Zenj FM
Zenj FM
3 September 2025, 7:08 pm
Na Junaina Rajabu. Jeshi la Polisi mkoa wa Kaskazini Unguja limejipanga kikamilifu kuhakikisha usalama wa raia hasa katika kipindi cha kampeni, pamoja na kuimarisha usalama wa barabarani ili kupunguza ajali zinazoweza kuepukika.Jeshi la Polisi limesisitiza kuwa hatua kali zitachukuliwa kwa…
3 September 2025, 5:00 pm
Na Is-haka Mohammed. Wakati waumini wa dini ya Kiislamu wakitarajia kusheherekea maadhimisho ya kuzaliwa kwa Kiongozi wao wa Umma Mtume Muhamad (SW) wametakiwa kufuata mienendo na maisha aliyokuwa akiishi Mtume ikiwemo mapenzi, umoja na mshikamano kwa jamii. Hayo yemelezwa na…
3 September 2025, 1:49 pm
Na Mary Julius. Mgombea wa uwakilishi jimbo la Tunguu, kupitia Chama Cha Mapinduzi Simai Mohammed Said, ameahidi kufanya Kampeni za kistaarabu kama ilivyoagizwa na viongozi wakuu wa chama chake. Simai ameyasema hayo leo mara baada ya kuchukua fomu katika ofisi…
1 September 2025, 7:11 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji George J. Kazi, amekabidhi rasmi fomu za uteuzi kwa wagombea wa nafasi ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar .Hafla hiyo imefanyika katika Ofisi za Tume, Maisara,…
31 August 2025, 6:22 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jaji George J. Kazi, amekabidhi rasmi fomu za uteuzi kwa wagombea sita wa Kiti cha Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Hafla hiyo imefanyika katika Afisi za Tume zilizopo Maisara,…
30 August 2025, 6:14 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George J. Kazi, amewakabidhi fomu za uteuzi wagombea wa vyama mbalimbali vinavyotarajia kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar mwaka 2025. Zoezi hilo la uchukuaji fomu za kugombea urais lilianza…
29 August 2025, 5:50 pm
Na Mary Julius. Kamishna wa Polisi Zanzibar, CP Kombo Khamis Kombo, ameweka wazi mikakati ya Jeshi la Polisi kuhakikisha usalama na amani wakati wa kampeni na uchaguzi. Katika mazungumzo yake na waandishi wa habari huko makao makuu ya Jeshi la…
28 August 2025, 5:38 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC, Thabit Idarous Faina, ametangaza kuwa zoezi la uchukuaji wa fomu za uteuzi kwa ajili ya nafasi ya urais, uwakilishi, na udiwani limeanza rasmi leo.Mkurugenzi Faina amesema kuwa zoezi…
27 August 2025, 6:55 pm
Na Mary Julius. Waandishi wa habari wametakiwa kuzingatia maadili ya taaluma yao katika kuripoti taarifa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, ili kulinda amani, mshikamano na utulivu wa kitaifa.Mwenyekiti wa Tume ya Utangazaji Zanzibar, Suleimani Khamis, ameyasema hayo wakati akifungua…
27 August 2025, 5:16 pm
Na Omar Hassan Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Riziki Pemba Juma amewataka Maafisa, Wakaguzi na Askari wa Jeshi la Polisi kuendelea kuimarisha Amani na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ili uchaguzi huo ufanyike katika hali ya…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group