Orkonerei FM
Orkonerei FM
20 January 2024, 1:46 pm
Waliohudhuria shuleni ni wengi lakini si wote kwani waliofaulu wote wanatakiwa kuripoti shule. Na Mwandishi wetu. Ni wiki ya pili sasa tangu wanafunzi wa kidato cha kwanza kutakiwa kuripoti shuleni nchi nzima kwa shule ya sekondari Terrati wilaya ya Simanjiro…
15 January 2024, 3:52 pm
Zoezi la siku tatu la ujazaji fomu za kuomba namba za Kitambulisho cha Taifa-NIDA limekamilika katika kata ya Terrat wilaya ya Simanjiro huku wananchi wengi wakishindwa kujaza fomu hizo kutokana na msongamano. Na Joyce Elius. Zoezi hilo la ujazaji wa…
12 January 2024, 11:19 pm
Wanafunzi wapatao 105 kati ya 226 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari Terrat wilaya ya Simanjiro ndio pekee walioripoti shuleni hadi sasa. Na Baraka David Ole Maika. Akizungumza na Orkonerei FM Redio Mkuu wa shule ya sekondari…
11 January 2024, 1:45 pm
Sheria ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya mwaka 2009 imeweka bayana kuwawanyamapori ni sehemu ya nyara za Serikali, hivyo mtu anayetaka kutumia nyamaporini lazima afuate taratibu za kisheria kuipata ikiwemo kupata kibali maalum. Uwindaji haramu siyo tu umepungua Kwakuchinja bali hata…
11 January 2024, 1:15 pm
Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuweka swala la elimu kuwa kipaumbele na kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira mazuri na kuhakikisha wazazi wanawapeleka watoto shule. Na Nyangusi Olesang’ida Mkuu wa mkoa wa Arusha John Mongella amewataka wazazi na…
3 January 2024, 11:41 am
“Jitihada hizi shirikishi zitachangia kuboresha usimamizi mzuri wa ardhi ya Vijiji na hatimaye itumike kwa maslahi ya Vijiji na Wananchi na si kwa Watu wachache wenye kujilimbikizia ardhi kinyemela bila kuiendeleza.” Dkt.Suleiman Serera ameandika katika ukurasa wake wa mtandao wa…
30 December 2023, 8:48 am
Juhudi zinazo fanywa na askari wa uhifadhi ,Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na wananchi walio jirani katika maeneo ya uhifadhi haswa shoroba ama mapitio ya wanayapori kama Kwakuchinja zinahitajika kuongezwa na kuboreshwa ili kufikia azma kuu ya nchi…
15 December 2023, 5:56 am
Kwa mujibu wa Wizara ya Kilimo kupitia taarifa yake ya mwaka 2021 uzalishaji wa mazao ulikadiriwa kufikia tani mil.4 kwa mwaka lakini tani mil.1.5 hupotea kutokana na teknolojia duni. Uchakataji wa mazao nchini hasa kwa wakulima wadogo bado imeendelea kuwa…
14 December 2023, 11:41 am
[picha kwa msaada wa mtandao] “Kwanza michezo inaleta watu pamoja, kufahamiana kuleta ule undugu …pia mazoezi yanaongeza muda wa kuishi” Mratibu ndg. Mbaga Na Isack Dickson Mratibu wa michezo wilaya ya simanjiro mkoa wa manyara bwana CHARLES MSENGI MBAGA Amesema…
13 December 2023, 3:27 pm
Biashara ya nyama choma ni moja ya biashara inayofanya vizuri haswa katika maeneo ya mijini lakini je Vijijini hali ikoje ? Kijiji cha Terrat kilichopo wilaya ya Simanjiro Mkoa wa Manyara huwa na Soko kila siku ya alhamisi ambapo wachuuzi…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”