Orkonerei FM

Recent posts

7 June 2024, 4:49 pm

Maadhimisho ya siku mazingira duniani

picha na Mtandao Tanzania inapoteza takriban hekta 372,000 za misitu kila mwaka kutokana na ukataji miti kwa ajili ya kuni, mkaa, na kilimo. Ukataji miti umesababisha kupungua kwa eneo la misitu kutoka 45% ya eneo lote la nchi mwaka 1990…

31 May 2024, 3:12 pm

Mifumo ya kuripoti vitendo vya rushwa ni rafiki kwa mwanamke

Mifumo ya kuripoti matukio ya rushwa ni njia ambazo mwananchi ama yule aliyefikwa na tatizo kuweza kufikisha mahala panapostahili. Mifumo hiyo ipo ya namna nyingi mfano kufika mwenyewe kwenye ofisi za takukuru lakini kupiga simu na kutumia ujumbe mfupi ila…

27 May 2024, 10:32 am

Makala: Fahamu namna shule ilivyonufaika na uhifadhi

Na Isack Dickson. Katika Halmashauri ya Babati, kuna jumla ya shule za msingi 153 ambazo zinahudumia zaidi ya wanafunzi 60,000. Shule ya Msingi Burunge ni mojawapo ya shule mpya zinazokua kwa kasi, ikilinganishwa na shule za zamani ambazo zimekumbana na…

24 May 2024, 12:43 pm

Terrat, Lobosireti zazindua tamasha la michezo kwa watumishi

Baadhi ya watumishi wa kata ya Terrat na Kata ya Lobosireti Na Dorcas Charles Wafanyakazi wa Tarafa ya Terrat na Tarafa ya Lobosiret Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara wamezindua tamasha la michezo na mazoezi ya viungo kwa watumishi yaliyofanyika shule…

24 May 2024, 12:13 pm

Nini kinawakwamisha vijana kushiriki kuwania nafasi za uongozi?

vijana wa kijiji cha Terrat wakitumbuiza kwenye mkutano (picha na Isack Dickson) “Kutokana na kipato kidogo vijana hawana hela za kuweza kuwawezesha kwenye michakato ya uchaguzi” Kijana. Na Dorcas Charles Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka…

23 May 2024, 6:23 pm

Kuzifikia huduma za afya kwenye familia ni jukumu la nani?

Nijuze Radio Show. Kwa mujibu wa Sera ya afya ya uzazi ya mwaka 2008 inalenga kuboresha afya na ustawi wa wanawake, wanaume na watoto kwa kuzingatia haki za binadamu na uswa wakijisia, sera hii inasisitiza umuhimu wa kuuzuria kilniki kwa…

10 May 2024, 11:15 am

Unamwajibisha vipi kiongozi wako kuchukua hatua dhidi ya athari za mafuriko?

Nijuze Radio Show. Kuwepo kwa mvua kubwa zinazosababisha mafuriko na kuharibu miundombinu,mfano Kwa mwaka 2023 hadi mwanzoni mwa 2024 mafuriko yaliosababishwa na mvua za El Nino yaliathiri miundombinu ya barabara Kwa Wilaya ya Simanjiro. Lakini Baadhi ya viongozi huwa hawawajibiki…

8 May 2024, 3:10 pm

Kuna nafasi sawa ya kijinsia katika kumiliki ardhi?

Na Joyce Elius. Baadhi ya maeneo na jamii zimekua haziamini mwanamke katika kumilikisha ardhi na hii inatokana na mila na desturi za jamii husika. Sera ya taifa   ya ardhi ya mwaka 1995 inatambua kuwa wanawake na wanaume wana haki sawa…

8 May 2024, 3:04 pm

Je, kuna nafasi sawa ya kijinsia katika kumiliki ardhi?

Na Dorcas Charles  Baadhi ya maeneo na jamii zimekua haziamini mwanamke katika kumilikisha ardhi na hii inatokana na mila na desturi za jamii husika. Lakini sera ya taifa   ya ardhi ya mwaka 1995 inatambua kuwa wanawake na wanaume wana haki…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”