Zenj FM

Recent posts

11 December 2024, 3:55 pm

Wanahabari Pemba watoa wito marekebisho ya sheria za habari

Na Is-haka Mohammed. Waandishi wa Habari Kisiwani Pemba wameelezwa kutochoka katika harakati za kufanya  uchechemuzi wa Sheria ya Habari 1988 na Ile ya Tume ya Utangazaji ya Mwaka 1997 ili kuona vile vifungu vinavyokwanza utekelezaji wa majukumu yao ya kihabari…

10 December 2024, 6:54 pm

Muzdalifa yaiomba serikali kuanzisha siku ya mtoto yatima

Na Berema Nassor. Taasisi ya Muzdalifa Charitable Organization  Zanzibar  wameiomba  Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuweka mpango madhubuti ya kuiweka  siku ya maadhimisho ya mtoto yatima Zanzibar katika kalenda ya matukio ya kitaifa  kwa lengo la kuwatambua na kuwafariji  watoto…

10 December 2024, 6:38 pm

SMZ na mafanikio katika sekta ya elimu Jimbo la Malindi

Na Mary Julius. Mwakilishi wa Jimbo la Malindi Mohamed Ahmada Salum amesema mazingira mazuri ya elimu yaliyowekwa na serikali ya awamu ya nane yamesaidia kuboresha matokeo katika  mitihani ya taifa.  Ahmada ameyasema hayo katika hafla ya kuwapongeza wanafunzi waliofanya vizuri…

8 December 2024, 4:59 pm

Dk Mwinyi ahimiza jamii kufanya mazoezi Zanzibar

Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea  kuchukua juhudi  maalum  kuhakikisha inapunguza kasi ya ongezeko la Maradhi yasiombukiza nchini. Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo alipozungumza  baada ya Kuongoza…

6 December 2024, 3:25 pm

Puma Energy yafungua Kituo cha Kwanza visiwani Zanzibar

Na Berema Nassor Waziri  wa Maji  Nishati na Madini Shaibu Hassan Kaduara amesema  Serikali  ya   Mapinduzi  ya Zanzibar itaendelea  kushirikiana na wadau wa sekta mbali mbali ikiwa na lengo la kuleta mabadiliko ya maendeleo ya kiuchumi katika taifa na jamii…

5 December 2024, 5:40 pm

Kati ya baa 93, baa 33 zimefanikiwa kufunga vizuia sauti Zanzibar

Na Mary Julius. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na  Idara Maalum za SMZ  Masoud Ali Mohammed amesema Zanzibar kuna jumla ya maeneo yanayotoa  huduma ya Vileo (baa) 93 ambayo yamesajiliwa na kupewa leseni…

4 December 2024, 10:01 pm

KMKM Marumbi wakamata watu 8 wanaojihusisha na uvuvi haramu

Wilaya ya Kati. Kikosi Cha kuzuia magendo KMKM Marumbi kimefanikiwa kukamata watu 8 wanajihusiaha  na uvuvi Haramu. Akithibitisha kukamata kwa watu hao Mkuu wa Kambi hiyo  Luteni Kamanda Hassan Bakari Babu amesema kikosi hicho kilifanikiwa kuwakamata watu hao wakiwa katika…

4 December 2024, 9:39 pm

UWZ yawafikia watu wenye ulemavu kisiwa cha Kojani

Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar Asia Abdulsalam Hussein ameiomba jamii  kuwasaidia watu wenye ulemavu, hasa wale wanaoishi katika visiwa vidogo vidogo vilivyopo Zanzibar. Mkurugenzi Asia ameyasema hayo mara baada ya ziara ya kuwatembelea watu…

4 December 2024, 8:26 pm

Kamishna wa Polisi UN Asifu Utendaji wa Polisi Kamisheni ya Zanzibar

Na Omar Hassan. Mkuu wa Polisi wa Umoja wa Mataifa Kamishna Faisal Shahkar amesema amefurahishwa na juhudi na umahiri wa Jeshi la Polisi Tanzania Kamisheni ya Zanzibar katika kuzuwia uhalifu na kuifanya Zanzibar kuwa ni sehemu salama. Akizungumza na Maafisa…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group