Orkonerei FM
Orkonerei FM
5 July 2025, 9:14 am
picha kw msaada wa mtandao Tanzania ina sera na sheria mbalimbali zinazopinga ukatili wa kijinsia, ikiwemo Sheria ya Makosa ya Kujamiiana ya mwaka 1998, inayolinda hasa wanawake na watoto dhidi ya vitendo vya ukatili Na pia ipo Sheria ya Kanuni…
5 June 2025, 3:18 pm
Nijuze Radio Show Kipindi hiki cha Nijuze Radio Show kutoka Orkonerei FM kinachunguza kwa undani namna ukosefu wa maji unavyowaathiri wakazi wa Kijiji cha Lorokare, hasa wanawake, katika kushiriki mikutano ya kijamii na kufanya maamuzi muhimu ya maendeleo. Mtangazaji Dorcas…
1 June 2025, 11:37 am
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limefanya ukaguzi maalumu wa mabasi ya abiria ili kudhibiti ajali kutokana na ongezeko la wasafiri kipindi cha likizo za shule. Madereva wamehimizwa kuzingatia sheria za barabarani huku abiria wakitakiwa kununua tiketi kwenye ofisi rasmi…
30 May 2025, 2:56 pm
Jeshi la Polisi limeendesha mafunzo kwa madereva 800 wa magari ya utalii Arusha, kuelekea msimu wa utalii ili kuhakikisha sheria za barabarani zinafuatwa na usalama wa watalii unaimarishwa. Na Nyangusi Ole Sang’ida Zaidi ya madereva 800 wa magari ya utalii…
26 May 2025, 6:47 pm
“Kilichotokea ni mauaji, inaelezwa kwamba walikuwa baa, baada ya kuwa baa nadhani ugomvi ulitokea, wakapigana. Akachukuliwa akaenda kufia hospitalini. Vijana wengine kutoka kule anakotoka marehemu walikuja kuchoma moto nyumba ya mtuhumiwa na kuharibu migomba iliyokuwa karibu na nyumba hiyo,” amesema…
26 May 2025, 10:19 am
“Serikali yetu haiwezi kufurahia kuona jamii yetu inahangaika na masuala ya malisho. Nimejiridhisha kwamba maeneo yetu yataendelea kutumika kwa malisho na mafunzo ya kijeshi,” alisema Lowassa. Na Nyangusi Ole Sang’ida Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mhe. Fredrick Lowassa amewataka wananchi…
25 May 2025, 9:50 am
Na Nyangusi Ole Sang’ida Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha limetoa mafunzo maalumu kwa madereva wanaoendesha magari ya Serikali mkoani humo, ili kuwajengea uwezo wa matumizi sahihi ya barabara na mifumo mipya ya Jeshi hilo. Akizungumza…
18 May 2025, 2:46 pm
“Kwakweli ushirikiano huu ni muhimu sana kwani sisi wafugaji bila kuwa na mazingira bora, maisha yetu na mifugo yetu yatakuwa hatarini. Pia kwa kushirikiana tutaweza kupata fedha zaidi kutoka kwa wafadhili na kutumia rasilimali zetu kwa ufanisi zaidi kufikia maeneo…
17 May 2025, 12:00 pm
Nijuze Radio Show Katika toleo hili maalum la Nijuze Radio Show, Dorcas Charles na Isack Dickson wanatembelea kata ya Endiamtu, ndani ya Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mirerani Simanjiro mji wa Tanzanite, ndoto, vijana na harakati. Kipindi kinachunguza kwa undani…
17 May 2025, 10:13 am
Mama Lishe na Baba Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha wamemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia majiko ya gesi bure, wakisema yatapunguza madhara ya kiafya na kulinda mazingira. Viongozi wa halmashauri hiyo wamesema hatua hiyo inalenga kuondoa…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”