Orkonerei FM
Orkonerei FM
25 March 2024, 3:36 pm
Na mwandishi wetu. Wanawake hawana nafasi kubwa ya kushiriki katika mikutano,mijadala na hawana ujasiri wa kutoa maoni yao haswa wanawake wa jamii ya kifungaji,na hii ni kutokana na mila na desturi kandamizi. Lakini zipo familia ambazo zimeweza kuachana na mila…
25 March 2024, 3:17 pm
“Kuna wanawake ambao wameweza kukabiliana na mila na tamaduni kandamizi na wanashiriki kwenye vyombo vya maamuzi” Na Dorcas Charles. Katika jamii ya kimaasai wanawake mara nyingi hawananafasi ya kutoka majumbani na kwenda kushiriki katika mikutano mikuu ya vijiji ama vitongoji…
20 March 2024, 6:04 pm
Na Joyce Elius. Wakaazi wa Kijiji cha Terrat wilayani simanjiro wametakiwa kutunza vyanzo vya maji pamoja na miundombinu ya maji ili iwe endelevu na kuendelea kutumiaka kwa vizazi vijavyo. Wito huo umetolewa siku ya leo kijijini hapo katika mkutano wa…
20 March 2024, 4:51 pm
Kikao cha wazazi na uongozi wa shule wa msingi Terrat Wilaya ya Simanjiro kimeazimia kushirikiana kuhakikisha kutatua changamoto zilizopo shuleni hapo ikiwepo tatizo la upungufu wa walimu. Na Joyce Elius, Terrat. Kikao hicho kilichofanyika tarehe 19.03.2024 kimeongozwa na Mwalimu Mkuu…
19 March 2024, 8:59 pm
“Kwanini tumechagua Terrat kufanyika kilele cha wiki ya maji kwanza tumetekeleza mradi wa maji hivi karibuni ,lakini kingine ni utayari wa kwanzia ofisi za wilaya hadi huku chini lakini pia na ratiba yetu”Mhandisi Joanes Martin Meneja RUWASA Simanjiro. Na Mwandishi…
13 March 2024, 7:56 pm
Ukatili wa kijinsia bado unaendelea kuwa tishio kwa maisha ya wanawake wengi hasa kwenye jamii ya kimaasai, kufuatia vipigo kutumika kama sehemu ya adhabu inayotumiwa na baadhi ya wanaume wa jamii hii kwa wake zao. Na Joyce Elius. Bi. Penina…
9 March 2024, 10:09 am
Na mwandishi wetu. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongro (NCAA) imepokea gari aina ya Suzuki Jimny kutoka shirika lisilo la kiserikali la Elephant Protection Initiative (EPI) ya nchini Uingereza kupitia mbia wake Kampuni ya ulinzi ya GardaWorld Tanzania kwa lengo la…
8 March 2024, 6:27 pm
leo ni siku ya maadhisho ya wanawake duniani na kauli mbiu ya mwaka huu inasema ” Wekeza kwa mwanamke kuharakisha maendeleo ya taifa na ustawi wa jamii” Bado kuna mifumo dume na mila potofu zinazoweka vikwazo na masharti kwa wanawake…
8 March 2024, 2:03 pm
Jamii kwa ujumla ina nafasi kubwa katika kuhakikisha vyanzo vya maji vinaendelea kutunzwa lakini kuna changamoto kadhaa ikiwemo wao wenyewe kutofahamu umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji. Nchi yetu imejaliwa kuwa na vyanzo vya maji vya aina mbalimbali ikiwa…
7 March 2024, 4:54 pm
Wananchi wa kijiji cha Loswaki kilichopo kata ya Terrat wilaya ya Simanjiro wameungana pamoja na wananchi wa vijiji vya jirani, wafanyabiashara, viongozi mbalimbali wa mila, chama na serikali katika ufunguzi wa soko la Alamayana katika kijiji cha Loswaki. Na Baraka…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”