinda uoto wa Maasai Steppe

“Kwakweli ushirikiano huu ni muhimu sana kwani sisi wafugaji bila kuwa na mazingira bora, maisha yetu na mifugo yetu yatakuwa hatarini. Pia kwa kushirikiana tutaweza kupata fedha zaidi kutoka kwa wafadhili na kutumia rasilimali zetu kwa ufanisi zaidi kufikia maeneo…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”