Zenj FM
Zenj FM
19 October 2025, 9:18 pm
Na Mary Julius. Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Awadhi Ali Saidi, ameliomba Jeshi la Polisi kuendeleza mashirikiano mazuri yaliyopo na kuendelea kujitolea kwa hali ya juu katika kulinda usalama na utulivu wakati wa Uchaguzi Mkuu wa October 29,…
19 October 2025, 1:10 am
Na Ivan Mapunda. Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mfenesini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asha Juma Kombo, amesema endapo atapata ridhaa ya wananchi kuwa Mbunge wa jimbo hilo, atahakikisha anatoa mikopo isiyo na riba kwa wajane na wajasiriamali wadogo…
18 October 2025, 11:38 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Thabiti Idarous Faina, amesema jumla ya shilingi milioni 903,327,300 zimetumika katika uchapaji wa karatasi za kura za Urais wa Zanzibar, Uwakilishi na Udiwani ambazo zitatumika katika Uchaguzi Mkuu ujao. Akizungumza…
17 October 2025, 7:00 pm
Na Ivan Mapunda Kila safari kubwa huanza kwa hatua moja, na hatua ya Zena Ahmed Said zimemfanya kuwa nyota halisi inayong’aa katika utumishi wa umma. Hadithi yake ni ushuhuda wa uwezo wa uthabiti, uadilifu na ufuatiliaji usio na kikomo wa…
17 October 2025, 6:26 pm
Na Berema Suleiman Nassor. Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Shaibu Ibrahim Mohammed amewataka vijana kuwa mstari wa mbele katika kudumisha amani na utulivu wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi.…
16 October 2025, 2:49 pm
Na Ivan Mapunda. Zanzibar ya sasa inashuhudia mabadiliko makubwa katika ushiriki wa wanawake katika uongozi, ikilinganishwa na enzi za zamani. Kwa mara ya kwanza tangu Mapinduzi ya 1964, wanawake wanashikilia nafasi muhimu, ikiwa ni pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi na…
15 October 2025, 3:53 pm
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Kanda ya Zanzibar limeendesha operesheni maalum katika mikoa mitatu ya Unguja kufuatia kuongezeka kwa matukio ya wizi wa pikipiki, ambapo jumla ya watu 17 wamekamatwa kwa tuhuma za kuhusika na mtandao wa wizi na…
15 October 2025, 12:00 am
Na Mwandishi wetu. Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuunda Tume Maalum itakayofanya tathmini ya kina kuhusu…
13 October 2025, 4:34 pm
Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia Makini, Ameir Hassan Ameir, amesema mpango wa kutoa posho ya shilingi 500,000 kwa kila Mzanzibari kila mwezi si ndoto bali ni dira inayotekelezeka kwa kupanga vipaumbele vya maendeleo na…
9 October 2025, 12:08 am
Na Mary Julius Mgombea Urais wa Zanzibar kwa kupitia Chama cha Demokrasia MAKINI Ameir Hassan Ameir, ameahidi kupunguza gharama za maisha kwa wananchi wa Zanzibar kwa kupunguza bei ya vyakula na huduma muhimu, endapo chama chake kitapewa ridhaa ya kuunda…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group