Sengerema FM
Sengerema FM
5 February 2024, 5:15 pm
Wananchi mjini Sengerema wametakiwa kufunika au kufukia mashimo yaliowazi ili kuepusha matukio ya watoto kutumbukia na atakae kaidi sheria kali zitachukuliwa dhidi yake. Na:Tumain John Mtoto anayekadiliwa kuwa na umri wa miaka 5 mkazi wa mtaa Geita road kata ya…
5 February 2024, 5:04 pm
Wananchi wataka sungusungu kurudishwa ili kukabiliana na vitendo vya uharifu pamoja na wizi wa kuku unaoendelea kutokea kata ya Sungamile Wilayani Sengerema. Na:Emmanuel Twimanye Mwanamme mmoja mwenye umri wa miaka 40 ameuawa kwa kudaiwa kuchomwa na kisu na mtu anayedaiwa…
1 February 2024, 3:12 pm
Licha ya Serikali kutoa vifaa tiba na kinga vyenye thamani zaidi ya Sh milioni 7 kwenye mikoa mitatu ya Kanda ya Ziwa kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu pamoja na dawa za kutibu maji kwa kuua wadudu wenye vimelea…
30 January 2024, 2:32 pm
Matukio ya walinzi kuuawa mjini Sengerema yamekuwa yakijirudia mara kwa mara kila mwaka jambo hili limekuwa likihusishwa na imani za kishirikina pamoja na wivu wa kimapenzi. Na;Said Mahera Mtu mmoja anaesadikiwa kuwa ni mlinzi wa kampuni ya ulinzi ya Mwasenda …
30 January 2024, 2:13 pm
Mji wa Sengerema kwa mda mrefu umekuwa ukionekana kuwa na mrundikano wa uchafu kwenye vizimba vilivyopo mjini ambapo Halmashauri imekuwa ikitumia vibarua kuzizoa na baadhi yao wamekuwa wakitoa kwenye vizimba na kwenda kuzimwaga kwenye makazi ya watu. Na:Emmanuel Twimanye Wakazi…
27 January 2024, 8:26 pm
Shule ya Msingi Sengerema ni miongoni mwa shule kongwe nchini ambayo ilikuwa ikikabiliwa na uchakavu wa miundombinu hasa vyumba vya madarasa jambo lililopelekea wadau mbalimbali kujitokeza na kuanza kusaidia ukarabati. Na;Emmanuel Twimanye. Shirika lisilisolikuwa la Kiserikali la Suport school Fees…
27 January 2024, 6:48 pm
Tarehe 27 ya Mwezi Januari kila mwaka tangu 1960 ni kumbukizi ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hasani, ambapo kwa mwaka huu 2024 anatimiza umri wa miaka 64 Na;…
23 January 2024, 9:42 pm
Pamoja na kuwepo kwa taarifa za ugonjwa wa kipindupindu Nchini Madampo mjini Sengerema yanaonekana kujaa uchafu hali inayoleta wasiwasi kwa wananchi wakihofia kukumbwa na mlipuko wa ugonjwa huo. Na;Emmanuel Twimanye. Wafanyabishara wa soko kuu mjini Sengerema wameilalamikia Halmshauri ya Wilaya…
22 January 2024, 6:40 pm
Shule ya msingi Mayuya ipo katika kata ya Tabaruka iliyopo Halmashauri ya Sengerema imekuwa ikifanya vibaya kwenye mitihani yake kutokana na changamoto ya Walimu wa shule hiyo kujikita katika shughuli zao binafsi za kuchoma mikaa na kilimo badala ya kufunsha.…
18 January 2024, 4:47 pm
Matukio ya ndugu wa familia kuuana na kujeruhiana kisa mali yamekuwa yakitajwa zaidi nchini ambapo katika wilaya ya sengerema mnamo mwezi October.2023 mtu mmoja aliuwawa na ndugu zake katika kijiji cha Ilunda kata ya Ngoma wakigombania shamba la urithi, Vivyo…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa