Karagwe FM
Karagwe FM
14 August 2024, 9:20 am
Viongozi wa vyma vya upinzani nchini na mashirika ya kutetea haki za binadamu wameendelea kulaani tukio la jeshi la polisi mkoani Mbeya na Tanzania kwa ujumla kuzuia kongamano la baraza la vijana wa CHADEMA BAVICHA wakidai kuwa kitendo hicho ni…
11 August 2024, 9:50 pm
Suala la viongozi wa kisiasa kuhama chama na kujiunga na chama kingine limekuwa jambo la kawaida hasa nyakati za chaguzi ndani ya vyama au kuelekea chaguzi muhimu za kitaifa Na Theophilida Felician. Aliyewahi kuwa katibu wa chama cha demokrasia na…
10 August 2024, 10:06 am
Suala la malezi na makuzi ya watoto limeonekana kutopewa kipaumbele na baadhi ya walezi na wazazi mkoani Kagera hali inayochochea udumavu wa kimwili na kiakili kwa watoto hasa waliokosa maziwa ya mama chini ya umri wa miaka miwili Na Theophilida…
8 August 2024, 9:32 pm
Mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF mkoa wa Kagera umeripotiwa kukumbwa na ubadhirifu wa kutokana na uwepo wa baadhi ya watumishi wasio waaminifu waliokasimiwa mamlaka ya kusimamia mpango huo. Na Theophilida Felician. Katibu mkuu wa chama cha ACT wazalendo Ado…
7 August 2024, 9:44 pm
Huduma ya tiba asili mkoani Kagera imeendelea kukumbwa na changamoto ya kuingiliwa na watu wasio na ujuzi huo wakijivika mamlaka ya uganga na kuwatapeli wananchi kwa mwavuli wa uganga wa tiba asili Na Theophilida Felician. Waganga wa tiba asilia nchini…
29 July 2024, 2:38 pm
Shirika la CBIDO lililokuwa likihudumia watu wenye ulemavu wilayani Karagwe limepanua huduma zake hadi wilaya nne ambazo ni Karagwe, Kyerwa, Missenyi na Ngara mkoani Kagera kupitia mradi mpya uliopewa jina la ”Pamoja Program” utakaodumu kwa miaka 10 kwa wilaya hizo.…
29 July 2024, 1:08 pm
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera kupitia ofisi ya upelelezi limekutana na waganga wa tiba asili na viongozi wa kimila kujadili juu ya wimbi la vitendo vya uhalifu unaohusisha mauaji ya watu wenye ualbino na ubakaji wa watoto, yote yakihusishwa…
26 July 2024, 9:19 pm
Kamati tendaji ya Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania ALAT wamekutana wiki hii kujadiliana juu ya mambo mbalimbali ikiwemo kutoa maelekezo kwa mamlaka za serikali za mitaa juu ya usimamizi wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao Na mwandishi wetu…
26 July 2024, 2:48 pm
Kila ifikapo Julai 25, Tanzania huadhimisha kumbukizi ya mashujaa waliopigania uhuru wa taifa hili ambapo kwa mwaka 2024 maadhimisho haya yamefanyika jijini Dodoma kitaifa yakiongozwa na Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan. Theophilida Felician. Mkoa…
24 July 2024, 1:04 pm
Kila mwaka wa uchaguzi kumekuwa na ongezeko la vitendo vya uhalifu ikiwemo mauaji ya makundi mbalimbali ya watu hali inayohusisishwa na ushirikina unaoaminika kufanywa na baadhi ya watu wenye nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi. Hali hii huamsha ari…
UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.
DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.
MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.
MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171