Zenj FM
Zenj FM
11 September 2025, 8:11 pm
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi ,amesema Tume hiyo imewateua rasmi wagombea kumi na mmoja (11) wanaowania nafasi ya Rais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 na kuwakabidhi vyeti vyao vya uteuzi…
10 September 2025, 9:42 pm
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar limewakumbusha wananchi wanaotaka kuweka namba au majina binafsi kwenye magari yao kuhakikisha wanazingatia utaratibu uliowekwa kwa kwenda kusajili namba hizo katika Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA).Akizungumza na waandishi wa habari, huko…
10 September 2025, 7:29 pm
Ikiwa leo ni siku ya mwisho ya kuwasilisha fomu za kugombea urais kwa upande wa Zanzibar, Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imethibitisha kuwa jumla ya vyama 12 kati ya 17 vimerudisha fomu, huku chama kimoja, CUF, kikienguliwa kwa kutotimiza…
9 September 2025, 7:53 pm
Na Mary Julius Wagombea watano wa nafasi ya Urais wa Zanzibar wamerejesha fomu zao kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) baada ya kukamilisha masharti yote ya kisheria, ikiwemo kupata wadhamini wasiopungua 1,000 kutoka katika mikoa yote mitano ya Zanzibar.Akizungumza mara…
8 September 2025, 8:16 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi, amewataka waandishi wa habari kuepuka kutumia lugha za chuki, uchochezi, au zinazoleta mgawanyiko wa kijamii kwa misingi ya ukabila, dini, au itikadi.Akizungumza katika ukumbi wa Tume…
5 September 2025, 6:51 pm
Na Omar Hassan. Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo ambae pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman amewapongeza watendaji wa Jeshi la Polisi kwa utendaji mzuri na amehimiza Jeshi hilo lifanye kazi kwa uhuru na…
4 September 2025, 5:09 pm
Na Mary Julius. Mkuu wa Mkurugenzi wa Elimu ya Wapiga Kura na Mawasiliano kwa Umma wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC, Juma S. Sheha, amesema tume hiyo imejipanga kikamilifu kuhakikisha watu wenye mahitaji maalum wanashiriki ipasavyo katika Uchaguzi Mkuu wa…
3 September 2025, 7:08 pm
Na Junaina Rajabu. Jeshi la Polisi mkoa wa Kaskazini Unguja limejipanga kikamilifu kuhakikisha usalama wa raia hasa katika kipindi cha kampeni, pamoja na kuimarisha usalama wa barabarani ili kupunguza ajali zinazoweza kuepukika.Jeshi la Polisi limesisitiza kuwa hatua kali zitachukuliwa kwa…
3 September 2025, 5:00 pm
Na Is-haka Mohammed. Wakati waumini wa dini ya Kiislamu wakitarajia kusheherekea maadhimisho ya kuzaliwa kwa Kiongozi wao wa Umma Mtume Muhamad (SW) wametakiwa kufuata mienendo na maisha aliyokuwa akiishi Mtume ikiwemo mapenzi, umoja na mshikamano kwa jamii. Hayo yemelezwa na…
3 September 2025, 1:49 pm
Na Mary Julius. Mgombea wa uwakilishi jimbo la Tunguu, kupitia Chama Cha Mapinduzi Simai Mohammed Said, ameahidi kufanya Kampeni za kistaarabu kama ilivyoagizwa na viongozi wakuu wa chama chake. Simai ameyasema hayo leo mara baada ya kuchukua fomu katika ofisi…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group