

17 January 2025, 6:34 pm
Na Mary Julius. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), inatarajia kuandikisha Wapiga Kura Wapya 78,922 waliotimiza umri wa miaka 18 kwa mujibu wa takwimu ya Sensa na Makaazi ya mwaka 2022 katika Uandikishaji Wapiga Kura Awamu ya Pili kwa mwaka huu…
8 January 2025, 1:54 pm
Wakulima wanawake Wete kisiwani Pemba wamejikita katika Kilimo Msitu ili kuboresha kipato cha mtu mmoja na maendeleo ya taifa kwa ujumla. Fuatilia makala hii upate mengi kuhusu kilimo hiki na matarajio ya wakulima kisiwani Pemba.
6 January 2025, 3:02 pm
Na Mary Julius. Afisa Elimu Wilaya ya Kati, Somoe Said Mussa, ametoa wito kwa wazazi na walezi kuhakikisha wanawaandikisha watoto wao waliotimia umri wa kuanza skuli ili waweze kupata haki yao ya msingi, ambayo ni elimu. Kauli hiyo ameitoa alipokuwa…
29 December 2024, 4:13 pm
Na Mary Julius. Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Mgeni Hassan Juma amesema kuzinduliwa kwa tawi la Taasisi ya Tanzania Women Enpowerment Network Zanzibar TAWEN kutawezesha wanawake kuzifikia fursa za kiuchumi zinazo tolewa na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Naibu…
24 December 2024, 4:16 pm
Na Mary Julius. Mwakilishi wa Jimbo la Malindi Mohamed Ahmada Salum amesema serikali ya awamu ya nane chini ya Dk Hussein Ali Mwinyi imetekeleza kwa kishindo ilani ya Chama Cha Mapinduzi 2020- 2025 katika utekelezaji wa miradi ya kimaendeleo,katika jimbo…
19 December 2024, 4:44 pm
Na Mary Julius. Uwepo wa Jukwaa la Haki za Watoto Zanzibar (ZCRF) umesaidia watoto kuwa na uhuru wa kujieleza,kujitambua na kupelekea kushiriki katika jukwaa la bajeti Zanzibar. Akizungumza wakati wa wakiwakilisha ripoti ya mwaka ya Jukwaa la Haki za Watoto…
19 December 2024, 4:16 pm
Na Mwajuma Said Yussuf na Halsa Abdallah Juma Wananchi wa shehia ya sebleni wilaya ya mjini wameliomba baraza la manispaa kuufunika na kuungeza kina mtaro sebeleni ili kulinda maisha ya watoto pamoja na afya za wakaazi wa eneo hilo. Wakizungmza…
13 December 2024, 4:04 pm
Na Mary Julius Waandishi wa habari wametakiwa kuzingatia maadili katika kuandika habari hasa katika kipindi cha uchanguzi mkuu ili kuikinga nchi kuingia katika machafuko. Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 Radio Tadio imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari wa Zenj FM…
11 December 2024, 4:58 pm
Na Omary Hassan. Balozi Hamad Khamis Hamad amesema ataitumia nafasi ya Ubalozi kutangaza fursa mbalimbali zinazopatikana nchini ikiwemo Utalii pamoja na kuimarisha uhusiano ili kukuza maslahi ya Tanzania. Akizungumza na Maafisa, Wakaguzi na Askari wa Jeshi la Polisi wa Mikoa…
11 December 2024, 4:14 pm
Na Is-haka Mohammed. Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk Khatibu amewasisitiza wananchi wanaoishi pembezoni mwa bahari kuendelea kuilinda miti ya mikoko na kupanda katika maeneo iliyotoweka ili kuepukana na athari kubwa zaidi za mabadiliko ya tabia nchi. R.C…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group