Karagwe FM
Karagwe FM
16 July 2025, 8:20 pm
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeikabidhi serikali ya Tanzania msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 112 kwa ajili ya kurejesha hali ya awali ya huduma za kiafya katika maeneo yaliyokumbwa na mlipuko wa ugonjwa wa Marburg. Na…
15 July 2025, 7:23 pm
Mkurugenzi wa mawasiliano na taarifa kwa umma wa chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) John Mrema (upande wa kulia). Picha na Theophilida Felician Chama cha Ukombozi wa Umma kimeanza ziara yake Kanda ya Viktoria kufuatilia idadi ya watia nia ya…
14 July 2025, 8:13 pm
Wimbi la watu kujiua kwa madai ya kuchoshwa na ugumu wa maisha limeendelea kujitokeza katika maeneo mbalimbali nchini hal inayowasukuma viongozi wa dini kutoa mahubiri ya kuwatia moyo waumini wenye changamoto za maisha. Na Theophilida Felician, Bukoba. Imeelezwa kwamba jamii…
10 July 2025, 8:00 pm
Siku chache baada ya Jeshi la Polisi mkoani Kagera kuwashikilia wanaume wawili ambao ni Kelvin Piason Mdolon (42), mkazi wa Mnyiha na mganga wa kienyeji pamoja na Randani Seme Mlomo (64), mkazi wa Mnyamwanga ambaye ni mtumishi wa chumba cha…
6 July 2025, 5:58 pm
Kila zinapowadia nyakati za uchaguzi mkuu hapa nchini kunakuwa na ongezeko la matukio ya uhalifu yanayohusishwa na imani za kishirikina ikidaiwa kuwa ni kutekeleza maelekezo ya waganga wa tiba asili maarufu kama waganga wa kienyeji Na Theophilida Felician, Bukoba Chama…
2 July 2025, 9:55 pm
Suala la wenye ulemavu kuacha kujinyanyapaa linaendelea kupigiwa kelele kwa kuwawezesha wenye ulemavu mbalimbali kushiriki katika fursa zinazojitokeza Na Theophilida Felician, Bukoba Changamoto ya ukosefu wa wawakilishi katika vyombo mbalimbali vya maamzi kwa kundi la watu wenye ulemavu limemsukuma mzee…
18 June 2025, 1:38 pm
Mkuu wa mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwassa amewataka watumishi na watendaji wa halmashauri ya Karagwe kuendeleza juhudi zilizowawezesha kupata hati safi. Na Ester Albert, Karagwe Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwassa ameitaka Halmashauri ya wilaya ya Karagwe…
14 June 2025, 10:11 am
Magonjwa ya macho ni maradhi mbalimbali anayoweza kupata mtu na yakamtesa kama vile kisukari cha macho na glakoma (presha ya macho) Na Jovinus Ezekiel Zaidi wananchi 900 wilayani Karagwe mkoani Kagera wamenufaika na huduma ya matibabu bure ambayo imetolewa kwa muda wa siku nne…
26 May 2025, 7:12 pm
Vijana mkoani Kagera wameaswa kukaa kando na makundi ya kisiasa yanayotumia kundi hilo kuleta vurugu nyakati za uchaguzi Na, Theophilida Felician, Bukoba. Kuelekea uchaguzi mkuu vijana mkoani Kagera na Tanzania kwa ujumla wametakiwa kuwa makini na watu wenye nia ya…
19 May 2025, 1:34 pm
Licha ya kila halmashauri kutenga asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya mikopo kwa vijana, wanawake na wenye ulemavu, Shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu SHIVYAWATA manispaa ya Bukoba mkoa wa Kagera wamelalamikia kutonufaika na asilimia mbili…
UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.
DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.
MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.
MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171