Orkonerei FM
Orkonerei FM
10 May 2024, 11:15 am
Nijuze Radio Show. Kuwepo kwa mvua kubwa zinazosababisha mafuriko na kuharibu miundombinu,mfano Kwa mwaka 2023 hadi mwanzoni mwa 2024 mafuriko yaliosababishwa na mvua za El Nino yaliathiri miundombinu ya barabara Kwa Wilaya ya Simanjiro. Lakini Baadhi ya viongozi huwa hawawajibiki…
8 May 2024, 3:10 pm
Na Joyce Elius. Baadhi ya maeneo na jamii zimekua haziamini mwanamke katika kumilikisha ardhi na hii inatokana na mila na desturi za jamii husika. Sera ya taifa ya ardhi ya mwaka 1995 inatambua kuwa wanawake na wanaume wana haki sawa…
8 May 2024, 3:04 pm
Na Dorcas Charles Baadhi ya maeneo na jamii zimekua haziamini mwanamke katika kumilikisha ardhi na hii inatokana na mila na desturi za jamii husika. Lakini sera ya taifa ya ardhi ya mwaka 1995 inatambua kuwa wanawake na wanaume wana haki…
8 May 2024, 2:11 pm
Na Isack Dickson. Kwa mujibu wa sera ya afya ya mwaka 2020 inakemea rushwa kwenye utoaji wa huduma za afya na inasisitiza uwazi, uwajibikaji na maadili katika sekta ya afya. Bado changamoto kubwa jamii haina uelewa namna ya kuripoti vitendo…
8 May 2024, 11:05 am
Na Nijuze Radio Show. Baadhi ya Vijana hawaoni umuhimu wa kushiriki kwenye vyombo vya maamuzi, na Kwa mujibu wa ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS) idadi ya vijana Tanzania kwa mwaka 2022 ni 17,204,536 hii ni sawa na asilimia 29.8 ya…
8 May 2024, 10:46 am
Na Isack Dickson. Tanzania ikiwa moja ya nchi zenye mkakati wa kuongoa shoroba bado, inaendelea na jitihada hizo kuhakikisha mapitio ya wanyama yanakua salama. Kwa mujibu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Tanzania ina jumla ya shoroba 61 ambapo 41…
2 May 2024, 8:32 am
Nijuze Radio Show. Kwa mujibu wa sensa ya watu na makaazi ya mwaka 2022 idadi ya wazee wenye umri wa kuanzia miaka 60 na kuendelea nchini Tanzania ni milioni 3.7 sawa na asilimia 6.0 ya watu wote. Lakini kuna baadhi…
2 May 2024, 8:08 am
Na Evander Barnaba. Wazee wamekuwa ni watu muuhimu mno katika maamuzi mbalimbali kwenye jamii,na hii ni zaidi kwa jamii za kifugaji haswa Wamasai iwe ni kwenye maamuzi ngazi ya Familia,Kijiji na hata jamii kwa ujumla. Katika makala fupi hii ya…
5 April 2024, 4:40 pm
Kwa mujibu wa Sera ya Maendeleo ya Jinsia ya mwaka 1992 inalenga kukuza usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake katika nyanja zote za maendeleo, Sera hii inasisitiza kuwashirikisha wananwake katika kupanga, kutekeleza na kusimamia miradi ya maendeleo katika ngazi…
27 March 2024, 8:01 pm
“Wazazi tunatakiwa tujue mahitaji ya watoto wetu na tuwasaidie kuwatimizia mahitaji hayo kwani wakati mwingine ndiyo yanasababisha wawe watoro.” Mzazi Na Joyce Elius. Kikao cha wazazi na uongozi wa shule ya seckondari ya Terrat wilaya simanjiro pamoja uongozi wa kata…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”