Zenj FM
Zenj FM
6 October 2025, 5:51 pm
Na Is-haka Mohammed. Mgombea Urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha United Democratic Party(UDP) Saumu Hussein Rashid amewahidi wafanyabiashara na wajasirimali wadogo wadogo katika soko la Tibirinzi Chake Chake kuweka mazingira bora ya biashara ili awape kufanya…
6 October 2025, 5:33 pm
Na Mary Julius. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani kutoka Jumuiya ya Maradhi ya Moyo Zanzibar, Dkt. Ahlam Ali Amour, ameitaka jamii kujenga utaratibu wa kupima afya mara kwa mara ili kujiepusha na maradhi ya moyo pamoja na yale yasiyoambukiza.…
5 October 2025, 8:27 am
Na Ivan Mapunda. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta ya elimu ili kuhakikisha taifa linafikia malengo ya Dira ya Maendeleo ya 2050. Akizungumza katika mahafali ya tano ya Turkish Maarif Kindergarten yaliyofanyika Mombasa,…
2 October 2025, 10:24 pm
Na Mary Julius. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha United Democratic Party (UDP), Saumu Rashid, amesema akipata ridhaa ya kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atahakikisha kuwa kilimo cha karafuu kinakuwa chanzo kikuu…
1 October 2025, 10:27 pm
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kuchoma moto nyumba ya wageni (villa) na kusababisha hasara kubwa ya mali. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi…
30 September 2025, 10:31 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi, amesema jumla ya watu 8,325 wameondolewa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura baada ya kubainika kuwa hawana sifa, wakiwemo waliothibitishwa kufariki dunia. Akizungumza katika…
27 September 2025, 10:10 pm
Na Ivan Mapunda. Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mfenesini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asha Juma Kombo, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuwa mbunge, atahakikisha anakuza vipaji vya watoto na vijana kupitia ujenzi wa Sports Academy maalum…
25 September 2025, 7:47 pm
Jeshi la Polisi limeendelea kutoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika uchaguzi kwa njia ya amani, na kuwahakikishia kuwa ulinzi umeimarishwa katika maeneo yote ili kuhakikisha uchaguzi huru, wa haki na salama. Na Mary Julius. Kamanda wa Polisi Mkoa wa…
25 September 2025, 7:21 pm
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limewataka wananchi kuwa na uelewa wa vigezo vya kisheria vinavyohitajika ili kesi za udhalilishaji ziweze kufikishwa mahakamani na haki kutendeka kwa waathirika.Akizungumza katika mahojiano maalum na Zenji FM, Mkuu wa…
24 September 2025, 10:36 pm
Na Mary Julius. Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha UPDP, Hamad Mohammed Ibrahim, amesema endapo chama chake kitachaguliwa na kuingia madarakani kitadumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Akizungumza katika mkutano wa kampeni za chama hicho uliofanyika katika…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group