Zenj FM
Zenj FM
23 January 2026, 5:52 pm
Na Mary Julius. Wananchi wa Wilaya ya Kati Unguja wametakiwa kutumia kikamilifu fursa zinazopatikana katika Baraza la Manispaa Kati ili kupunguza gharama za maisha na kukuza mapato ya serikali kwa ujumla. Wito huo umetolewa na Mstahiki Meya wa Manispaa Kati,…
23 January 2026, 5:08 pm
Na Mary Julius. Katika kuhakikisha jamii ya Wazanzibari na Watanzania kwa ujumla wanakuwa na afya njema, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na Wizara ya Afya Zanzibar na kampuni ya simu ya…
23 January 2026, 4:48 pm
Na Mary Julius. Kamishna wa Polisi Zanzibar, CP Kombo Khamisi Kombo, amesema jumla ya makosa makubwa ya jinai yamepungua kwa asilimia ishirini na nne nukta tatu kwa mwaka 2025. Akizungumza wakati wa akitoa tathmini ya hali ya usalama Zanzibar kwa…
18 January 2026, 8:49 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Mtandao wa Jumuiya za Wasaidizi wa Sheria Zanzibar, ZAPONET Zanzibar, Asia Abdulsalam Hussein, amesema ili jumuiya za wasaidizi wa sheria ziweze kufanya kazi kwa ufanisi, ni lazima zijikite katika uandishi wa miradi na utafutaji wa wafadhili, hatua…
9 January 2026, 12:28 am
Na Ivan Mapunda. Kuanzishwa kwa chuo cha mafunzo cha Idara ya Uhamiaji Zanzibar ni hatua muhimu katika kuwaongezea uwezo wa kitaalamu, kiutendaji na kimaadili maafisa na askari wa Idara ya Uhamiaji Tanzania. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed…
9 January 2026, 12:02 am
Na Mary Julius. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema uwekezaji wa Taasisi ya Sayansi za Bahari ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM–IMS) iliyopo Buyu, Wilaya ya Mjini Magharibi B, Zanzibar, utakuwa chachu…
8 January 2026, 10:18 am
Na Denis Mtamwega Jeshi la Polisi nchini limesema litaendelea kuimarisha ushirikiano wake na wananchi kupitia miradi mbalimbali ya Polisi jamii ili kuhakikisha usalama wa raia na mali zao unaendelea kuimarika huku wahalifu wakichukuliwa hatua kali za kisheria. Kamishna wa Polisi…
8 January 2026, 9:53 am
Na Mary Julius. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar Dk. Khalid Salum Mohamed amesema Wizara yake imepata mafanikio makubwa katika kipindi kifupi tangu kuundwa kwake baada ya Uchaguzi Mkuu, hususan katika sekta za ujenzi wa barabara pamoja na usafiri wa…
6 January 2026, 10:19 pm
Majengo yatakayozinduliwa yanajumuisha jengo la taaluma na utawala pamoja na bweni la kisasa la wanafunzi yaliyojengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 11 za Kitanzania. Na Mary Julius. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua…
5 January 2026, 9:22 pm
Na Omar Hassan. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene, amewataka maafisa wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali kuendelea kufanya kazi kwa kuzingatia misingi ya haki, usawa, weledi na uadilifu wanapotekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi. Akizungumza katika…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group