Zenj FM
Zenj FM
10/12/2025, 21:06
Na Mary Julius. Katika harakati za kuimarisha mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI Zanzibar, Afisa Ufuatiliaji na Tathmini wa Tume ya UKIMWI Zanzibar, Khamis Haroun Hamad, ameibuka na kampeni kabambe inayolenga moja kwa moja wanafunzi wa vyuo vikuu,…
03/12/2025, 21:51
Na Mary Julius. Waziri wa Kazi na Uwekezaji Zanzibar, Sharif Ali Sharif, ametoa wito kwa wafanyakazi wa Idara ya Ajira, Idara ya Maendeleo ya Ushirika, na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ZEEA kuongeza bidii na kusimamia majukumu yao kwa ufanisi…
03/12/2025, 17:28
Na Mary Julius. Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania TANAPA limeendelea kushirikiana kwa karibu na jamii inayozunguka Hifadhi ya Mikumi kwa lengo la kuimarisha uhifadhi na kuinua maendeleo ya wananchi. Afisa Uhifadhi Daraja la Kwanza, Emakulata Mbawi, anayesimamia kitengo cha…
01/12/2025, 19:49
Na Mary Julius. Zaidi ya wageni 150 hadi 400 wanawasili katika hifadhi ya taifa ya Mikumi kwa siku kupitia Kiwanja cha Ndege cha Kikoboga kutokana na uboreshaji wa kiwanja hicho, uliofanywa na TANAPA. Afisa Uhifadhi Mwandamizi wa Hifadhi ya taifa…
01/12/2025, 19:20
Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itahakikisha inaongeza Bajeti katika kusimamia utoaji wa huduma za afya kwa watu wanao ishi na virusi vya ukimwi ili kuimarisha upatikanaji wa huduma hizo kwa uhakika hayo yamebainishwa na Makamu wa…
29/11/2025, 22:09
Na Mary Julius. Uwepo wa treni ya mwendokasi pamoja na maboresho ya viwanja vya ndege katika eneo la Hifadhi ya Taifa ya Mikumi umechangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la watalii wanaotembelea hifadhi hiyo. Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi Kanda ya Mashariki, Fredrick…
26/11/2025, 17:39
Na Omar Hassan. Taasisi zinazohusika kuzuia na kupambana na usafirishaji haramu wa binaadamu zimetakiwa kutumia ubunifu wa kubaini vyanzo vya uhalifu huo ili kukomesha vitendo hivyo ambavyo vimekuwa vikiwaathiri zaidi wanawake na watoto. Akifungua Kikao cha Wadau wa Serikali kwa…
20/11/2025, 19:23
Mary Julius Kitipwi. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesisitiza kuwa ushirikiano mpana kati ya Tume na wadau wa uchaguzi umechangia kuendesha Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa uwazi, weledi na kwa kuzingatia misingi ya amani. Akifungua mkutano wa tathmini ya wadau…
19/11/2025, 17:41
Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesisitiza dhamira yake ya kuimarisha utoaji wa huduma jumuishi kwa watu wenye ulemavu, hususan katika kukuza na kusambaza matumizi ya lugha ya alama kwenye sekta mbalimbali. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Wakalimani…
17/11/2025, 16:57
Mkurugenzi wa Shirikisho la Jumuiya za Watu Wenye Ulemavu Zanzibar (SHIJUWAZA) Ali Machano ameiomba jamii kushiriki kikamilifu katika shughuli mbalimbali zilizoandaliwa na jumuiya hiyo kuelekea maadhimisho ya Siku ya Watu Wenye Ulemavu Duniani. Ameeleza kuwa mafunzo maalum yameandaliwa, ambayo yataisaidia…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group