Karagwe FM
Karagwe FM
17 August 2025, 7:44 pm
Baadhi ya wajumbe wa chama cha ushirika Nguvu mali wilayani Karagwe wamejikuta katika tuhuma za ubadhirifu wa fedha na kusababisha hasara kwa ushirika huo Na Jovinus Ezekiel, Karagwe Wanachama wa chama cha ushirika wa Nguvu Mali wilayani Karagwe mkoani Kagera…
11 August 2025, 2:44 pm
Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Kagera linaadhimisha miaka 40 ya kuanzishwa kwake kwa kukagua na kuzindua miradi mbalimbali iliyokamilika na inayoendelea kutekelezwa Na Jovinus Ezekiel, Karagwe Askofu mkuu wa kanisa la Anglikana Tanzania Dk Maimbo Mndolwa amewahimiza waumini kuendelea kuliombea…
8 August 2025, 8:11 pm
Kifo cha mwanasiasa mkongwe na spika mstaafu Job Ndugai kimewagusa watu wengi wakiwemo waganga wa tiba asili nchini hasa wanachama wa TAMESO Tanzania Na Theophilida Felician. Chama cha waganga wa tiba asili nchini TAMESO (T) kimeelezea kuguswa na kifo cha…
8 August 2025, 7:52 pm
Viongozi wa shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu SHIVYAWATA katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wameonesha kutoridhishwa na kura za maoni za wajumbe wa chama cha mapinduzi CCM zilizomnyima ushindi aliyekuwa mbunge wa mashirika yasiyokuwa ya kiserikali Neema Lugangila…
6 August 2025, 6:47 pm
Maisha ya mwanadamu ni kama maua yanayoweza kunyauka wakati wa jua, Hivi ndivyo unaweza kusema baada ya kusikiliza mkasa wa kifo cha mwasisi wa umoja wa waganga wa tiba asili mkoa wa Kagera aliyefariki ghafla hivi karibunu Na Theophilida Felician…
29 July 2025, 8:23 pm
Jeshi la polisi mkoa wa Kagera limeendelea kuonya dhidi ya vitendo vya waganga wanaopiga ramuli chonganishi sambamba na kuahidi kuchukua hatua waganga wasiosajiliwa Na Theophilida Felician, Bukoba Jeshi la polisi mkoa wa Kagera limekishukuru na kukipongeza chama cha waganga wa…
28 July 2025, 12:15 pm
Waganga wa tiba asili mkoani Kagera wamepewa angalizo dhidi ya wagombea wa udiwani na ubunge wanaotafuta ushindi kwa kutumia viungo vya wenye ualbino na ushirikina mwingine Theophilida Felician. Katibu mkuu wa chama cha waganga TAMESOT Bw Lukas Joseph Mlipu ametoa…
27 July 2025, 8:39 pm
Wananchi mkoani Kagera wameendelea kuaswa kutumia nyumba za ibada kuhubiri na kulinda amani wakati na baada ya uchaguzi mkuu ujao Na Theophilida Felician Kagera. Umoja wa wanandembo nchini umeeleza kuungana na watu wengine kuliombea taifa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi…
23 July 2025, 6:38 pm
Taasisi ya Ubalozi wa Amani Mkoa wa Kagera ni moja kati ya taasisi makini zinazoamini katika huduma bora baada ya kupata mafunzo maalum kuhusu mbinu za ulinzi wa amani nchini Theophilida Felician Wanachama wa taasisi ya ubalozi wa amani PPA…
23 July 2025, 6:13 pm
Wimbi la watu kujiua au mauaji dhidi ya watu wengine limeendelea kutikisa mkoa wa Kagera licha ya kuwa hakuna utafiti rasmi wa sababu za tatizo hilo. Na Theophilida Felician, Bukoba Maisha magumu, upweke, migogoro ya ndoa, wivu wa mapenzi, madeni…
UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.
DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.
MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.
MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171