Sengerema FM
Sengerema FM
17 January 2024, 5:35 pm
Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha baadhi ya maeneo nchini zimesababisha nyumba nyingi kuanguka huku nyingine zikiwa katika hali tete ya nyufa, ambapo viongozi wengi wamekuwa wakitoa tahadhali kwa wananchi kuhama kwenye maeneo yenye changamoto au mkondo wa maji. Na:Emmanuel Twimanye…
16 January 2024, 4:48 pm
Mkuu wa mkoa wa mwanza Mh, Amos Mkala baada ya kutamatisha ziara yake katika Halmshauri ya Sengerema, ameendelea na ziara yake katika Halmshauri ya Buchosa wilayani Sengerema kwa ajili ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo sekta ya…
16 January 2024, 3:47 pm
Baadhi ya watu wamekua na tabia ya kufanya kazi kwenye mvua, jambo ambalo linatajwa kuwa ni hatari sana, na katika halmashauri ya wilaya ya Sengerema mwanamke mmoja amefariki Dunia kwa kupigwa na radi akiwa shambani kuvuna mahindi wakati mvua ikiwa…
10 January 2024, 6:25 pm
Changamoto ya kipindupindu imetajwa kuenea kwa kasi zaidi hasa kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa ikianzia katika wilaya ya Bariadi mkoa wa Simiyu, ambapo mpaka sasa katika mkoa wa Mwanza wamebainika wagonjwa wa kipindupindu 27 kwenye maeneo ya wilaya ya…
9 January 2024, 8:43 am
Matukio ya watu kukutwa wamefariki Dunia yanazidi kushika kasi wilayani Sengerema ambapo baadhi yao wanadai yanasababishwa na msongo wa mawazo pamoja na ugumu wa maisha kwa watu jambo lililopelekea mwenyekiti wa mtaa wa Migombani wilayani hapo kuwataka wananchi kuwa na…
4 January 2024, 3:40 pm
Imekuwepo tabia ya baadhi ya wanandoa wanapo tarakiana, mmoja wao kushindwa kukubaliana na hali jambo hili limepelekea baadhi ya kuchukua maamzi ya kujitoa uhai au kutoa uhai wa wenzi wao wa zamani wakihisi itasaidia ndio sababu iliyomkuta Bwana Masolwa Maliki…
9 December 2023, 7:36 pm
Maadhimisho ya kumbukizi ya kutimiza miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania bara wilayani Sengerema yamefanyika kwa kupanda miti na kufanya usafi maeneo mbalimbali, huku wananchi wakitakiwa kudumisha Umoja na mshikamano kama chachu ya maendeleo ya taifa. Na Emmanuel Twimanye. Halmshauri…
6 December 2023, 7:11 pm
Matukio ya wanandoa kuachana yanazidi kushika kasi wilayani Sengerema huku yakitanjwa kuwa ndio chanzo kinacho pelekea vifo kwa baadhi yao baada ya kutalakiana kufuatia msongo wa mawazo na kusindwa kuvumilia maumivu . Na:Emmanuel Twimanye. Mwanaume mwenye umri wa miaka 37…
5 December 2023, 6:56 pm
Matukio ya fisi kushambulia mifugo na binadamu yameendelea kushika kasi wilayani Sengerema licha ya jitihada za serikali na mamlaka za wanyamapori kukabiliana na wanyama hao lakini bado fisi na mamba imekuwa tishio. Na:Emmanuel Twimanye Kundi la fisi limevamia kwa mkazi…
2 December 2023, 11:14 am
Halmashauri ya Sengerema inatarajia kutoa matone ya Vitamin A pamoja na dawa za kutibu minyoo ya tumbo kwa watoto wasio pungua 100,285 wenye umri chini ya miaka 5 ambayo yameambatana na tathimini ya hali ya lishe. Na;Deborah Maisa. Zaidi ya…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa