Orkonerei FM
Orkonerei FM
17 October 2025, 10:57 am

Kurunzi Maalum
Orkonerei FM Radio kupitia kipindi cha Kurunzi Maalumu inamulika sekta ya maji, ikizungumzia changamoto za bili (ankara) za maji katika Kata ya Terati, Wananchi wengi wanalalamika kupokea bili zinazokuja na gharama kubwa, na wakati mwingine wanaona ni kubwa zaidi ya matumizi halisi.
Kipindi hiki kimeongea na wananchi, Mwenyekiti wa Kijiji cha Terati, na mamlaka husika kueleza mzizi wa tatizo na jinsi ya kuripoti changamoto zilizopo.