Sengerema FM
Sengerema FM
21 April 2021, 10:29 am
Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, Anosta Nyamoga kupisha uchunguzi. Taarifa iliyotolewa leo Jumatano Aprili 21, 2021 na kitengo cha mawasiliano serikalini imeeleza kuwa Ummy amechukua hatua hiyo baada…
20 April 2021, 4:06 pm
Taarifa iliyotolewa leo Aprili 20, 2021, Waziri Ummy Mwalimu amemusimamisha kazi Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya ya Sengerema, Magesa Boniphace kupisha uchunguzi baada ya kupokea malalamiko na tuhuma za ubadhirifu wa fedha za miradi ya maendeleo katika halmashauri hiyo kutoka…
17 April 2021, 3:43 pm
Kocha wa Mwadui Fc Salhina Mjengwa amesema amejipanga vilivyo kuikabilia klabu ya Simba sc kutoka jijini Dar es salaam katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara utakao chezwa siku ya jumapili ya tar18/04 mwaka huu katika uwanja wa Ccm kambarage…
15 April 2021, 6:51 pm
Jumla ya milioni hamsini na saba57,200,000/= zimetolewa kwa vikundi 40 vya wanawake wajasiliamali wilayani sengerema mkoani. Akizungumza na Redio Sengerema Mratibu wa mfuko wa wanawake Wilaya Bi.Noela Yamo amevitaja vikundi vilivyopewa mkopo ni pamoja na imani lelemama kutoka butonga,wanaufunuo kutoka…
15 April 2021, 9:32 am
Mkuu wa wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza Dr.Emmanuel Kipole amepokea mifuko mia moja ya saruji kutoka Bank ya Crdb kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya ya wasichana wilayani hapo. Akizungumza baada ya kukabidhi saruji hiyo Manager biarashara wa Crdb…
8 April 2021, 3:28 pm
Serikali imesema mashimo makubwa yote yaliyotokana na uchimbaji wa madini katika Mikoa ya Mara, Geita na Shinyanga yanapaswa kufukiwa ili kurejeshwa katika hali yake ya awali. Hayo yamebainishwa na leo bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa…
8 April 2021, 2:00 pm
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ameisoma ripoti yake ya mwaka wa fedha 2020/21 mbele ya waandishi wa habari leo Aprili 8, 2021 jijini Dodoma na kubainisha baadhi ya taasisi zikiwemo wizara zilizofanya manunuzi nje…
8 April 2021, 12:50 pm
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema ataikabidhi ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa kamati mbili za Bunge. Amezitaja kamati hizo kuwa ni Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Kamati ya Hesabu…
8 April 2021, 12:38 pm
Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kagera John Joseph, amesema wanamshikilia mkufunzi mmoja wa chuo cha Kilimo Maruku, kilichopo katika wilaya ya Bukoba kwa tuhuma za kumuomba rushwa ya ngono mwanachuo mmoja wa kike…
8 April 2021, 12:11 pm
Kufuatia muamko wa wazazi kuhamasika kuchangia chakula shuleni hali iliyopelekea kuongezeka kwa ufaulu kwa wananfunzi katika halimashauri Buchosa. Afsa elimu Sekondari wa halimashauri hiyo Mwl. Buruno sangwa amewapongeza wazazi kwa kuhamasika katika utoaji wa chakula jambo lililopelekea kuongezeka kwa ufaulu…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa