Orkonerei FM
Orkonerei FM
15 December 2023, 5:56 am

Uchakataji wa mazao nchini hasa kwa wakulima wadogo bado imeendelea kuwa changamoto na husababisha kupotea kwa nafaka nyingi na pia katika utunzaji wake hupelekea kuharibika.
Lakini teknolojia inaendelea kuimarika siku adi siku vijana pia wanaendelea kufanya ubunifu fuatana na mwanahabari wetu Isack Dickson katika makala fupi hii akiwa jijini arusha alipokutana na vijana waliotengeneza mashine ya kuchakata mazao usikie jinsi ilivyo na matokeo bora.