

10 March 2022, 9:22 am
NA NYANGUSI OLE SANG’IDA Afisa mnadhimu wa Polisi Mkoa wa Arusha kamishina msaidizi wa Polisi (ACP) MARY KIPESHA ambae pia ni Mwenyekiti wa mtandao wa Polisi wanawake Mkoa wa Arusha (TPF NET) amewaongoza askari wakike Mkoa wa Arusha kutembelea mahabusu…
9 March 2022, 10:03 pm
Na nyangusi Olesan’gida . Mkuu wa Wilaya ya Arusha Said Mtanda amezindua Ofisi ya waendesha pikipiki (Bodaboda) katika Kata ya Kaloleni. Akizindua Ofisi hizo Mkuu wa Wilaya amewataka vijana kuendelea kuheshimu alama za barabarani sambamba na kutotumia pikipiki zenye adha…
9 March 2022, 5:30 pm
na pascal sulle simanjiro manyara Mangariba katika wilaya ya simanjiro mkoa wa manyara wamekubali kuacha kazi ya ukeketaji kwa watoto wa kike ndani ya jamii na kuwashukuru mashirika yote na serikali katika kutoa elimu kuhusu madhara ya ukeketaji. Wakizungumza mbele…
9 November 2021, 10:30 am
Terrat, Simanjiro 09.11.2021. Na Baraka David Ole Maika. Viongozi wa Mila kutoka Jamii ya Kimasai Mkoa wa Manyara wamewataka Wananchi wa Jamii ya Kifugaji wa Kimaasai kujitokeza kupata Chanjo ya UVIKO 19 inayotolewa bila malipo kwani chanjo hiyo ni Salama…
8 November 2021, 2:15 pm
08.11.2021 Na Baraka David Ole Maika. Jamii ya wafugaji wa Kimasai na Watanzania wote wametakiwa kujitokeza kupatiwa Chanjo ya UVICO 19 kwani chanjo hiyo ni salama na haina Madhara. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,…
8 November 2021, 1:35 pm
08.11.2021 Na Baraka David Ole Maika: Viongozi wa Vijiji na Wasimamizi wa Misitu 55 kutoka Wilaya Ngorongoro wamepatiwa Mafunzo ya Usimamizi na Utunzaji wa Misitu. Mafunzo hayo ya Siku Tatu yamefanyika katika Chuo cha Misitu olmotonyi iliyopo Ngaramtoni Halmashauri ya…
8 November 2021, 12:51 pm
Na Baraka Ole Maika Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Arusha Wilayani Arumeru mkoani Arusha Selemani Msumi, amewataka wazazi kujenga mazoea ya kuwa karibu na kuzungumza na watoto wao..Aliweza kuongoza Mheshimiwa Msumi ameyasema hayo wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mtoto…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”