Orkonerei FM
Orkonerei FM
26 July 2024, 4:12 pm
Na Waandishi wetu Simanjiro ni moja ya wilaya zinazokumbwa na changamoto kubwa ya ukame, ambayo imeathiri sana upatikanaji wa maji safi kwa wakazi wake. Ukame huu umesababisha vyanzo vingi vya maji kukauka na hivyo kuathiri maisha ya jamii za wafugaji…
26 July 2024, 11:47 am
Nijuze Radio Show Kumekuwa na athari za kiuchumi zinazoletwa na ukame katika jamii mara kadhaa wa kadhaa mfano kwa wilaya ya Simanjiro kwa Mujibu wa Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro Ndg Sendeu Laizer January 13 mwaka 2022…
24 July 2024, 2:37 pm
Picha kwa msaada wa mtandao Na Evanda Barnaba Uhifadhi wa mazao ya chakula ni suala muhimu sana, hasa kwa wakulima na jamii zetu kwa ujumla. Mazao mengi yanaharibika baada ya mavuno kutokana na uhifadhi duni, jambo ambalo linaweza kusababisha upungufu…
24 July 2024, 2:29 pm
Picha kwa msaada wa mtandao Na waandishi wetu Kwa mujibu wa ofisi ya taifa ya takwimu nbs inasema 25.6% ya wanawake waliokati ya umri wa miaka 15- 64 sawa na milioni 25.6 hawafanyi kazi yoyote ya kuwapatia kipato. Kwenye jamii…
23 July 2024, 12:39 pm
Picha kwa masaada wa mtandaoni Na Mwaandishi wetu Evanda Barnaba Jamii na wakulima hawana uelewa wa namna bora ya kuhifadhi mazao ya chakula mwandishi wetu Evanda Barnaba Amemtembelea bwana Maulidi Hashimu kutoka kijiji cha loksale kuzungumza naye mchakato mzima kuanzia…
17 July 2024, 2:40 pm
Kwenye jamii za kifugaji kuwa na shughuli nyingine ya kujiingizi kipato inakua ni ngumu kidogo, Hii ni kwasababu jamii hizi mara nyingi zinategemea ufugaji pekee, na hii inapelekea kipindi cha ukame kuwa na kipato kidogo sana kwenye familia Kwa mujibu…
15 July 2024, 2:22 pm
Picha kwa msaada wa mtandao Na Joyce Elius Wafugaji wametakiwa Kutumia mbinu bora za ufugaji ili kujipatia kipato kutokana na shughuli hiyo ya ufugaji na kuweka kujikimu kipindi cha kiangazi hasa jamii ya Kimaasai ambayo inategemea ufugaji kama shughuli yao…
12 July 2024, 12:33 pm
Picha joyce Elias Na Isack Dickson. Mkuu wa shule ya Sekondari Terrat Julius Maplani amesema kuwa ufaulu wa wanafunzi wa kidato cha Nne umekuwa ukiongezeka mwaka hadi mwaka mara baada ya kuwepo kwa umeme wa uhakika. Mwalimu Maplani amesema hayo…
12 July 2024, 11:51 am
picha msaada wa mtandao Na Isack Dickson. Kwa mujibu wa REA hadi January 2024, usambazaji wa umeme vijijini umefikia asilimia 80 tangu kuanza kwa utekelezaji wa Mradi wa Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili mwezi Julai 2018 Na, kuna vijiji…
10 July 2024, 3:37 pm
Na Isack Dickson. Wananchi wa kijiji cha Terrat na wanajamii kwa ujumla wametakiwa kuhakikisha wanamiliki hati miliki za ardhi ili kupunguza migogoro ya ardhi katika jamii. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Kijiji cha Terrat Ndg Kone P Medukenya katika mahojiano…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”