Orkonerei FM
Orkonerei FM
15 October 2025, 11:54 am
Kurunzi Maalum Katika Kurunzi Maalum ya juma hili, tunamulika tatizo linaloikabili jamii yetu: Athari za kimazingira za utupaji wa taka ngumu hovyo. Je, unafahamu madhara ya rundo la plastiki, chupa, matairi, na vifaa vingine vilivyoharibika vinavyotupwa kando ya barabara, mito,…
14 October 2025, 5:07 pm
Na Isack Dickson Katika kukabiliana na takwimu za vifo zaidi ya milioni 1.3 vinavyotokana na ajali za barabarani duniani kila mwaka, Jeshi la Polisi nchini, kupitia kitengo cha usalama barabarani, limesisitiza kwa madereva wote kuhakikisha vyombo vyao vinakaguliwa kabla ya…
10 October 2025, 2:37 pm
Kurunzi Maalum Utupaji hovyo wa taka ngumu kama plastiki, chupa, matairi na vifaa vya elekroniki unazidi kuwa tatizo kubwa kwa mazingira, taka hizo huchukua muda mrefu sana kuoza, mara nyingi taka hizi huzuia mifereji ya maji, kusababisha mafuriko na kutoa…
3 October 2025, 1:30 pm
Kurunzi Maalum Katika jitihada za kukabiliana na ugonjwa hatari wa kichaa cha mbwa, jamii na serikali zinahimizwa kushirikiana ili kuhakikisha idadi kubwa ya mbwa wanapata chanjo kila mwaka. Ugonjwa huu, unaosababishwa na virusi, bado unaendelea kuwa tishio kwa binadamu na…
3 October 2025, 12:19 pm
Na Dorcas Charles-Kurunzi Maalum Idadi ndogo ya vijana wa kike kutoka jamii za kifugaji katika Wilaya ya Simanjiro wanaojitokeza kugombea nafasi za uongozi inazua maswali mengi juu ya ushiriki wa wanawake vijana katika siasa. Hali hii inajiri wakati nchi ikiendelea…
1 October 2025, 6:22 pm
Picha Na Joyce Elias Wazazi wa watoto wanaosoma katika shule ya msingi terrat wilaya ya simanjiro wamehimizwa kushirikiana na uongozi wa shule kuboresha huduma za chakula kwa wanafunzi. Akizungumza Katika kikao cha wazazi na uongozi wa shule hiyo Mwenyekiti wa…
1 October 2025, 4:28 pm
Na Isack Dickson Uchaguzi Mkuu mara zote umekuwa ni moyo wa demokrasia ya Tanzania. Lakini historia imeonyesha kuwa moyo huo mara nyingi unakumbwa na changamoto kubwa—rushwa ya uchaguzi. Inaanzia ndani ya vyama vya siasa, ambako kura za maoni mara nyingi…
1 October 2025, 4:10 pm
Na Dorcas Charles Kila Septemba 28, dunia huadhimisha Siku ya Kichaa cha Mbwa Duniani ili kutoa elimu juu ya madhara ya ugonjwa huu na namna unavyoweza kuzuilika. Afisa Mifugo wa Kata ya Terrat, Petro Mejooli Lukumay, amesema chanjo ya mbwa…
9 September 2025, 3:11 pm
Na Dorcas Charles Simanjiro- Manyara Afisa Uchunguzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Simanjiro Bwana Faustine Mushi ametoa elimu kwa wananchi kuhusu namna vitendo vya rushwa vinavyojitokeza wakati wa uchaguzi na jinsi ya kuripoti pale…
4 September 2025, 6:57 am
Na Mwandishi Wetu Simanjiro, Manyara – Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Ndg. Gracian Makota, ameshiriki kikao cha utafiti wa magonjwa yanayoambukizwa kwa mfumo wa hewa kilichofanyika katika Kata ya Mirerani, wilayani Simanjiro, kikilenga kuelimisha jamii kuhusu namna…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”