

3 September 2024, 11:06 am
“Kuna changamoto kubwa sana ya maji hapa yani unakuja unafukua korongo hapo kwenye mchanga kisha ndiyo uchote maji bila hivyo hakuna maji” Wananchi wa kijiji cha Lorokare katika kitongoji cha Songambele wamekuwa wakipitia adha kubwa ya kutokupatikana kwa maji ya…
29 August 2024, 4:16 pm
Na Mwandishi wetu Evanda Barnaba Jamii ya Kimaasai ni moja ya jamii kubwa Kaskazini mwa Tanzania pia imekuwa ni moja ya jamii iliyoendelea kutunza mila, desturi na tamaduni nzuri lakini zipo baadhi ya mila ambazo ni mbaya, moja ya mila…
14 August 2024, 12:49 pm
Mbunge Christopher Ole Sendeka Picha na Evanda Barnaba Na mwandishi wetu Mmoja wa wakaazi katika kata ya Terrat wilayani Simanjiro mkoani Manyara alipata nafasi ya kuwasilisha kero ya barabara pamoja na swala la aridhi mbele ya Mbunge wa Simanjiro Chistopher…
13 August 2024, 5:47 pm
Nijuze Radio Show, Kwa mujibu wa Takwimu za Demografia na Afya Tanzania (TDHS) Za mwaka 2015/2016, 40% ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 wameripoti kufanyiwa ukatili wa kimwili, 17% wameripoti kufanyiwa ukatili wa kingono. Katika mkoa wa Manyara,…
13 August 2024, 11:28 am
Picha kwa msaada wa mtandao Ushiriki wa vijana katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia ni muhimu kwa sababu wao ni sehemu kubwa ya idadi ya watu na wana nguvu ya kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Kujihusisha kwao kunasaidia kujenga…
9 August 2024, 1:24 pm
Waandishi wetu Baraka Ole Maika Msafara wa Mbunge Jimbo la Simanjiro Mh Christopher Ole Sendeka umezuiliwa na wanananchi wa kijiji cha Loswaki kutokana na kero ya maji inayowakabili kuwa muda mrefu. Mwandishi wetu Baraka Ole Maika alizungumza na wananchi na…
9 August 2024, 1:24 pm
Shirika lisilo la kiserikali la Justdiggit limezindua rasmi programu inayofahamika kama Kijani App ili kuwasaidia wakulima kupata taarifa sahihi kuhusu mabadiliko ya tabia nchi katika kutekeleza shughuli zao za kilimo ili kujiletea maendeleo. Na Baraka David Ole Maika. Akizungumza na…
30 July 2024, 3:34 pm
Diwani wa Kata ya Terrat bwana Jackson Materi picha na Isack Dickson Na Evanda Barnaba Ujenzi wa Barabara ya kuunganisha vijiji vya Terrat,Loswaki na Engonongoi bado unaendelea kusubiri mfumo wa serikali unaohusisha kutolewa kwa fedha mara baada ya mwaka wa…
26 July 2024, 4:12 pm
Na Waandishi wetu Simanjiro ni moja ya wilaya zinazokumbwa na changamoto kubwa ya ukame, ambayo imeathiri sana upatikanaji wa maji safi kwa wakazi wake. Ukame huu umesababisha vyanzo vingi vya maji kukauka na hivyo kuathiri maisha ya jamii za wafugaji…
26 July 2024, 11:47 am
Nijuze Radio Show Kumekuwa na athari za kiuchumi zinazoletwa na ukame katika jamii mara kadhaa wa kadhaa mfano kwa wilaya ya Simanjiro kwa Mujibu wa Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro Ndg Sendeu Laizer January 13 mwaka 2022…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”