Zenj FM
Zenj FM
27/10/2025, 21:02
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Jaji Gorge Joseph Kazi amewataka waangalizi wa uchaguzi wa ndani na wa kimataifa kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa uangalifu, uhuru na uadilifu kwa kuzingatia malengo ya kazi zao, huku…
26/10/2025, 21:43
“CCM imeandaa ilani yenye kurasa 60 ambayo imedhihirisha dhamira ya chama katika kuwaletea wananchi maendeleo ya kijamii na kiuchumi” – Sufian Khamis Ramadhani Na Mary Julius. Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Amani wamewaomba wananchi kutokufanya makosa…
23/10/2025, 20:01
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limesema limejipanga kikamilifu kuimarisha doria na usalama katika maeneo yote ya mkoa huo siku ya kupiga kura ya tarehe 29 Oktoba, ili kuhakikisha wananchi wanashiriki kikamilifu katika zoezi hilo muhimu…
23/10/2025, 12:27
Na Ivan Mapunda. Wanaharakati na wadau wa watu wenye ulemavu nchini wameiomba Serikali kuridhia itifaki ya masuala ya watu wenye ulemavu Afrika ili kuondokana na vitendo vya ubaguzi na kunyimwa haki zao za kibinadamu. Hayo yameelezwa Unguja , Afisa Sheria…
22/10/2025, 21:27
Mary Julius. TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema itahakikisha makundi yote ya watu wenye mahitaji maalum yanashiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 bila kubaguliwa. Akizungumza wakati wa kufungua mafunzo kwa wadau wa makundi maalum yaliyofanyika katika ukumbi wa ZEC…
21/10/2025, 21:28
Na Mary Julius. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Mchomvu amesema Jeshi la Polisi limejipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 unafanyika katika mazingira ya amani, utulivu na usalama…
19/10/2025, 21:35
Na Ivan Mapunda Kwa mara ya kwanza katika historia ya siasa za vyama vingi nchini Tanzania, wagombea Urais wanawake wamejitokeza kwa wingi na kwa nafasi ya juu ya kisiasa kuliko wakati mwingine wowote. Uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka huu umeweka…
19/10/2025, 21:18
Na Mary Julius. Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Awadhi Ali Saidi, ameliomba Jeshi la Polisi kuendeleza mashirikiano mazuri yaliyopo na kuendelea kujitolea kwa hali ya juu katika kulinda usalama na utulivu wakati wa Uchaguzi Mkuu wa October 29,…
19/10/2025, 01:10
Na Ivan Mapunda. Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mfenesini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asha Juma Kombo, amesema endapo atapata ridhaa ya wananchi kuwa Mbunge wa jimbo hilo, atahakikisha anatoa mikopo isiyo na riba kwa wajane na wajasiriamali wadogo…
18/10/2025, 23:38
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Thabiti Idarous Faina, amesema jumla ya shilingi milioni 903,327,300 zimetumika katika uchapaji wa karatasi za kura za Urais wa Zanzibar, Uwakilishi na Udiwani ambazo zitatumika katika Uchaguzi Mkuu ujao. Akizungumza…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group