Orkonerei FM
Orkonerei FM
13 December 2023, 5:25 am
Mafunzo ya Matumizi ya Mtandao kwa redio wanachama wa mtandao wa vyombo vya habari vyenye maudhui ya kijamii nchini Tanzania TADIO yameendelea kushika kasi katika vituo vya redio zilizopo kanda ya kaskazini. Na Baraka David Ole Maika, Mafunzo ya matumizi…
10 December 2023, 11:51 am
Viongozi wa mila wa jamii ya kimasai na viongozi wa dini wamuonbea dua ya heri, mafanikio na ushindi Rais Samia Suluhu Hassan Na Baraka David Ole Maika. Viongozi wa mila wa jamii ya kimasai na viongozi wa dini kutoka wilaya…
8 December 2023, 4:40 pm
Jamii wametakiwa kujitokeza kuchanjwa chanjo ya UVIKO19 ili kukabiliana na Maambukizi ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona. Na Baraka David Ole Maika Wito huo umetolewa na Mratibu wa Chanjo Wilaya ya Simanjiro Bw Hassan Bakari Keya alipofanya mahojiano na Orkonerei…
8 December 2023, 11:09 am
Wachuuzi wa mahindi katika soko la Terrat Wakaazi wa kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro wamelalamikia hali ya mfumuko wa bei ya mahindi ulivyongezeka kwa zaidi ya asilimia 100 kutoka shilingi elfu 7,000 hadi shilingi elfu 15,000. Na Isack Dickson.…
7 December 2023, 5:36 pm
Kituo cha afya Mererani. Picha na Mwandishi wetu Joyce Elius Kituo cha afya Merereni kilichopo kata ya Endiamutu mji mdogo wa Mererani wilayani Simanjiro kinakabiliwa na uhaba wa miundombinu na vifaa tiba hali inayosababisha wananchi wa eneo hilo kulazimika kupatia…
7 December 2023, 2:11 pm
Mfumko wa bei kwa mazao ya nafaka hasa mahindi umeendelea kuwa changamoto kwa jamii ya wafugaji wilayani Simanjiro mkoani Manyara kutoka shilingi 7,000 hadi shilingi 15,000 hali inayosababisha baadhi ya familia kushindwa kumudu gharama za kununua mahindi kwa matumizi ya…
19 June 2023, 6:30 pm
Serikali ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya rais Samia Suluhu Hassan inaendelea kutekeleza miradi chungumzima kama vile ya maji,shule na mingine. Na Isack Dickson Kata ya Naberera inapatikana katika wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara na ni umbali…
15 June 2023, 9:19 am
Kuchangia damu kunafaida si kwa wale wanaokwenda kusaidiwa kwa ile damu uliyochangia lakini pia kwako mchangiaji,kwani unapata namba na cheti cha kuonesha kuwa ni mchangiaji damu kitakachokufanya utambulike kama mchangiaji damu. Na Isack Dickson Kila tarehe 14 ya kila mwaka…
22 March 2023, 9:20 am
Siku ya maji duniani huadhimishwa kila mwaka na mwaka hu imeadhimishwa Machi 22, 2023 na huwa ni mahususi kwa kuangalia upatikanaji wa maji safi na salama laki pia usalama wa maji. Na Isack Dickson Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Dkt.Suleiman…
31 May 2022, 10:48 pm
Na mwandishi wetu. Serikali kupitia wizara ya Afya, inaendelea na mkakati wa kuboresha miundombinu ya huduma za afya, unaoenda sambamba na ujenzi wa nyumba za watumishi wa Afya, ili wahudumu kuwa na makzi katika maeneo yao ya kazi pamoja…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”