Karagwe FM
Karagwe FM
16 May 2025, 9:51 pm
Siku ya familia duniani wilayani Karagwe imeadhimishwa kwa kutoa elimu kwa wananchi kuhusu mambo kadhaa yanayowezesha ustawi wa familia Na Shabani Ngarama, Karagwe Afisa ustawi wa jamii wilayani Karagwe mkoani Kagera bi Owokusima Kaihura amewaomba vijana kuchunguza wenza kabla ya…
10 May 2025, 11:14 am
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Kagera imeendelea kufuatilia miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa fedha za serikali na kubaini baadhi ya changamoto ikiwa ni pamoja na uwepo wa kundi la watu wanaofanya utapeli kwa wananchi wanaodaiwa…
24 April 2025, 6:47 pm
Serikali kupitia idara ya afya mkoani Kagera imefanikiwa kupunguza kiwango cha maambukizi ya malaria licha ya baadhi ya wilaya kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi Theophilida Felician. Kiwango cha maambukizi ya malaria kwa mkoa wa Kagera kimepungua kutoka 34.9%…
17 April 2025, 3:46 pm
Viongozi wa dini barani Afrika wamekuwa kimbilio la viongozi wa serikali kuwaomba kuhubiri na kulinda amani hasa zinapowadia nyakati za chaguzi. Hali imekuwa tofauti nchini Uganda ambapo nabii mmoja ametuhumiwa kuhatarisha amani ya nchi kwa kutembeza kichapo kwa waumoni wakiwa…
7 April 2025, 6:28 pm
Kila unapokaribia wakati wa uchaguzi huibuka hofu ya mambo mbalimbali yanayoweza kuvuruga uchaguzi ikiwemo ukabila, udini na vitendo vya rushwa Na Theophilida Felician. Askofu mkuu wa makanisa ya Restoration of Power Ministry Prof. Wilson George Munguza amewaasa viongozi wa dini…
5 April 2025, 5:53 pm
Kumekuwepo malalamiko ya muda mrefu ya wananchi kutozwa fedha na wenyeviti wa vijiji na vitongoji ili wawasainie nyaraka na kuwagongea mhuri wa serikali kote nchini Na Respicius John, Missenyi Kagera Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Missenyi mkoa wa…
4 April 2025, 8:21 pm
Wakati joto la uchaguzi mkuu likiendelea kupanda nchini wananchi wametakiwa kuungana pamoja kudumisha na kulinda amani wakati wa uchaguzi huo Na Theophilida Felician. Taasisi ya umoja wa amani kwanza nchini I.P.I imeeleza kuwa katika kuelekea kipindi cha uchaguzi mkuu wa…
31 March 2025, 9:17 pm
Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Bunazi Bonde la Baraka wilayani Missenyi limeendesha harambee kwa lengo la kukusanya shilingi milioni 100 za awali kwa ajili ya ujenzi wa kanisa linalotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi milioni 900 Na Respicius John,…
8 March 2025, 6:02 pm
Kutokana na ongezeko la malalamiko ya wananchi wanaotumia nishati ya gesi mkoani Kagera kuishiwa gesi ndani ya muda mfupi watumiaji wote wa gesi wameaswa kuwa makini na mitungi wanayonunua kwa kuhakiki uzito kabla ya kufanya manunuzi Theophilida Felician. Watumiaji wa…
1 March 2025, 9:42 am
Ofisi za uthibiti ubora wa elimu katika halmashauri za wilaya mkoani Kagera zimeendelea na ufuatiliaji wa miradi ya elimu na kuishukuru serikali kwa jinsi inavyoendelea kusajili na kusimamia shule za msingi na sekondari Na Ezra Lugakila Afisa uthibiti ubora wa…
UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.
DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.
MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.
MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171