

6 January 2022, 10:42 pm
Jumla ya vyumba vya madarasa mia moja na ishirini na tisa vilivyojengwa kwa fedha za uviko 19 halimashauri ya wilaya ya Sengerema vimekamilika na kukabidhiwa kwa mkuu wa mkoa wa Mwanza tayali kusubilia wanafunzi kuanza masomo yao january17 mwaka huu.…
21 October 2021, 1:20 pm
Tanzania imeazimia kuendelea kuwawezesha wanawake katika nyanja mbalimbali ikiwemo katika Uongozi na uwezeshaji Wanawake Kiuchumi kupitia Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee…
16 October 2021, 1:26 pm
Katika kupambana na magonjwa yanayolikabili zao la mhogo, Wakulima wa zao hilo kanda ya ziwa wameshauriwa kutumia mbegu bora inayozalishwa na taasisi ya utafiti TARI -UKILIGULU MWANZA, ambayo inastahimili magonjwa. Akizungumza na waandishi wa Habari Mtafiti upande wa mazao ya…
15 October 2021, 9:44 am
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja amekagua ujenzi wa Hoteli ya Kitalii ya nyota tatu katika eneo la Lubambangwe Burigi Wilayani Chato kwa lengo la kuangalia maendeleo ya ujenzi wa hoteli hiyo inayotarajiwa kutumika kwa ajili ya…
2 June 2021, 3:26 pm
Maandalizi ya mechi kati ya ruvushooting na Simba sc yakamilika katika uwanja wa ccm kirumba jijini Mwanza. Akizungumza na wandishi wa Habari katibu wa Shirikisho la mpira wa miguu mkoa wa mwanza (MZFA) Bwn.Leonard Malongo amesema madalizi ya metchi hiyo…
29 May 2021, 6:39 pm
Mbunge wa jimbo la Sengerema Tabasam Hamis Mwagao amekutana na kufanya mazungumzo na wafanya biashara wa jimboni kwake kuhusiana na changamoto wanazokabiliana nazo. Baada kikoa hicho Tabasam ameahidi kushirikiana na wafanya biashara hao kutatua kero zinazowakabiri, huku akiiomba serikali kumuondoa…
28 May 2021, 4:09 pm
Mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF awamu ya tatu kipindi cha pili katika Halmashauri ya Buchosa Wilayani Sengerema imejipanga kuwachukulia hatua kali za kisheria kwa watakao bainika kutumia fedha za Tasaf kinyume na utaratibu. Hayo yameelezwa na Bwn,Donard Mzilai…
26 May 2021, 8:41 pm
Jumla ya kaya masikini elfu sita nchini zinatalajia kunufaika na mradi wa kunusuru kaya masikini TASAF awamu ya pili huku walengwa millioni moja laki nne na elfu hamsini watanufaika na mradi huo.Hayo yamebainishwa na Bwn Swaleh Mwidad mwakilishi wa mkurungezi…
21 May 2021, 4:47 pm
Mamlaka ya maji mjini mwanza (MWAUWASA) wamekabidhi mradi wa maji kwa mamlaka ya maji mjini Sengerema uliojengwa kwa kiasi cha zaidi billioni moja hadi kukamilika na unatarajia kunufaisha watu elfu kumi uliopo katika kata ya Nyampande Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza.…
15 May 2021, 2:36 pm
LEO Mei 15, 2021 Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Makongoro Nyerere kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara akichukua nafasi ya Joseph Mkirikiti ambaye amehamishiwa mkoa wa Rukwa. Makongoro ambaye ni mtoto Rais wa kwanza wa Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Kambarage…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa