Recent posts
7 December 2023, 2:11 pm
Mfumko bei ya mahindi waitesa Simanjiro
Mfumko wa bei kwa mazao ya nafaka hasa mahindi umeendelea kuwa changamoto kwa jamii ya wafugaji wilayani Simanjiro mkoani Manyara kutoka shilingi 7,000 hadi shilingi 15,000 hali inayosababisha baadhi ya familia kushindwa kumudu gharama za kununua mahindi kwa matumizi ya…
19 June 2023, 6:30 pm
Miradi ya maendeleo kata ya Naberera inayotekelezwa na Serikali yafikia patamu.
Serikali ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya rais Samia Suluhu Hassan inaendelea kutekeleza miradi chungumzima kama vile ya maji,shule na mingine. Na Isack Dickson Kata ya Naberera inapatikana katika wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara na ni umbali…
15 June 2023, 9:19 am
MAKALA:Jinsi uchangiaji damu ulivyo na faida kwako mchangiaji.
Kuchangia damu kunafaida si kwa wale wanaokwenda kusaidiwa kwa ile damu uliyochangia lakini pia kwako mchangiaji,kwani unapata namba na cheti cha kuonesha kuwa ni mchangiaji damu kitakachokufanya utambulike kama mchangiaji damu. Na Isack Dickson Kila tarehe 14 ya kila mwaka…
22 March 2023, 9:20 am
Akina mama wa kijiji cha Emboreet wilaya ya Simanjiro wapata ahueni Upatikanaji…
Siku ya maji duniani huadhimishwa kila mwaka na mwaka hu imeadhimishwa Machi 22, 2023 na huwa ni mahususi kwa kuangalia upatikanaji wa maji safi na salama laki pia usalama wa maji. Na Isack Dickson Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Dkt.Suleiman…
31 May 2022, 10:48 pm
Serikali inaendelea kuwaboreshea mazingira ya kazi.
Na mwandishi wetu. Serikali kupitia wizara ya Afya, inaendelea na mkakati wa kuboresha miundombinu ya huduma za afya, unaoenda sambamba na ujenzi wa nyumba za watumishi wa Afya, ili wahudumu kuwa na makzi katika maeneo yao ya kazi pamoja…
30 May 2022, 7:05 am
HALMASHAURI ZATAKIWA KUTENGA PESA ZA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WAVIU NA MWANDISHI W…
Naibu Waziri Ofisi yaWaziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga akizungumza na viongozi na watendaji wa Mkoa wa Tanga alipokuwa akipokea taarifa ya Mkoa huo ya Mapambano dhidi ya Virusi vya Ukimwi. NA MWANDISHI WETU Naibu Ofisi yaWaziri…
2 April 2022, 8:53 pm
watendaji wa halmashauri ya Arusha wametakiwa kuzingatia lishe bora kwa wananchi…
Na. Nyangusi ole sang’da Arusha. Maafisa Watendaji wa Kata na Vijiji, halmashauri ya Arusha, wametakiwa kuzingatia mkakati wa Serikali juu ya masuala ya Lishe bora ya wananchi katika maeneo yao, kupitia mkataba wa Lishe waliosaini, lengo likiwa kuondoa hali ya…
28 March 2022, 6:09 pm
Waandishi wa habari wametakiwa kutumia kalamu zao viziri
Na pascal sulle Tanga Waandishi wa habari kutoka redio za kijamii wametakiwa kutumia kalamu zao vizuri katika kuandika habari zinazozingatia maadili ya uandishi wa habari ndani ya jamii. Akizungumza wakati akifungua semina ya waandishi wa habari iliyoandaliwa na tume ya…
25 March 2022, 8:18 pm
WAZAZI WAMENUNUA GARI YA KUWAHUDUMIA WAALIMU SHULE YA SECONDARY MWANDET ARUSHA
Na. Nyangusi ole sang’da Arusha. Wazazi wenye watoto wanaosoma shule ya Sekondari Mwandet, halmashauri ya Arusha, wamekabidhi gari kwa shule hiyo, gari aina ya Coaster yenye namba za usajili T 169 DQX pamoja na kadi ya gari hilo, gari ambalo…
20 March 2022, 9:24 am
TAKUKURU ARUMERU YAKABIDHI MIONGOZO YA MIKAKATI WA KUPAMBANA NA RUSHWA CHINI (TA…
Na Nyangusi ole sang’da Arusha.Taasisi ya kupambana na rushwa TAKUKURU Wilaya ya Arumeru imekabidhi miongozo ya TAKUSKA ambayo ni mikakati ya kupambana na rushwaNchini kwa kuwashirikisha vijana wa SKAUTI ,inayolenga kuwapa mafunzo vijana hususani wanafunzi wa Shule za Msingi na…