Sengerema FM
Sengerema FM
3 July 2023, 12:29 pm
Kutokana na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Sengerema SEUWASA kukabiliwa na malimbikizo ya deni la umeme kiasi cha shilingi milioni mia tatu, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekata huduma ya umeme katika chanzo cha maji kilichopo Nyamazugo.…
2 May 2023, 11:40 am
Chama cha wafanyakazi Mkoani Mwanza TUCTA kimelaani vikali waajiri wanaowanyanyasa wafanyakazi sehemu za kazi ikiwemo kutowalipa stahiki zao kwa wakati. Hayo yamesemwa na katibu wa chama cha wafanyakazi mkoani mwanza Zebedayo Athuman wakati akisoma risala kwa mgeni rasmi katika maadhimisho…
3 February 2023, 3:54 pm
Mama mlezi aliyemshambulia kwa kipigo kikali mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya Msingi Bukala Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza na kumjeruhi vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake kwa madai ya kukojoa kitandani hatimaye amekamatwa na jeshi la Polisi wilayani…
16 July 2022, 3:55 pm
Waziri wa Nishati Nchini Mh,January Makamba amewahidi wananchi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza kutatua tatizo sugu la kukatika kwa umeme ili kuwaondolea adha hiyo inayowakabili kwa muda mrefu . Waziri Makamba amesema hayo wakati akizungumza na wananachi katika mkutano wa hadhara…
22 March 2022, 4:14 pm
Waziri wa Ardhi nyumba na Maendeleo ya makazi Mh, Agelina Mabula amewataka watumishi wa mabaraza ya ardhi na nyumba ya Wilaya nchini kutimiza wajibu wao kwa weledi kwa kuzingatia sheria ,kanuni ,taratibu na miongozo iliyopo na itakayotolewa ili kuboresha utoaji…
14 January 2022, 10:52 am
Serikali kupitia Wizara ya Afya imepokea msaada wa dawa pamoja na vifaa tiba vyenye thamani ya Tsh: Mil. 864 vitavyosaidia katika kupambana dhidi ya magonjwa mbalimbali kutoka katika Serikali ya Misri. Msaada huo umetolewa katika uwanja wa ndege wa kimataifa…
6 January 2022, 10:42 pm
Jumla ya vyumba vya madarasa mia moja na ishirini na tisa vilivyojengwa kwa fedha za uviko 19 halimashauri ya wilaya ya Sengerema vimekamilika na kukabidhiwa kwa mkuu wa mkoa wa Mwanza tayali kusubilia wanafunzi kuanza masomo yao january17 mwaka huu.…
21 October 2021, 1:20 pm
Tanzania imeazimia kuendelea kuwawezesha wanawake katika nyanja mbalimbali ikiwemo katika Uongozi na uwezeshaji Wanawake Kiuchumi kupitia Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee…
16 October 2021, 1:26 pm
Katika kupambana na magonjwa yanayolikabili zao la mhogo, Wakulima wa zao hilo kanda ya ziwa wameshauriwa kutumia mbegu bora inayozalishwa na taasisi ya utafiti TARI -UKILIGULU MWANZA, ambayo inastahimili magonjwa. Akizungumza na waandishi wa Habari Mtafiti upande wa mazao ya…
15 October 2021, 9:44 am
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja amekagua ujenzi wa Hoteli ya Kitalii ya nyota tatu katika eneo la Lubambangwe Burigi Wilayani Chato kwa lengo la kuangalia maendeleo ya ujenzi wa hoteli hiyo inayotarajiwa kutumika kwa ajili ya…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa