Sengerema FM

Recent posts

5 July 2023, 1:54 pm

Mtoto afariki kwa kushambuliwa na Fisi

Kutokana na kuongezeka kwa matukio ya Fisi kushambulia watu na mifungo wilayani sengerema, hali hiyo imezua hofu, huku baadhi yao wakishindwa kufanya shughuli za maendeleo Na:Emmanuel Twimanye Mtoto   mwenye umri wa  miaka 5  aliyeshambuliwa na Fisi na kujeruhiwa sehemu  mbalimbali…

5 July 2023, 11:51 am

Serikali yaboresha huduma za afya Sengerema vijijini

Kufuatia baadhi ya watu katika jamiii kuamini imani za kishirikina na kuamini zaidi waganga wa jadi, serikali imeanza kuboresha huduma za afya nchini. Na: Elisha Magege Kufuatia kuwepo kwa maabara kwenye zahanati ya Mayuya iliyopo kata ya Tabaruka halmashauri ya…

4 July 2023, 2:51 pm

Kipindi cha maisha ni afya

Sikiliza kipindi cha maisha ni Afya kuhusu uboreshaji wa kitengo cha mama,baba na mtoto kutoka Hospital Teule ya Wilaya ya Sengerema SDDH.

4 July 2023, 11:17 am

Mkurugenzi aamuru wafanyabiashara kuondoka kando ya barabara

Kutokana na wafanyabiashara mjini Sengerema kuendesha shughuli zao pembezoni mwa barabara na kupelekea hofu ya kutokea ajali, hali hiyo imemuibua mkurugenzi wa halmashauri hiyo na kutoa siku tatu kwa wafanyabiashara hao kuondoka maeneo hayo . Na: Said Mahera Mkurugenzi Mtendaji…

3 July 2023, 12:29 pm

TANESCO wakata umeme chanzo cha maji Sengerema

Kutokana na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Sengerema SEUWASA kukabiliwa na malimbikizo ya deni la umeme kiasi cha shilingi milioni mia tatu, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekata huduma ya umeme katika chanzo cha maji kilichopo Nyamazugo.…

3 February 2023, 3:54 pm

Akamatwa na jeshi la polisi kwa kumshushia kipigo mtoto mdogo

Mama mlezi aliyemshambulia kwa kipigo kikali  mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya  Msingi Bukala  Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza    na kumjeruhi vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake  kwa madai ya kukojoa kitandani  hatimaye amekamatwa na jeshi la Polisi wilayani…

16 July 2022, 3:55 pm

Waziri Makamba atoa ahadi hii kwa wananchi Sengerema

Waziri wa Nishati Nchini Mh,January Makamba  amewahidi  wananchi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza  kutatua tatizo sugu la kukatika kwa umeme ili kuwaondolea  adha hiyo inayowakabili  kwa muda mrefu . Waziri  Makamba amesema hayo wakati akizungumza  na wananachi  katika mkutano wa hadhara…

22 March 2022, 4:14 pm

Waziri wa ardhi azindua baraza la Ardhi Sengerema.

Waziri wa Ardhi nyumba na Maendeleo ya makazi  Mh, Agelina Mabula  amewataka  watumishi  wa mabaraza  ya ardhi na nyumba ya Wilaya  nchini   kutimiza wajibu wao kwa weledi kwa kuzingatia  sheria ,kanuni ,taratibu  na miongozo iliyopo  na itakayotolewa  ili kuboresha utoaji…

14 January 2022, 10:52 am

TANZANIA YAPOKEA MSAADA WA DAWA, VIFAA TIBA KUTOKA NCHINI MISRI.

Serikali kupitia Wizara ya Afya imepokea msaada wa dawa pamoja na vifaa tiba vyenye thamani ya Tsh: Mil. 864 vitavyosaidia katika kupambana dhidi ya magonjwa mbalimbali kutoka katika Serikali ya Misri. Msaada huo umetolewa katika  uwanja wa ndege wa kimataifa…

Mission and Vision

Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema

Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa