Zenj FM
Zenj FM
6 November 2025, 1:57 pm
Katibu wa Baraza la Wawakilishi, Raya Issa Mselem, ametangaza matokeo hayo mara baada ya kumalizika kwa zoezi la upigaji kura lililofanyika katika kikao cha kwanza cha Baraza jipya lililofanyika Chukwani, Zanzibar. Na Mary Julius. Zuberi Ali Maulid amechaguliwa kwa mara…
5 November 2025, 11:02 pm
Katibu wa Baraza, Raya Issa Mselem, amesema kuwa uchaguzi wa Spika ni shughuli ya kwanza inayofanywa na wajumbe kabla ya kula kiapo cha uaminifu, kama ilivyoelezwa katika kifungu cha 70 cha Katiba. Na Mary Julius. Baraza la 11 la Wawakilishi…
4 November 2025, 9:19 pm
Si kila anayeshindwa anakata tamaa wengine hufanya kushindwa kuwa ngazi ya mafanikio.”Jifunze kutoka kwa safari ya Jamila, mwanamke shupavu aliyeamua kuandika ukurasa mpya wa uongozi unaojenga mshikamano na matumaini Na Ivan Mapunda. Katika medani ya siasa za Zanzibar, jina la…
28 October 2025, 3:58 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), jaji George Joseph Kazi, amesema upigaji wa kura ya mapema umeanza vizuri, kwa wakati, na kwa hali ya amani na utulivu, huku wenye sifa ya kupiga kura hiyo wakijitokeza…
27 October 2025, 9:02 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Jaji Gorge Joseph Kazi amewataka waangalizi wa uchaguzi wa ndani na wa kimataifa kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa uangalifu, uhuru na uadilifu kwa kuzingatia malengo ya kazi zao, huku…
26 October 2025, 9:43 pm
“CCM imeandaa ilani yenye kurasa 60 ambayo imedhihirisha dhamira ya chama katika kuwaletea wananchi maendeleo ya kijamii na kiuchumi” – Sufian Khamis Ramadhani Na Mary Julius. Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Amani wamewaomba wananchi kutokufanya makosa…
23 October 2025, 8:01 pm
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limesema limejipanga kikamilifu kuimarisha doria na usalama katika maeneo yote ya mkoa huo siku ya kupiga kura ya tarehe 29 Oktoba, ili kuhakikisha wananchi wanashiriki kikamilifu katika zoezi hilo muhimu…
23 October 2025, 12:27 pm
Na Ivan Mapunda. Wanaharakati na wadau wa watu wenye ulemavu nchini wameiomba Serikali kuridhia itifaki ya masuala ya watu wenye ulemavu Afrika ili kuondokana na vitendo vya ubaguzi na kunyimwa haki zao za kibinadamu. Hayo yameelezwa Unguja , Afisa Sheria…
22 October 2025, 9:27 pm
Mary Julius. TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema itahakikisha makundi yote ya watu wenye mahitaji maalum yanashiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 bila kubaguliwa. Akizungumza wakati wa kufungua mafunzo kwa wadau wa makundi maalum yaliyofanyika katika ukumbi wa ZEC…
21 October 2025, 9:28 pm
Na Mary Julius. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Mchomvu amesema Jeshi la Polisi limejipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 unafanyika katika mazingira ya amani, utulivu na usalama…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group