Orkonerei FM
Orkonerei FM
10 July 2024, 3:27 pm
Na Baraka David Ole Maika. Lucas ni mkaazi wa wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha familia yake imekuwa na mgogoro wa ardhi ambao umesababisha kushindwa kufanya maendeleo yoyote katika Ardhi wanayo miliki. Mwanahabari wetu Baraka David Ole Maika amefunga Safari…
9 July 2024, 1:58 pm
picha kwa msaada wa mtandao. Na Evanda Barnaba. Kwenye ipindi cha kiangazi wanajamii wa Kijiji cha Terrat huwa wanapata changamoto ya kupata mboga za majani lakini unafahamu hiyo ni Fursa pia ? Katika Makala fupi hii Mwanahabari Evander Barnaba anazungumza…
9 July 2024, 1:35 pm
Na Joyce Elias. Afisa kilimo kata ya Terrat Ndg.PETRO MEJOOLI LUKUMAY amesema kuwa wanajamii wanatakiwa kulima mbogamboga na mazao mengine mchanganyiko ili kujiingizia kipato haswa wakati wa upungufu wa mvua ama ukame. Ametoa elimu hiyo kupitia mahojiano mafupi aliyoyafanya na…
5 July 2024, 12:02 pm
Kurunzi Maalum Migogoro ya ardhi ni hali ya kutokubaliana au mvutano kati ya pande mbili au zaidi kuhusu umiliki, matumizi, au mipaka ya ardhi. Migogoro hii inaweza kusababishwa na sababu mbalimbali kama vile upanuzi wa shughuli za kilimo na ufugaji,…
4 July 2024, 4:26 pm
Na Dorcas Charles Wananchi wameshauriwa kutumia choo bora ili kujiepusha na maambukizi ya magonjwa ya mlipuko kama vile kipindupindu, homa ya matumbo na magonjwa mengine yanayosbabishwa na uchavuzi wa mazingira Ushauri huo umetolewa na mganga mfawidhi wa kituo cha afya…
4 July 2024, 11:02 am
Nijuze Radio Show. Jamii nyingi za kifugaji zinaishi katika maeneo yaliyombali na miundombinu ya umeme, masoko hivyo zinakabiliwa na changamoto za kupata rasilimali na fursa za kuboresha kipato chao kipindi cha ukame,hali inayopelekea kutegemea shughuli moja tu ya kifugaji kujiingizia…
28 June 2024, 11:16 am
Kwa mujibu wa Ripoti ya Tafiti ya Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria ya Mwaka 2022 yaani (Demographic and Health Survey and Malaria Indicator Survey) imeonesha kuna ongezeko kubwa la watu wanaotumia vyoo bora kutoka asilimia 21…
19 June 2024, 1:34 pm
Kulingana na ripoti ya afya ya demografia na makazi yaani Demographic And Health Survey ya mwaka 2015/16 mkoa wa Manyara unaongoza kwa ukeketaji kwa asilimia 58 ya wanawake wenye umri kati ya miaka 15-49 wamefanyiwa ukeketaji. Nijuze redio show. Bado…
7 June 2024, 4:49 pm
picha na Mtandao Tanzania inapoteza takriban hekta 372,000 za misitu kila mwaka kutokana na ukataji miti kwa ajili ya kuni, mkaa, na kilimo. Ukataji miti umesababisha kupungua kwa eneo la misitu kutoka 45% ya eneo lote la nchi mwaka 1990…
7 June 2024, 3:41 pm
Na Dorcas Charles Jamii nyingi wanawake hukosa nafasi ya kushiriki katika maamuzi ya uongozi kutokana na milia na desturi Si mila pekee hata tamaduni za maeneo mengi nchini pia yamekuwa yakiwanyima fursa hiyo muhimu wanawake Wananchi wakijbu swali ikiwa mikutano…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”