Sengerema FM
Sengerema FM
14 November 2023, 8:54 am
Stendi ya Mwembe yanga ilikuwa msaada mkubwa kwa wananchi kutoka halmashauri ya Buchosa na Geita vijijini kwani hapo awali walikuwa wakiitumia stendi hiyo wanapokuja mjini Sengerema jambo ambalo liligeuka na kuleta changamoto kwa takribani mwaka mmoja baada ya kufunguliwa kwa…
3 November 2023, 6:44 pm
Mtukio ya ukatiri wa kijinsia yamekuwa yakijitokeza katika familia nyingi wilayani Sengerema huku baadhi yao wakiyafumbia macho jambo linalo hatarisha na kusababisha kuendelea kushamili kwa matukio hayo. Na;Joyce Rollingstone. Mkazi wa kijiji cha Nyamizeze Wilayani Sengerema mkoani Mwanza,Samson Paschal Mibulo…
1 November 2023, 5:20 pm
Ikumbukwe kuwa kwenye mkutano wa Mkuu wa wilaya ya Sengerema Mh. Senyi Ngaga uliofanyika katika eneo la ujenzi wa shule ya sekondari Nyampulukano mwezi Mei mwaka huu ,Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Sengerema Binuru Shekidele aliwaahidi wananachi kuwa stendi hiyo…
31 October 2023, 8:55 pm
Wazazi na walezi wilayani Sengerema mkoani Mwanza wanatajwa kujali zaidi shughuri zao binafsi na kuonyesha kulitegea mgongo suala la malezi kwa watoto, huku wenginge wakiwaachia watoto kuwalea watoto wenzao. Na:Emmanuel Twimanye. Wazazi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kutimiza jukumu la…
30 October 2023, 9:10 pm
Matukio ya watu kudhaniwa kuwa wachawi yamezidi kushika kasi wilayani Sengerema ambapo mwanzoni mwa mwaka huu 2023 wanawake wanne waliodhaniwa kuwa ni wachawi walikamatwa eneo la Mwabaruhi mjini Sengerema. Na:Emmanuel Twimanye. Katika hali isiyokuwa ya kawaida , Mwanamke anayekadiriwa kuwa…
30 October 2023, 9:02 pm
Shule ya Sekondari Ntunduru imekuwa ikifanya vizuri tangu kuanzishwa kwake mwaka 2004, ambapo kwa mwaka huu 2023 jumla ya wahitimu 70 wanatarajia kufanya mtihani wa kidato cha nne wakiwa wasichana 37 na wavulana 33. Na:Joyce Rollingstone. Shule ya sekondari ntunduru…
25 October 2023, 6:54 pm
Kwa muda mrefu sasa Halmashauri ya Sengerema imekuwa ikikabiliwa na changamoto la murundikano wa taka kwenye vizimba vya taka vilivyopo maeneo mbalimbali mjini, jambo hili limepelekea baadhi ya wafanya usafi kuzoa kwenye vizimba na kwenda kuzitelekeza kwenye makazi ya waatu…
24 October 2023, 2:48 pm
Shule ya Msingi Sengerema kitengo maalumu ilianzishwa Rasmi mwaka 2003 ambapo mpaka sasa inauwezo wa kuhudumia watoto wenye mahitaji maalumu Zaidi ya 247, na bweni inaweza hudumia watoto 104 , Wazazi wanapaswa kuwapa nafasi watoto hao ya kupata haki yao…
23 October 2023, 12:11 pm
Kumekuwa na tabia kwa baadhi ya wazazi kuwaozesha watoto wao baada tu ya kuhitimu masomo yao ya Sekondari bila kujari matokeo yatakuwa je, na wengine kuwapeleka mjini kufanya kazi za ndani jambo linalozorotesha ndoto za kielimu kwa mtoto wa kike.…
23 October 2023, 11:55 am
Matukio ya mauaji ya watu wakigombea mali za urithi yameshamiri kwa mikoa ya Kanda ya ziwa hasa yakiwahusisha ndugu wa karibu, ambapo wananchi wamelimba jeshi la polisi kwa kushirikiana na asasi za Kiraia wanalojukumu la kuzidi kutoa elimu zaidi dhiidi…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa