Sengerema FM
Sengerema FM
8 April 2021, 12:38 pm
Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kagera John Joseph, amesema wanamshikilia mkufunzi mmoja wa chuo cha Kilimo Maruku, kilichopo katika wilaya ya Bukoba kwa tuhuma za kumuomba rushwa ya ngono mwanachuo mmoja wa kike…
8 April 2021, 12:11 pm
Kufuatia muamko wa wazazi kuhamasika kuchangia chakula shuleni hali iliyopelekea kuongezeka kwa ufaulu kwa wananfunzi katika halimashauri Buchosa. Afsa elimu Sekondari wa halimashauri hiyo Mwl. Buruno sangwa amewapongeza wazazi kwa kuhamasika katika utoaji wa chakula jambo lililopelekea kuongezeka kwa ufaulu…
6 April 2021, 6:14 pm
Afisa kilimo kata ya Nyatukala Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza Bi. Jonesia Joseph amewataka wakazi wa kata hiyo kutumia mvua zinazoendelea kunyesha katika kilimo ili kujipati chakula pamoja na kipato. Bi Jonesia ametoa kauli hiyo ofisini kwake nakusema kuwa kutokana…
4 April 2021, 11:32 pm
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassana amefanya uteuzi wa Makatibu wakuu wa Wizara, Naibu Makatibu Wakuu wa Wizara na Wakuu wa Taasisi na Idara mbalimbali za serikali leo tarehe 4/4/2021
4 April 2021, 8:54 pm
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amewataka Watumishi wote wa Umma na Watanzania kufanya kazi kwa Bidii, Uadilifu na weledi pamoja na kumtanguliza Mwenyezi Mungu. Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Mpango ameyasema…
4 April 2021, 8:08 pm
TIMU ya Namungo FC imepoteza mechi ya tatu mfululizo katika Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuchapwa 1-0 na Nkana FC ya Zambia jioni ya leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Bao pekee la Nkana…
4 April 2021, 12:13 pm
Mzee Solomoni Elifuraha ni mwalimu mstaafu ambaye kafanya kazi na Hayati Dr. John Pombe Magufuli katika shule ya Senkondari Sengerema iliyopo mjini Sengerema Mkoani Mwanza. Akizungumza kwa masikitiko makubwa Mwl. Elifuraha amesema alizipokea kwa mashituko makubwa taarifa za kifo cha…
3 April 2021, 8:43 pm
Klabu ya Simba Sc imefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Afrika, baada kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya klabu ya AS Vital ya Kongo DRC, lakini pia mabingwa hao wa Tanznaia wamejihakikishia nafasi…
3 April 2021, 8:34 am
Kufatia malalamiko ya baadhi ya watumiaji wa mitandao ya Internet Nchini,baada ya kutangazwa kwa bei mpya za vifurushi, Serikali imetangaza kusitisha kutumika kwa gharama hizo hadi hapo itakapotangazwa baadaye. Uamuzi huo ni habari njema kwa watumiaji wa mitandao ya simu…
2 April 2021, 11:53 am
Leo kanuni ndogo za gharama na tozo za vifurushi, utangazaji wa huduma na ofa maalumu imeanza kutumika Nchini ambapo wadau wameomba elimu izidi kutolewa juu ya kanuni hiyo mpya. Mwanzoni mwa mwezi uliopita, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa