Zenj FM

Recent posts

27 September 2025, 10:10 pm

Maendeleo kwa vitendo, Asha Juma aahidi mabadiliko mfenesini

Na Ivan Mapunda. Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mfenesini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asha Juma Kombo, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuwa mbunge, atahakikisha anakuza vipaji vya watoto na vijana kupitia ujenzi wa Sports Academy maalum…

25 September 2025, 7:47 pm

Je, unajua magari ya mizigo hayaruhusiwi kubeba abiria?

Jeshi la Polisi limeendelea kutoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika uchaguzi kwa njia ya amani, na kuwahakikishia kuwa ulinzi umeimarishwa katika maeneo yote ili kuhakikisha uchaguzi huru, wa haki na salama. Na Mary Julius. Kamanda wa Polisi Mkoa wa…

25 September 2025, 7:21 pm

Kesi za udhalilishaji, polisi yataka ushirikiano wa jamii

Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limewataka wananchi kuwa na uelewa wa vigezo vya kisheria vinavyohitajika ili kesi za udhalilishaji ziweze kufikishwa mahakamani na haki kutendeka kwa waathirika.Akizungumza katika mahojiano maalum na Zenji FM, Mkuu wa…

24 September 2025, 10:36 pm

UPDP yaja na sera za afya bure na uvuvi bahari kuu

Na Mary Julius. Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha UPDP, Hamad Mohammed Ibrahim, amesema endapo chama chake kitachaguliwa na kuingia madarakani kitadumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Akizungumza katika mkutano  wa kampeni za chama hicho uliofanyika katika…

23 September 2025, 7:47 pm

Wizara ya Afya na Maisha Meds watoa miwani bure kwa wenye Umri 40+

Na Mary Julius. Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Taasisi ya Maisha Meds imeanzisha zoezi la utoaji wa miwani kwa wananchi wenye umri wa miaka 40 na kuendelea, hasa wale wenye changamoto ya kuona vitu vya karibu.Zoezi hilo linalofanyika katika…

20 September 2025, 3:03 pm

Mgombea urais Zanzibar kupitia NRA aahaidi mishahara minono kwa walimu

Na Is-haka Mohammed. Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha NRA Khamis Faki Mgau amesema kuwa akichaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar atapandisha mishahara ya waalimu ambapo walimu wa ngazi ya cheti ataanza kupokea kima cha mshahara wa shilingi milioni moja…

19 September 2025, 6:28 pm

CCM yaweka mikakati madhubuti ya kuongeza ajira kwa vijana

Na Mary Julius. Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ukuaji wa uchumi ni matokeo ya utekelezaji mzuri wa…

16 September 2025, 6:02 pm

Skauti mashuleni, njia ya kukuza uzalendo kwa vijana

Na wilaya ya Kati. Mkuu wa wilaya ya kati Rajab Ali Rajab, amewataka walimu katika Wilaya ya hiyo kuanzisha vyama vya Skauti katika skuli zao ili kuwajenga wanafunzi kuwa wazalendo, wenye maadili na kuwasaidia kuwa raia wema wa baadaye. Akizungumza…

16 September 2025, 4:27 pm

TRA yapanua wigo wa biashara ya maji Zanzibar hadi Tanzania Bara

Na Mary Julius. Mamlaka ya Kodi ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mfumo mzuri wa Kodi kwa bidhaa umeanza kuandaliwa ili maji yanayozalishwa Zanzibar yaweze kutumia soko la pamoja la Tanzania.Hayo yameleezwa na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…

15 September 2025, 9:50 pm

ADA-TADEA: Wi-Fi bure, gesi kwa masikini na uzalishaji wa ndani

Na Mary Julius, Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ADA-TADEA, ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho Juma Ali Khatibu amesema dhamira ya chama chake ni kuendelea kuiunga mkono serikali iliyopo madarakani kutokana na kazi nzuri inayofanywa katika kuwaletea…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group