Recent posts
17 February 2026, 2:16 pm
Maandalizi ya mapema yanavyoweza kuokoa maisha ya mama na mtoto Terrat
Picha kwa msaada wa mtandao Serikali na wadau wa afya nchini wameendelea kusisitiza umuhimu wa mama wajawazito kujifungulia katika vituo vya afya na zahanati ili kuhakikisha usalama wa mama na mtoto. Na Baraka David Ole Maika Pamoja na juhudi za…
17 February 2026, 2:03 pm
‘Unaweza fungwa kwa kupakia picha ya mwanao mtandaoni’
Wazazi na walezi wameaswa kuacha tabia ya kupakia picha za watoto wao kwenye mitandao ya kijamii, kwani hilo ni kosa la jinai linaloweza kuwafunga jela kwa miaka mitatu Na Joyce Elius Hayo yamesemwa Mapema leo kwenye kipindi cha Mchaka Mchaka…
16 February 2026, 2:16 pm
Diwani Marambo Aweka Wazi Mikakati ya Maendeleo Kiutu
Na Nyangusi Olesang’ida Picha ya Diwani ya Kata ya Kiutu Diwani wa Kata ya Kiutu, Malaki Marambo, amewashukuru wananchi kwa kumuamini tena na kuahidi kuimarisha ushirikiano ili kuchochea maendeleo ya kata hiyo. Kipaumbele chake kikubwa ni uboreshaji wa miundombinu, akipambania…
15 February 2026, 5:46 am
Sekta muhimu zapewa kipaumbele bajeti 2026/27 Simanjiro
Baraza la Madiwani Simanjiro lamepitisha rasimu ya bajeti ya Sh45.1 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ambapo Sekta za Elimu, Afya, Kilimo, na Mifugo zimepewa kipaumbele. Na Mwandishi Wetu Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara,…
12 February 2026, 3:44 pm
Wanawake watumia kilimo cha nyasi kuukabili ukame
Na Isack Dickson Katika wilaya ya Simanjiro, mabadiliko ya tabianchi yamesababisha vifo vya zaidi ya mifugo 92,000 kwa mwaka mmoja pekee,lakini katikati ya changamoto hiyo, kundi la wanawake mashujaa, kwa msaada wa Baraza la Wanawake Wafugaji (PWC) na mashirika mengine…
5 February 2026, 1:22 pm
Mwenyekiti Kimelok na mfumo mpya wa michango ya maafa
Na Nyangusi Olesang’ida Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kimelok, wilayani Arumeru, Bwana Hoshim Saitabau, ametangaza mabadiliko ya mfumo wa ukusanyaji wa michango ya maafa, akieleza kuwa sasa wataacha kutumia nguvu na badala yake watajielekeza kwenye elimu na hiari kwa wananchi. Hoshim…
3 February 2026, 11:49 am
CCM Simanjiro yaadhimisha miaka 49, yajivunia mafanikio
Na Dorcas Charles Wakati CCM ikiazimisha miaka 49 tangu kuasisiwa kwake mwaka 1977, Katibu wa CCM Wilaya ya Simanjiro, Bi. Wambura Igembya, ameelezea mabadiliko makubwa ya kijamii na kiuchumi yaliyopatikana wilayani humo. Katibu amebainisha kuwa tangu kuzaliwa kwa chama hicho,…
31 January 2026, 12:26 pm
Simanjiro na mikakati ya kuinua ufaulu wa elimu 85%
Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro imetangaza mikakati mipya inayolenga kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya elimu, huku lengo kuu likiwa ni kupandisha kiwango cha ufaulu kutoka asilimia 66 ya sasa hadi kufikia asilimia 85. Na Isack Dickson Akizungumza katika kikao…
30 January 2026, 11:55 am
Vikundi 29 vyanufaika na mikopo Arusha
Na Nyangusi Olesang’ida Halmashauri ya Wilaya ya Arusha (Arusha DC) imevunja rekodi kwa kutoa mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 559 kwa ajili ya kuviwezesha vikundi vya wanawake, vijana, na watu…
30 January 2026, 11:40 am
Mradi wa matangi waondoa adha ya maji Monduli
Na Nyangusi Olesang’ida Katika jitihada za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na uhaba wa maji, taasisi ya Vijana Assembly imezindua mradi mkubwa wa kugawa matangi ya maji kwa wananchi wa wilaya ya Monduli, mradi unaolenga kurahisisha upatikanaji wa maji ya…