Karagwe FM
Karagwe FM
13 November 2024, 11:24 am
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Julius Kalanga Laiser ameshtushwa na ukataji mkubwa wa miti unaofanywa na wananchi kwa ajili ya kutengeneza mkaa hali inayotishia maisha kwa binadamu na wanyama kutokana na ukame siku za usoni Na Edison Tumaini Anatory Katika…
9 November 2024, 10:17 pm
Burudani ya mpira wa miguu imeanza mjini Bukoba mkoani Kagera kupitia ligi ya Samia Kagera inayolenga kuwahamsisha vijana wa mkoa huu kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, 2024 Theophilida Felician. Pazia la mashindano ya Samia Kagera Cup 2024…
8 November 2024, 11:09 am
Mashindano ya mpira wa miguu “Samia Kagera Cup 2024” yanatarajia kuanza kutimua vumbi mkoani Kagera yakiwa na ujumbe wa elimu mahususi ya kuhamasisha wananchi kujitokeza na kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa 27 Novemba 2024. Na Theophilida Felician Mwanzilishi wa…
7 November 2024, 9:56 pm
Jimbo Katholiki la Kayanga lililozaliwa kutokana na jimbo Katoliki la Rulenge Ngara limetimiza miaka 16 kwa mafanikio makubwa ikiwemo ongezeko la Parokia na mabadiliko makubwa ya kimazingira. Na Ospicia Didace Askofu wa Jimbo Katoliki la Kayanga Mhashamu Almachius Vincent Rweyongeza…
6 November 2024, 11:30 am
Vipindi vya mvua zinazoambatana na upeo mkoani Kagera zimekuwa zikisababisha madhara mbalimbali kwa wananchi ikiwa ni pamoja na kuezua nyumba na kuwaacha bila makazi sambamba na kuharibu baadhi ya mazao mashambani Na Jovinus Ezekiel Kaya 73 zimeathiriwa na upepo mkali…
5 November 2024, 5:59 pm
Halmashauri ya wilaya ya Missenyi mkoani Kagera imeendelea kutumia fursa ya uwepo wa nchi jirani ya Uganda kuibua fusa za kiuchumi kwa kubuni miradi mipya ya maendeleo itakayochochea ukuaji wa uchumi wa mtu mmoja mmoja na halmashauri hiyo Na Respicius…
4 November 2024, 2:42 pm
Watoto wa kike wamekuwa katika hatari ya kushindwa kutimiza ndoto zao za kitaaluma kutokana na baadhi ya wanaume kuwafanyia ukatili wa kingono na wakati mwingine kuwasababishia mimba za utotoni Na Ospicia Didace Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha…
13 October 2024, 5:24 pm
“Wasioona ni muhimu wajiamini katika kila jambo wanalofanya kwa kuwa wana haki sawa na watu wengine wote hivyo wanapaswa kupewa ushirikiano katika jamii.“ Na: Theophilida Felician -Kagera Kuelekea chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2025 nchini vyama…
13 October 2024, 4:18 pm
Ushirikiano wa viongozi wa dini nchini ni muhimu kuendelezwa kwa ajili ya kuchochea upendo kwa waumini na kuleta maendeleo ya kiroho na kiuchumi. Na: Devid Geofrey – Karagwe Muadhama Protase Kardinali Rugambwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la…
12 October 2024, 6:45 am
Wimbi la vitendo vya mauaji katika siku za hivi karibuni limehusishwa na kukithiri kwa matatizo ya afya ya akili, mmomonyoko wa maadili, uelewa duni wa namna ya kuishi, huku umasikini uliopitiliza nao ukitajwa kama moja ya sababu. Na: Edson Tumain…
UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.
DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.
MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.
MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171