Orkonerei FM
Orkonerei FM
27 February 2024, 4:07 pm
Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania – TAWA Kanda ya Kaskazini kitengo cha ujirani, ofisi ya Ikolojia Simanjiro Lokisale wametoa elimu ya uhifadhi na manufaa yatokanayo na Wanyamapori. Na Baraka David Ole Maika. Akizungumza na Viongozi mbalimbali, wazee mashuhuri na wakaazi…
24 February 2024, 12:12 pm
Uwepo wa njia za wanyamapori maarufu kama shoroba kwenye maeneo ya vijijini imekuwa changamoto kwa wananchi kwa kile wanachodai kuwa hawakushirikishwa katika uanzishwaji wake. Na Baraka David Ole Maika. Wakizungumza na kipindi cha Uhifadhi na Mazingira cha Orkonerei FM Radio,…
21 February 2024, 7:28 pm
Wataalam wa afya kutoka halmashauri ya wilaya ya Simanjiro kwa kushirikiana na wataalam wa afya kutoka Kanada kupitia shirika la Africa Afya Initiative – AAI wanatoa huduma mbalimbali za afya katika zahanati ya Terrat, wilayani Simanjiro. Na Baraka David Ole…
20 February 2024, 3:28 pm
Wakaazi wa kijiji cha Engonongoi iliyopo kata ya Terrat wilaya ya Simanjiro wameungana na wananchi wenzao na wafanyabiashara kutoka vijiji vya wilaya ya Simanjiro na wilaya za jirani katika ufunguzi wa soko katika kijiji cha Engonongoi. Na Baraka David Ole…
16 February 2024, 8:12 am
Pamoja na jitihada na utekelezaji wa sera katika kuhakikisha kunapatikana usawa wa kjinsia katika nafasi za kiuongozi mashirika ya kijamii pia yananafasi kubwa mno haswa kuhamasisha jinsia ambazo hazishiriki kwa sehemu kubwa katika kutafuta nafasi hizo za kiuongozi. Na Wanahabari…
11 February 2024, 9:45 am
Na Isack Dickson. Wazee wa kimila wa jamii ya kimaasai malaigwanani (laigwanak) wamefanikiwa kubadilisha mitazamo hasi waliyokuwanayo wanajamii hao juu ya uwezo wa wanawake katika kufanya maamuzi ndani ya familia na hata kwenye jamii. Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa malaigwanani…
9 February 2024, 10:39 am
Wapo wanaoamini kuwa ni muhimu wanawake kushiriki katika kutoa maamuzi kwenye ngazi ya familia na wengine wanaona si muhimu,wakiamini kuwa ni kinyume na mila na tamaduni za jamii ya kimaasai. NA Baraka David Ole Maika Jamii ya kimaasai ni jamii…
8 February 2024, 7:12 pm
Wanakijiji wa kijiji cha Terrati Simanjiro mkoani Manyara Mwandishi wetu akifanya mahojiano na mwenyekiti wa Malaigwani wilaya ya Simanjiro Lesira Samburi. Mwanamke amekuwa akikosa nafasi ya kutoa maamuzi ngazi ya familia ikisemekana sababu kubwa ni mila na desturi za jamii…
8 February 2024, 2:51 pm
Kwa mujibu wa UN Women, zaidi ya wasichana na wanawake milioni 200 duniani kote wamepitia Ukeketaji. Mwaka huu wa 2024, takriban wasichana milioni 4.4 watakuwa katika hatari ya kufanyiwa ukatili huo, hii ikiwa ni wastani wa zaidi ya kesi 12,000 kila…
8 February 2024, 12:58 pm
Licha ya hatari inayokumba ushoroba wa Kwakuchinja lakini bado kuna jitihada zinazofanywa na wadau mbalimbali kuhakikisha kuwa ushoroba huo unalindwa na kuendelezwa kwa manufaa ya wanyamapori na jamii zinazozunguka. Na Isack Dickson. Ushoroba wa Kwakuchinja ni sehemu muhimu ya makazi…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”