Karagwe FM
Karagwe FM
26 September 2025, 11:37 am
Shirika la CBIDO lenye makao makuu yake wilayani Karagwe limeendelea na mradi wake wa Pamoja unaolenga kuzuia ulemavu na kutoa huduma za utengamao kwa watu wenye ulemavu kwa kata za Kyaka na Kilimilile Wilayani Missenyi mkoani Kagera na mara hii…
19 September 2025, 3:39 pm
Kamanda wa polisi mkoani Kagera Blasius Chatanda ameedelea kuwataka wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi na kwamba wote wanaofanya uhalifu watakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria. Amesema hayo Septemba 18. 2025 wakati akizungumzia tukio la mauaji ya hivi karibuni katika mji…
19 September 2025, 12:56 pm
Uwepo wa changamoto katika kata mbalimbali katika jimbo la uchaguzi Missenyi mkoani Kagera imekuwa fursa ya wagombea kujinadi wakati wa kampeni za uchaguzi wakiahidi kutatua changamoto hizo endapo watachaguliwa kwa nafasi wanazosigombea Na Theophilida Felician, Missenyi, Kagera. Mhandisi Sweetbert Kaizilege…
9 September 2025, 5:56 pm
Katibu mkuu wa chama cha waganga wa tiba asili TAMESO (T) Lucas Mlipu (aliyesimama). Picha na Theophilida Felician Wimbi la waganga wa tiba asili wasiosajliwa na baraza la tiba asili na tiba mbadala limezua hofu kwa chama cha waganga wa…
6 September 2025, 7:54 pm
Chama Cha Mapinduzi CCM mkoani Kagera kinaendelea na kampeni za kusaka udiwani ubunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika maeneo mbalimbali wakiahidi miradi ya maendeleo ikiwa wananchi wataendelea kukichagua Theophilida Felician Bukoba. Wafanya biashara wadogo kando ya…
4 September 2025, 2:44 pm
Baraza la ushauri la watumiaji wa huduma za nishati na maji EWURA CCC mkoa wa Kagera limeendeleza utamaduni wa kufuatilia kero za wananchi wanaotumia huduma hizo na kuchukua hatua ikiwa ni pamoja na kutoa ushauri na elimu kwa wananchi juu…
30 August 2025, 8:38 pm
Saulo mwenye elimu ya shahada ya kwanza katika sayansi ya usimamizi wa mazingira chuo kikuu cha kilimo Sokoine na shahada ya uzamili ya Sayansi ya afya ya jamii Muhimbili ameahidi kutumia elimu na uzoefu wake kuleta maendeleo ya wananchi wa…
29 August 2025, 7:11 pm
Wanaume katika jamii wametakiwa kuripoti ukatili unaofanyika dhidi yao,yakiwemo matukio ya unyanyasaji sambamba na kupigwa na wenza wao majumbani. Na Theophilida Felician Shirika la wanaume wanaopitia changamoto kwenye ndoa SHIWACHANDO limeipongeza serikali chini ya wizara ya maendeleo ya jamii, jinsia,…
24 August 2025, 7:00 pm
Chama cha waganga wa tiba asili nchini TAMESO (T) kimebaini changamoto nyingi ikiwa ni pamoja na ushiriki mdogo wa waganga kwenye vikao vya kuwapatia elimu Na Mwandishi wetu Chama cha waganga wa tiba asili nchini TAMESO (T) ambacho kimeungana na…
24 August 2025, 6:29 pm
Wakati watoto yatima katika maeneo mengi nchini wakitengwa katika makazi ya upweke, hali imekuwa tofauti kwa watoto sita yatima wajukuu wa bibi Catherine Nathanael wa mtaa wa Bulibata kata ya Buhembe manispaa ya Bukoba mkoa wa Kagera. Na Theophilida Felician,…
UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.
DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.
MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.
MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171