Zenj FM

Recent posts

1 September 2025, 7:11 pm

17 wajitosa urais Zanzibar, wamo wanawake watatu

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji George J. Kazi, amekabidhi rasmi fomu za uteuzi kwa wagombea wa nafasi ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar .Hafla hiyo imefanyika katika Ofisi za Tume, Maisara,…

31 August 2025, 6:22 pm

ZEC yaendelea kutoa fomu kwa wagombea sita wa urais Zanzibar

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jaji George J. Kazi, amekabidhi rasmi fomu za uteuzi kwa wagombea sita wa Kiti cha Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Hafla hiyo imefanyika katika Afisi za Tume zilizopo Maisara,…

30 August 2025, 6:14 pm

Wagombea wa vyama sita wachukua fomu za uteuzi ZEC

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George J. Kazi, amewakabidhi fomu za uteuzi wagombea wa vyama mbalimbali vinavyotarajia kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar mwaka 2025. Zoezi hilo la uchukuaji fomu za kugombea urais lilianza…

28 August 2025, 5:38 pm

ZEC yaanza rasmi zoezi la uchukuaji wa fomu za uteuzi Zanzibar

Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC, Thabit Idarous Faina, ametangaza kuwa zoezi la uchukuaji wa fomu za uteuzi kwa ajili ya nafasi ya urais, uwakilishi, na udiwani limeanza rasmi leo.Mkurugenzi Faina amesema kuwa zoezi…

27 August 2025, 6:55 pm

Waandishi wa habari wasisitizwa kuzingatia maadili kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Na Mary Julius. Waandishi wa habari wametakiwa kuzingatia maadili ya taaluma yao katika kuripoti taarifa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, ili kulinda amani, mshikamano na utulivu wa kitaifa.Mwenyekiti wa Tume ya Utangazaji Zanzibar, Suleimani Khamis, ameyasema hayo wakati akifungua…

27 August 2025, 5:16 pm

Waziri Pembe ahimiza amani wakati wa uchaguzi

Na Omar Hassan Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Riziki Pemba Juma amewataka Maafisa, Wakaguzi na Askari wa Jeshi la Polisi kuendelea kuimarisha Amani na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ili uchaguzi huo ufanyike katika hali ya…

27 August 2025, 4:17 pm

Wafuasi 100 wa ACT Wazalendo watimkia CHAUMA Micheweni

Na Is-haka Mohammed. Wananchi wa jimbo la Micheweni Wilaya ya Micheweni Pemba wameombwa kukiunga mkono chama cha CHAUMA na Wagombea wake ambao kitawasimamisha kupitia nafasi mbali mbali za uongozi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.Ombi hilo limetolewa na Makamo Mwenyekiti…

25 August 2025, 4:17 pm

Wananchi Chunga wataka suluhisho la haraka kwa tatizo la taka

Na Zulfa Shaibu Mkanjaluka. Mrundikano wa taka katika Shehia ya Chunga, Zanzibar, umeibuka kuwa changamoto kubwa kwa wakazi wa eneo hilo, wakihusisha hali hiyo na ongezeko la maradhi ya milipuko kama kipindupindu na mazingira machafu kwa ujumla.Katika mahojiano na Zenji…

24 August 2025, 4:02 pm

Wadau wa uchaguzi watia saini maadili ya uchaguzi Zanzibar

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji Mstaafu George Joseph Kazi, amezisihi pande zote tatu zinazohusika katika uchaguzi , Serikali, Tume na Vyama vya Siasa kuhakikisha zinatekeleza wajibu wao kama ilivyoainishwa katika Kanuni za Maadili…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group