Sengerema FM
Sengerema FM
17 October 2023, 2:26 pm
Shule ya sekondari Kijuka imeanzishwa mwaka 2012 kwa nguvu ya wananchi na serikali ambapo tangu kuanzishwa imekuwa ikifanya vibaya kitaaluma kutokana na wanafunzi kutembea umbali mrefu na kwa mwaka huu 2023 wamehitimu wanafunzi 42 kati ya wanafunzi 88 walioanza kidato…
16 October 2023, 2:18 pm
Ikumbukwe mwezi September watoto wanne walipoteza maisha kwa kuzama kwenye bwawa kata ya Katunguru na kufanya jumla ya watoto sita kufa maji maeneo tofauti tofauti wilayani Sengerema kwa mwaka huu 2023. Na;Emmanuel Twimanye. Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka…
10 October 2023, 1:42 pm
Baadhi ya wastaafu wamekuwa na tabia ya kuoa vibinti vidogo baada ya kulipwa mafao yao jambo linalopelekea vifo vya mapema na kutoa laana kwa watoto wao nchini. Na Anna Elias Zaidi ya wastaafu 270 mjini Sengerema wamepatiwa mafunzo na benki…
28 July 2023, 8:27 am
Matukio ya ubakaji yamezidi kushika kasi wilayani Sengerema, jambo linalopelekea wadau wa kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kujitokeza hadharani na kupinga vikali vitendo hivyo na kuiomba serikali kuwachukulia hatua kali wanaofanya vitendo hivyo. Na. Anna Elias Mtoto wa miaka…
27 July 2023, 5:10 pm
Baadhi ya barabara kongwe nchini zimeonekana kutelekezwa na serikali ili hali zilitumika katika harakati za kudai uhuru wa taifa la Tanganyika zaidi ya miaka 60 iliyo pita. Na: Katemi Lenatusi Wananchi wa vijiji vya Busekeseke na Magulukenda katika kata ya …
27 July 2023, 4:40 pm
Wimbi la watoto wa kike kubakwa katika Halmashauri ya Sengerema linazidi kushika kasi ambapo wadau wa kupinga ukatili wa kijinsia wilayani hapo wamejitokeza na kulaani vitendo hivyo. Na: Anna Elias Mwanafunzi wa miaka 14 anayesoma darasa la saba katika shule…
5 July 2023, 1:54 pm
Kutokana na kuongezeka kwa matukio ya Fisi kushambulia watu na mifungo wilayani sengerema, hali hiyo imezua hofu, huku baadhi yao wakishindwa kufanya shughuli za maendeleo Na:Emmanuel Twimanye Mtoto mwenye umri wa miaka 5 aliyeshambuliwa na Fisi na kujeruhiwa sehemu mbalimbali…
5 July 2023, 11:51 am
Kufuatia baadhi ya watu katika jamiii kuamini imani za kishirikina na kuamini zaidi waganga wa jadi, serikali imeanza kuboresha huduma za afya nchini. Na: Elisha Magege Kufuatia kuwepo kwa maabara kwenye zahanati ya Mayuya iliyopo kata ya Tabaruka halmashauri ya…
4 July 2023, 2:51 pm
Sikiliza kipindi cha maisha ni Afya kuhusu uboreshaji wa kitengo cha mama,baba na mtoto kutoka Hospital Teule ya Wilaya ya Sengerema SDDH.
4 July 2023, 11:17 am
Kutokana na wafanyabiashara mjini Sengerema kuendesha shughuli zao pembezoni mwa barabara na kupelekea hofu ya kutokea ajali, hali hiyo imemuibua mkurugenzi wa halmashauri hiyo na kutoa siku tatu kwa wafanyabiashara hao kuondoka maeneo hayo . Na: Said Mahera Mkurugenzi Mtendaji…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa