Recent posts
13 April 2021, 7:17 pm
Nyaishozi fc kufa kupona ligi ya mabingwa.
Timu ya mpira wa miguu Nyaishozi ya wilaya Karagwe mkoani Kagera imejipanga vyema kuhakikisha inasonga mbele katika hatua inayofuata kwenye ligi ya mabingwa wa Mikoa (RCLFinals 2021). April 12 mwaka huu timu hiyo ambayo ni Mshindi wa mkoa Kagera imesafiri…
12 April 2021, 9:29 pm
Watakiwa kufunga na kutoa sadaka
Waumini wa dini ya Kiislamu wilayani Karagwe wametakiwa kuwasaidia watu wenye uhitaji wakati wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani ili wapate baraka toka kwa Mwenyezi Mungu. Haya ni kwamujibu wa Shekhe Nassibu Abdu Abdallah Shekhe wa wilaya Karagwe ambaye…
12 April 2021, 12:04 pm
“Mimba kwa wanafunzi sawa na dawa za kulevya”
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa Kagera Revocatus Malimi amesema kuwa Jeshi la Polisi mkoani hapa limeandaa mikakati mbalimbali itakayosaidia kupambana na tatizo la mimba za utotoni kwa wanafunzi wanaosoma katika shule za Msingi na Sekondari . Kamanda Malimi amesema…
8 April 2021, 2:25 pm
Mkufunzi ashikiliwa kwa rushwa ya Ngono.
Mkufunzi mmoja wa chuo cha Kilimo Maruku kilichoko katika Halmshauri ya wilaya ya Bukoba anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Kagera baada ya kunaswa katika nyumba ya wageni Mjini Bukoba akimshawishi kumpa rushwa ya…
8 April 2021, 12:50 pm
Ni Tv za online kwanza
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa ameagiza TCRA kuzifungulia TV za mtandaoni zote (Online TV) ambazo zilifungiwa ikiwa utekelezaji wa maelekezo ya Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa April 06 ,2021…