Karagwe FM
Karagwe FM
4 January 2025, 2:38 pm
Na Respicius John, Missenyi Kagera Baadhi ya wakazi wa mji mdogo wa Bunazi wilayani Missenyi wamelalamikia ongezeko la bei ya nyama ya ng’ombe iliyopanda holela kutoka shilingi elfu 8 mpaka shilingi elfu kumi kwa kipindi cha takribani miezi minne. Wakiongea…
2 January 2025, 11:09 am
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Missenyi mkoani Kagera wakili John Paul Wanga ameguswa na changamoto ya watu sita wenye ulemavu utokanao na ugonjwa wa ajabu na kuwashika mkono katika kijiji cha Lukuba A wilayani humo Na Respicius John, Missenyi Kagera…
20 December 2024, 10:58 am
Utapiamlo ni hali mbaya ya lishe ambayo inaweza kuwa pungufu au iliyozidi. Katika nchi zinazoendelea kama Tanzania, utapiamlo ulioenea zaidi ni ule wa ulaji duni. Na Jovinus Ezekiel Wadau wa lishe mkoani Kagera wametakiwa kuwa mstari wa mbele kushirikiana na…
6 December 2024, 9:12 pm
Wabunge 16 wakiwemo wawili wa mkoa wa Kagera Florent Kyombo wa Nkenge na Innocent Bilakwate wa Kyerwa, maofisa wawili wa bunge na dereva wa basi la kampuni ya mabasi ya Shabby wamejeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Mbande,…
5 December 2024, 12:31 pm
Mwenyekiti wa jumuiya ya umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi UVCCM mkoa wa Kagera bw. Faris Buruhan ameendelea kutoa nasaha kwa vijana hasa walioko katika shule za sekondari mara hii akiwaasa kusoma kwa malengo na kutimiza ndoto zao Na…
4 December 2024, 9:37 pm
Miili ya watu watano kati ya saba waliofariki dunia kwa ajali iliyotokea Desemba 3,2024 katika kata ya Kihanga wilayani Karagwe imetambuliwa na kukabidhiwa kwa ndugu zao kwa taratibu za mazishi Na Jovinus Ezekiel Serikali wilayani Karagwe imelitaka jeshi la polisi…
3 December 2024, 6:37 pm
Wimbi la ajali za barabarani linaendelea kuchukua uhai wa watu nchini Tanzania wanaotumia vyombo vya moto hususan magari ya abiria ambayo mara nyingi hugongana na magari ya mizigo Na Shabani Ngarama Watu saba wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katikia…
20 November 2024, 1:43 pm
Mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Bukoba vijijini bw. Deusdedith Rwekaza. Picha na Theophilida Felician Wakati mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa ukiingia katika hatua ya kampeni, Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA jimbo la Bukoba vijijini kimeeleza kuchukua hatua…
16 November 2024, 10:52 am
Baraza kuu la waislamu Tanzania BAKWATA wilaya ya Karagwe mkoani Kagera kupitia msikiti wa Kihanga wamekubali ombi la Jumuiya ya vijana wa chama cha mapinduzi UVCCM wilaya ya Karagwe na kufanya dua maalum kuombea taifa na uchaguzi wa serikali za…
13 November 2024, 12:44 pm
Halmashauri ya wilaya ya Kyerwa kama zilivyo halmashauri zingine mkoani Kagera inaendelea kutekeleza afua za lishe ili kupunguza udumavu na ukondefu kwa watoto Na Jovinus Ezekiel Halmashauri ya wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera imejipanga kuendelea kuboresha hatua za utaoji wa…
UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.
DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.
MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.
MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171