Zenj FM

Recent posts

15 October 2025, 3:53 pm

Polisi Unguja waunasa mtandao wa wizi wa pikipiki

Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Kanda ya Zanzibar limeendesha operesheni maalum katika mikoa mitatu ya Unguja kufuatia kuongezeka kwa matukio ya wizi wa pikipiki, ambapo jumla ya watu 17 wamekamatwa kwa tuhuma za kuhusika na mtandao wa wizi na…

15 October 2025, 12:00 am

Rais Mwinyi: Tume maalum kuhakikisha fidia stahiki kwa wananchi

Na Mwandishi wetu. Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuunda Tume Maalum itakayofanya tathmini ya kina kuhusu…

13 October 2025, 4:34 pm

Ameir awataka wazanzibari kujiandaa kwa Posho ya laki tano

Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya  Chama cha Demokrasia Makini,  Ameir Hassan Ameir, amesema mpango wa kutoa posho ya shilingi 500,000 kwa kila Mzanzibari kila mwezi si ndoto bali ni dira inayotekelezeka kwa kupanga vipaumbele vya maendeleo na…

9 October 2025, 12:08 am

Demokrasia MAKINI yaja na suluhisho la gharama za maisha Zanzibar

Na Mary Julius Mgombea Urais wa Zanzibar kwa kupitia Chama cha Demokrasia MAKINI Ameir Hassan Ameir, ameahidi kupunguza gharama za maisha kwa wananchi wa Zanzibar kwa kupunguza bei ya vyakula na huduma muhimu, endapo chama chake kitapewa ridhaa ya kuunda…

7 October 2025, 5:16 pm

Maisha Meds, Wizara ya Afya waungana huduma za macho Zanzibar

Na Mary Julius. Katika kuadhimisha Siku ya Uoni Hafifu Duniani, Wizara ya Afya Zanzibar kwa kushirikiana na Maisha MedsnaPondeza Foundation wameandaa zoezi maalumu la upimaji wa macho litakalofanyika katika Jimbo la Chumbuni na Jimbo la Mtoni. Zoezi hilo la siku…

7 October 2025, 4:02 pm

Vyama vya siasa vyahimizwa kuandaa mazingira rafiki kwa watu wenye ulemavu

Na Berema Suleiman Nassor. Vyama vya siasa vyahimizwa kuzingatia ushirikishwaji wa watu wenye ulemavu kwenye mikutano ya kampeni.  Akizungumza  kwa niaba ya taasisi zinazoshughulikia masuala ya uongozi wa wanawake Afisa Programme wa Masuala ya Kuhamasisha Wanawake katika uongozi kutoka TAMWA…

6 October 2025, 10:28 pm

Safari ya Asha Juma kombo,kwenye ulingo wa Siasa

Na Ivan Mapunda “Niligombania mwaka 2020 katika nafasi ya uwakilishi jimbo la mfenesini ila kura zangu hazikutosha kura Nilipata kura 1  katika kura 100” Katika uchaguzi wa uwakilishi uliofanyika  katika jimbo la Mfenesini jina la Asha Juma Kombo lipo katika…

6 October 2025, 8:06 pm

Jaji Kazi: vifaa vya uchaguzi vipo, vituo havitachelewa kufunguliwa

Kutoka. ZEC. Tume ya Uchaguzi imeanza ziara ya kutembelea Afisi za Uchaguzi za Wilaya ikiwa ni hatua ya kuhakikisha maandalizi ya Uchaguzi Mkuu 2025 yanafanyika kwa uwazi na ufanisi. Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya…

6 October 2025, 5:51 pm

UDP yaahidi mazingira bora ya biashara kwa wajasiriamali wadogo Pemba

Na Is-haka Mohammed. Mgombea Urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania  kupitia Chama cha United Democratic Party(UDP) Saumu Hussein Rashid amewahidi wafanyabiashara na wajasirimali wadogo wadogo katika soko la Tibirinzi Chake Chake kuweka mazingira bora ya biashara ili awape kufanya…

6 October 2025, 5:33 pm

Jamii yatakiwa kuwasogezea huduma za afya watu wenye ulemavu

Na Mary Julius. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani kutoka Jumuiya ya Maradhi ya Moyo Zanzibar, Dkt. Ahlam Ali Amour, ameitaka jamii kujenga utaratibu wa kupima afya mara kwa mara ili kujiepusha na maradhi ya moyo pamoja na yale yasiyoambukiza.…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group