Zenj FM
Zenj FM
23 September 2025, 7:47 pm
Na Mary Julius. Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Taasisi ya Maisha Meds imeanzisha zoezi la utoaji wa miwani kwa wananchi wenye umri wa miaka 40 na kuendelea, hasa wale wenye changamoto ya kuona vitu vya karibu.Zoezi hilo linalofanyika katika…
20 September 2025, 3:03 pm
Na Is-haka Mohammed. Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha NRA Khamis Faki Mgau amesema kuwa akichaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar atapandisha mishahara ya waalimu ambapo walimu wa ngazi ya cheti ataanza kupokea kima cha mshahara wa shilingi milioni moja…
19 September 2025, 6:28 pm
Na Mary Julius. Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ukuaji wa uchumi ni matokeo ya utekelezaji mzuri wa…
16 September 2025, 6:02 pm
Na wilaya ya Kati. Mkuu wa wilaya ya kati Rajab Ali Rajab, amewataka walimu katika Wilaya ya hiyo kuanzisha vyama vya Skauti katika skuli zao ili kuwajenga wanafunzi kuwa wazalendo, wenye maadili na kuwasaidia kuwa raia wema wa baadaye. Akizungumza…
16 September 2025, 4:27 pm
Na Mary Julius. Mamlaka ya Kodi ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mfumo mzuri wa Kodi kwa bidhaa umeanza kuandaliwa ili maji yanayozalishwa Zanzibar yaweze kutumia soko la pamoja la Tanzania.Hayo yameleezwa na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…
15 September 2025, 9:50 pm
Na Mary Julius, Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ADA-TADEA, ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho Juma Ali Khatibu amesema dhamira ya chama chake ni kuendelea kuiunga mkono serikali iliyopo madarakani kutokana na kazi nzuri inayofanywa katika kuwaletea…
14 September 2025, 11:18 pm
Na Mary Julius. Mgombea urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha the United People’s Democratic Party UPDP, Hamad Mohammed Ibrahim, ameahidi kuwa endapo itapata ridhaa na kuingia madarakani seriakali yake itajenga viwanda vya kusarifu karafuu na mazao mengine ili kuleta…
13 September 2025, 8:41 pm
Na Mary Julius. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuwa endapo atachaguliwa serikali yake itahakikisha inalivuka lengo la kuwaajiri vijana…
12 September 2025, 6:18 pm
Na Omar Hassan. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia Mohamed Khamis Hamadi maarufu Edi Mkono(25) Mkazi wa Tunguu Mchamvyani kwa tuhuma za mauaji.Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa PolisI Mkoani Tunguu – Kusini Unguja (SACP) Daniel Shillah…
11 September 2025, 8:39 pm
Na Omar Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Kombo Khamis Kombo amekabidhi magari mapya 25 kwa Makamanda wa Polisi wa Mikoa na Wakuu wa Vitengo vya Polisi ambazo zimetolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwaajili ya kuboresha…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group