Sengerema FM
Sengerema FM
2 June 2021, 3:26 pm
Maandalizi ya mechi kati ya ruvushooting na Simba sc yakamilika katika uwanja wa ccm kirumba jijini Mwanza. Akizungumza na wandishi wa Habari katibu wa Shirikisho la mpira wa miguu mkoa wa mwanza (MZFA) Bwn.Leonard Malongo amesema madalizi ya metchi hiyo…
29 May 2021, 6:39 pm
Mbunge wa jimbo la Sengerema Tabasam Hamis Mwagao amekutana na kufanya mazungumzo na wafanya biashara wa jimboni kwake kuhusiana na changamoto wanazokabiliana nazo. Baada kikoa hicho Tabasam ameahidi kushirikiana na wafanya biashara hao kutatua kero zinazowakabiri, huku akiiomba serikali kumuondoa…
28 May 2021, 4:09 pm
Mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF awamu ya tatu kipindi cha pili katika Halmashauri ya Buchosa Wilayani Sengerema imejipanga kuwachukulia hatua kali za kisheria kwa watakao bainika kutumia fedha za Tasaf kinyume na utaratibu. Hayo yameelezwa na Bwn,Donard Mzilai…
26 May 2021, 8:41 pm
Jumla ya kaya masikini elfu sita nchini zinatalajia kunufaika na mradi wa kunusuru kaya masikini TASAF awamu ya pili huku walengwa millioni moja laki nne na elfu hamsini watanufaika na mradi huo.Hayo yamebainishwa na Bwn Swaleh Mwidad mwakilishi wa mkurungezi…
21 May 2021, 4:47 pm
Mamlaka ya maji mjini mwanza (MWAUWASA) wamekabidhi mradi wa maji kwa mamlaka ya maji mjini Sengerema uliojengwa kwa kiasi cha zaidi billioni moja hadi kukamilika na unatarajia kunufaisha watu elfu kumi uliopo katika kata ya Nyampande Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza.…
15 May 2021, 2:36 pm
LEO Mei 15, 2021 Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Makongoro Nyerere kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara akichukua nafasi ya Joseph Mkirikiti ambaye amehamishiwa mkoa wa Rukwa. Makongoro ambaye ni mtoto Rais wa kwanza wa Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Kambarage…
13 May 2021, 11:27 pm
Rais Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili. Taarifa iliyotolewa Alhamisi Mei 13, 2021 na mkurugenzi wa mawasiliano ya rais Ikulu, Gerson Msigwa inaeleza kuwa…
10 May 2021, 4:20 pm
Naibu waziri wa Tamisemi Mh, David Erenest Silinde ameiagiza halmashauri ya Sengerema kulipa fidia kwa wananchi walioachia viwanja vyao kwa ajiri ya kupisha ujenzi wa stendi mpya ya magari eneo la bukala kata ya ibisabageni wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ndani…
7 May 2021, 7:02 pm
Baraza la madiwani Halmshauri ya Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza limeitaka Serikali kumsaka mamba aliye uawa na wananchi kisha kupotea katika mazigira ya kutatanisha. Mjadala huo ambao umedumu kwa takiribani dakika 10 katika ukumbi wa mikutano uliopo katika jengo la…
5 May 2021, 5:05 pm
Shirirka la viwango nchina Tanzania TBS limetoa mafunzo ya usindikaji bidha za mchele kwa wajasilia mali Wilayani Sengerema mkoani Mwanza. Akizungumza baada ya kufungua mafunzo hayo Katibu Tawala wa wilaya hiyo kwa niaba ya mkuu wa wilaya Bwn. Alan augostine…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa